Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mkuu tusmlaum Mungu ase.

Niliwahi kufanya kazi na mchina pale bandarini miaka miwili iliyopita akawa ananiuliza au mimi syo mtanzania tena dar? Nikamuuliza kwanini.?

Akaniambia hakuna watu wavivu kama watu weusi kwenye kazi,yaani haiwez kuisha wiki hajasingizia mtoto,baba,mama,au ndugu yoyote anaumwa kwa lengo tu asiingie kazini.

Akaniambia hakuna mtu ambae amewahi kudhurika kwasababu ya kufanya kazi kwa bidii na kwa kujituma yeye mwenyewe na ilihali ameridhia kulipwa anacholipwa.

Akaongeza tena kwamba,mtu yoyote anaejituma na kupata kitu chake kwa halali hutokuja kuskia ameiba,amedhurum mtu au amewasaliti watu wake kwa namna yoyote ile kwasababu anakuwa anajua uchungu wa mapambano katika maisha
Mkuu umeongea ukweli.

Watu weusi hasa waafrika watanzania wana Uvivu, Ujinga na upumbavu wa milele.

Angalia nchi kama UAE, Qatar, Japan n.k zote zilitawaliwa na Wakoloni lakini leo hii zina maendeleo na karibu kuwazidi nchi za ulaya..

Waafrika tangu tupate uhuru excuse ni Ukoloni, kwamba ndio ime turudisha nyuma.

Haya leo hii, nchi nyingi za Afrika zina miaka karibu 60 ya uhuru wa kujitawala na kujiongoza zenyewe lakini kila mara kuomba mikopo na misaada. Kisha mikopo ikisha letwa ina hujumiwa...!!!

Black Americans wa USA kutwa kucha kusingizia Slavery, ndio ili wakwamisha ..

Slavery ili isha kitambo sana, ila hadi leo black Americans excuse yao ni slavery..

Waafrika na watu weusi ni kama vile wana upumbavu wa milele.
 
Binadamu ameumbwa kwa kufinyanga udongo, rangi ya udongo inafanana na mtu mweusi, hivyo Adam alikuwa mweusi. Mtu mweusi kajaliwa akili sema hakuonyeshwa namna ya kuitumia.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Double standards za Mungu?!...atupe akili then asituone sh e namana ya kuzitumia!😁😁😁
 
mkuu,kwanza nikukumbushe,nia yao watu weupe ya kukufanya wewe uwaone wao ni bora kukuliko imefanikiwa kwa asilimia 100%.

wacha nikuweke sawa.

elimu na mifumo yote ya kuongeza ufahamu,wao ndio waanzilishi,hakuna namna inapoletwa kwenu itaachwa iwe katika mlengo unaowafaa wao,maana wanajua ngozi nyeusi ni bora katika upande gani(wanaogopa),hivyo mbinu ambayo hutumiwa ni kuvuruga mifumo ya elimu kupitia viongozi(matumbotumbo),na kuiondolea ubora unaotakiwa kabisa.

angalia china na japan,wao mfumo wao ni mtoto chini ya miaka 5 anafundishwa elimu ya mahusiano tu sio kusoma wala kuandika,ndipo uzalendo na siha njema mtoto anakua nao kuanzia hapa.huu ni mfumo waliuchagua wao wakauandaa uwafae wao.sisi tunabeba mitaala ya kujifunza lugha ya kiingereza badala ya kujifunza ujuzi na taaluma za kwao.sijui kiingereza kina faina gani na maendeleo yetu!!!

tabia hii ya kutothamini vya kwetu imeingia damuni,mpaka aliyefanikiwa kusoma kwao uzunguni anaona ni heri abaki huko,kuliko kuja kufanya kitu nyumbani.

nikukumbushe uwezo wa mtu mweusi.
angalia sekta za kichezo na burudani,waty weusi wametamalaki huko,hii ni kutaka kukumbusha tunaweza kufanya mambo makubwa sana nje ya elimu tulizoletewa,muhimu kujiamini tu.

