Mungu alitumia na anatumia nguvu nyingi sana kupambana na Ibilisi ila anafeli

Siku zote tunawaambia humu habari za Mungu na Shetani ni fictional characters waliotungwa na wajinga wa kale na hazina nafasi katika Dunia ya Kisasa hawaelewi
Ona jinsi watakavyoishiwa hoja kukujibu mtoa mada
Hasa hasa wenye kilanga ni wafuasi wa Mungu
Hua wanatia huruma Sana kumtetea ingali Shetani hua hatetewi ila Kazi zake hua zinadhihirika wazi Bila jasho
Mifano mnayo wadau!
😁😁😁😁😁🔥
 

pumba, nawe uko jamii intelligence
 
Mungu amemuacha dhaifu(Shetani) atambe. Wamegawana vipindi. Shetani anashinda Ulimwenguni, anakura hasara Mbinguni(Ulimwengu ujao). Mungu anatoa Sare Ulimwenguni, anakabidhi ushindi Mbinguni. Mungu ndiye anaeruhusu huo ushindi unaouona kwa shetani hapa duniani.
 

Hi nchi uhuru umezidi sasa.
 
Aisee
 
Cha kushangaza mungu vs shetani tangu nmezaliwa sikuwahi kuwasikia wakisema woote wanasemewa tu..
Ujinga mzigo wa kuni yaaniiiiiii mtu unatishwa na maandishi,maandishi jaman enheeee.
 
Acha wanaoamini waende njia yao , na wasiyoamini pia waende njia yao. Tunacheleweshana sana, kwa kila mtu kujiona ni bora sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…