Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mungu ametupuuza sana watu weusi

Prof P.L.O Lumumba nilimsikiliza katika speech fulani alisema "we want to build roads and we have faculty of engineers complete with PhD and Professors but we go to china to bring a diploma holders to tell us how to build roads..."
 
Sijawahi fika mkuu, ila nasema tu mbelez kuko tofauti na huku, wenzetu mawazo yao yapo mbali, wanawaza mbali sana. Sisi hata matundu ya vyoo bado.
unajua hiyo Marekani ilpata uhuru wake lini, huko ustaarabu ulianza siku nyingi sana. Mwaka 1776 unafikiri Afrika ilikuwa wapi. Tulia maendeleo ni hatua hata hapa tulipo bado ni sahihi, miaka mingine 200 ijayo we unafikiri Afrika itakuwa wapi. Km Utakuwa una uwezo wa kuona kutoka utakapokuwa utaona mwenyewe kuwa Afrika itakuwa km huko Marekani pengine na zaidi.
 
ulivyomtaja tu JPM nikakuona na we hamnazo. Huyo marehemu wenu ndio ameiharibu hii nchi ndani ya muda mfupi. Ni nini hasa ktk elimu amekifanya zaidi ya kuvuruga kwa kuacha hata kuajiri na kupandisha madaraja ya hao walimu. PhD yake yenyewe feki, uliyoyaandika yote ni upupu kwa kumtaja tu huyo marehemu. Waafrika hawana shida yoyote huyo mleta post ana ugonjwa wa "inferiority complex" hajiamini, hajithamini. Wako waafrika wengi wenye elimu na ujuzi mzuri sana, safari ni hatua, tutafika tena mbali sana

unawaza madaraja na ajira za lakini 2!!!

njaa zinafanya mnawaza vitu kwa udogo sana.
 
Kitu cha kuangalia ni je hayo mataifa yamepataje utajiri wake? Kama kuna wizi,ufisadi,uuaji,uuzaji wa watumwa,ulafi, ukandamizaji wa kila aina na kila aina ya ukiukwaji wa utu basi ujue shetani katimiza lengo ili wewe uweze kutenda dhambi kwa kumkufuru Mungu asiehusika. Shetani kakutengenezea illusion kwamba utajiri ni kuwa na mali nyingi za anasa na kakuziba akili ya kujiuiliza mambo kadhaa. Mbona Yesu aliishi kimasikini pamoja na wanafunzi wake!! Na aliwaambia nini matajiri na walafi wakubwa wa enzi zile au Mungu aliongea nini na matajiri wa enzi hizo wenye kupenda mali kuliko utu? Basi nakuomba badilisha kichwa chako cha habari na kiite kwanini shetani anawashusha waafrika? Mtu umeumbiwa mito milima mabonde maziwa misitu mizuri ardhi yenye rutuba yani umepewa nusu bustani ya Eden eti umelaaniwa duuh. Nani kakuambia utajiri ni magari ya kifahari maghorofa na majunk food? Muafrica umechagua kutamani mali ya wengine na kusahau kushukuru kwa ulichopewa ndo maana unazidi laaniwa sababu ya kukufuru Mungu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
PHYSICALLY, katika kazi zinazohitaji nguvu (Mascular), ni kweli watu weusi wanaperform vizuri hata kwenye Marathon, Football, Rugby tunaona...ndio maana Walifanywa Watumwa na races zingine na mpaka sasa ni Watumwa

COGNITIVELY, Watu weupe wana uwezo mkubwa sana kuwazidi watu weusi. Ndio maana Ugunduzi na Ubunifu mkubwa duniani umefanywa na unafanywa na Watu weupe

Hakuna Chochote kikubwa duniani chenye msaada mkubwa kidunia, kilichobuniwa au kugunduliwa na Mtu mweusi

Hata katika nchi zetu za asili bado Matajiri wakubwa ni Watu weupe

Wahindi wana viwanda vyao ambapo waneajiri watu weusi kama Watumwa, wanaolipwa mpaka elfu 80 kwa mwezi

Watu weusi ni WATUMWA kwa weupe.
Huu ndio ukweli.
Black for slave
 
Chukulia mfano Haiti. Hii nchi ipo karibu na Marekani lakini maskini wa kutupwa. Ina maana wameshindwa kutumia exposure kutoka USA ili kuendeleza nchi yao.

Chukulia mfano, Liberia. Hii nchi waliletwa black Americans miaka ya 1880 na kuunda hiyo nchi. Hao black Americans walikuwa wengine wenye exposure na elimu, basi tulitarajia wangeitumia hiyo exposure na kuifanya Liberia ionekane tofauti na nchi nyingine za Kiafrika, lakini walipofika Liberia nao wakawa wakoloni wapya, mpaka leo Liberia hoi! Hivyo hivyo kwa Siera Leon.