hawa viongozi mawakala ndio wanasababisha africa miaka nenda rudi imesimama tu,ndio maana walipojitokeza watu kama akina jpm ikabidi lifanyike jambo kwa haraka ili mambo yasiharibike.
Utetezi wako unaonyesha dhahiri anachokimaanisha mtoa mada.Sisi ni dhaifu ndo maana unakuja na huu utetezi.Tungekua hatuna tatizo huu utetezi ulitakiwa uishie miaka ya zamani sana.Vizazi ambavyo vimeshapita tulitakiwa tuwe mbali kifikra badala yakuona wako waliotuharibu.yako mataifa yaliyokua duni kama sisi lakini wao wamejitafuta nakujipata ila ngozi nyeusi imebaki vile vile alafu bado tunasingizia wengine.Kujiongoza tu hatuwezi hadi ilo nalo ni wazubgu walituharibu?.Hiyo michezo hadi tukaifanye uko kwa wazungu ndio tuonekane kwanini isiwe uku kwetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
Najua huwa it's kinda abomination kuongelea mambo ya kimungu, tunaogopa ila huwa tunayawaza. Kuna races zimependelewa, kwani wewe huoni? Leo hii ukitua jiji kama Washington huko, utaona kama sisi tunaishi tu ili mradi.
Huo ndio ukweli.binadamu hatuko sawa.Mambo ya usawa ni mbwembwe tu ila ukweli tuna tofauti kubwa sana kuanzia fikra hadi maumbile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu hayupo.

Hakuna Mungu anaye toa Akili kwa watu.

Binadamu wote tuna akili na uwezo sawa

Watu weusi wana ujinga wa kuto kushughulisha akili zao kutokana na mfumo walio aminishwa na watu weupe kwamba sisi ni duni.

Mfumo huu umerithiwa kizazi mpaka kizazi kiki amini ngozi nyeusi haiwezi kitu.

Fuatilia makala za mwanaharakati "Malcom X" kuhusu ni jinsi gani watu weusi wamekuwa Brainwashed kuamini kwamba hatuwezi kitu.

Malcom X alisema kwamba [emoji116]

Waafrika tunapenda kuiga utamaduni na maisha ya wengine kabla ya kupenda vya kwetu.

View attachment 2807634
Tumekua brainwashed kwasababu akiki yetu ni dhaifu.Mbona ni sisi tu ndo tuko hivyo.Tena vizazi na vizazi hatubadiliki.Malcom ni wajuzi tu ika tatizo letu nilamuda mrefu kabla ya wazungu kuja afrika.Isingekua hivyo leo tusingeona tofauti kati ya waafrika wenye asili ya kiarabu na sisi wamatumbi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello!

Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.

Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.

Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.

Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.

Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.

Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.

Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.

Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.

Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Huenda kutesa kwa zamu pengine tulishawahi kuwa bora kuliko wazungu huko nyuma
 
Mungu alituumba kwa usawa sema akatuweka darani aone yupi kamkosea......ili afanye masahisho ya uumbaji wake....

Mzungu kachagua akili

Mwaraubu kachagua mali

Mweusi kachagua uchawi ili awaroge wenzie mzungu na mwarabu.........akajikuta kamroga mpaka sir God, akabid asepe bila kufanya correction
 
Hello!

Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.

Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.

Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.

Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.

Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.

Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.

Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.

Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.

Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo, tujue unapomlaumu, angalau yupo kweli usilete lawama kwa Mungu wa hadithi tu.
 
Hello!

Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.

Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.

Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.

Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.

Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.

Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.

Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.

Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.

Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Kuna mtu mweusi na roho nyeusi.

Wengi unaowaongelea hapo ni roho nyeusi.
 
Tumekua brainwashed kwasababu akiki yetu ni dhaifu.Mbona ni sisi tu ndo tuko hivyo.Tena vizazi na vizazi hatubadiliki.Malcom ni wajuzi tu ika tatizo letu nilamuda mrefu kabla ya wazungu kuja afrika.Isingekua hivyo leo tusingeona tofauti kati ya waafrika wenye asili ya kiarabu na sisi wamatumbi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika sisi tuna ujinga na Upumbavu tangu zamani za mababu zetu.

Mababu zetu walivyo kuwa wapumbavu, Walisalitiana na kuuzana utumwani wenyewe kwa wenyewe.
 
Hello!

Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.

Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.

Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.

Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.

Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.

Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.

Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.

Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.

Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Uongo mkubwa uliowahi kutokea duniani unaujua wewe?
 
Back
Top Bottom