Ethiopia ni nchi ambayo haijatawaliwa na wakoloni, ingawa Mwitaliano alijaribu ila alishindwa, lakini Ethiopia wapo wapi leo!
Ethiopia hali ya maisha ni duni that's why vijana wao wanakufa kwenye makontena makijaribu kwenda ng'ambo
 
Prof P.L.O Lumumba nilimsikiliza katika speech fulani alisema "we want to build roads and we have faculty of engineers complete with PhD and Professors but we go to china to bring a diploma holders to tell us how to build roads..."
Very sad indeed
 
unajua hiyo Marekani ilpata uhuru wake lini, huko ustaarabu ulianza siku nyingi sana. Mwaka 1776 unafikiri Afrika ilikuwa wapi. Tulia maendeleo ni hatua hata hapa tulipo bado ni sahihi, miaka mingine 200 ijayo we unafikiri Afrika itakuwa wapi. Km Utakuwa una uwezo wa kuona kutoka utakapokuwa utaona mwenyewe kuwa Afrika itakuwa km huko Marekani pengine na zaidi.
India imepata uhuru mwaka 1947, china imepata uhuru mwaka 1949 katika hizo nchi mbili ambazo hatujapishana sana katika nyakati za kudai uhuru je, tunazifikia hizo nchi hata robo tu katika sekta yoyote.

Vietnam ambaye tulifanana Kila kitu mpaka sera za ujamaa, miaka kumi tu baada ya kupata uhuru nchi ikaingia vitani miaka ishirini anapigana vita mpaka mwaka 1976 vita vinaisha alikuwa hoi hasa kiuchumi,

Ndani ya miaka ishirini tu vietnam imebadilika Kila kitu huku sisi Bado tunaiomba serikali kujenga matundu ya vyoo. Kwa sasa huwezi kuifananisha Hanoi na Dodoma au Jiji la Hcmc na dar es salaam.

Huwezi tena kuiweka Vietnam na Tanzania kundi Moja kama ilivyokuwa miongo miwili nyuma. Race ya mwafrika kuna sehemu ilikosea inabidi tujitafakari tusiukimbie ukweli.
 
Sentensi ya mwisho umeongea ukweli sana mkuu. Yaani ni kama vile walienda kutalii na wakirudi na story za huko na kujiona wajanja kwa kuwa wamefika na kuishi ng'ambo.

Kinachobaki ni kutamba na CV mtaani na kutuibia tu. Mara utaskia ooh Prof. fulani, ooh Dr. fulani, ooh sijui Eng. fulani n. k. Yaani ni hovyo kabisa
 
Yawezekana huyu malaika aliyetumwa kwenda kukusanya udongo wa kumuumba mtu mweusi kuna kitu alisahau kuchukua
India imepata uhuru mwaka 1947, china imepata uhuru mwaka 1949 katika hizo nchi mbili ambazo hatujapishana sana katika nyakati za kudai uhuru je, tunazifikia hizo nchi hata robo tu katika sekta yoyote.

Vietnam ambaye tulifanana Kila kitu mpaka sera za ujamaa, miaka kumi tu baada ya kupata uhuru nchi ikaingia vitani miaka ishirini anapigana vita mpaka mwaka 1976 vita vinaisha alikuwa hoi hasa kiuchumi,

Ndani ya miaka ishirini tu vietnam imebadilika Kila kitu huku sisi Bado tunaiomba serikali kujenga matundu ya vyoo. Kwa sasa huwezi kuifananisha Hanoi na Dodoma au Jiji la Hcmc na dar es salaam.

Huwezi tena kuiweka Vietnam na Tanzania kundi Moja kama ilivyokuwa miongo miwili nyuma. Race ya mwafrika kuna sehemu ilikosea inabidi tujitafakari tusiukimbie ukweli.
 
Hivi inawezekana kweli huyo Mungu akaumba watu wake(all ethnicities) kwa kubagua?

Unajua huyu Mungu, kama kweli alituumba, kuna mambo itabidi tumhoji sana siku tukionana nae, haiwezekani kuna superiors na inferiors wakati muumba ni mmoja. Makes no sense at all.
Hakuna alieumba chochote it just happened
 
mkuu,kwanza nikukumbushe,nia yao watu weupe ya kukufanya wewe uwaone wao ni bora kukuliko imefanikiwa kwa asilimia 100%.

wacha nikuweke sawa.

elimu na mifumo yote ya kuongeza ufahamu,wao ndio waanzilishi,hakuna namna inapoletwa kwenu itaachwa iwe katika mlengo unaowafaa wao,maana wanajua ngozi nyeusi ni bora katika upande gani(wanaogopa),hivyo mbinu ambayo hutumiwa ni kuvuruga mifumo ya elimu kupitia viongozi(matumbotumbo),na kuiondolea ubora unaotakiwa kabisa.

angalia china na japan,wao mfumo wao ni mtoto chini ya miaka 5 anafundishwa elimu ya mahusiano tu sio kusoma wala kuandika,ndipo uzalendo na siha njema mtoto anakua nao kuanzia hapa.huu ni mfumo waliuchagua wao wakauandaa uwafae wao.sisi tunabeba mitaala ya kujifunza lugha ya kiingereza badala ya kujifunza ujuzi na taaluma za kwao.sijui kiingereza kina faina gani na maendeleo yetu!!!

tabia hii ya kutothamini vya kwetu imeingia damuni,mpaka aliyefanikiwa kusoma kwao uzunguni anaona ni heri abaki huko,kuliko kuja kufanya kitu nyumbani.

nikukumbushe uwezo wa mtu mweusi.
angalia sekta za kichezo na burudani,waty weusi wametamalaki huko,hii ni kutaka kukumbusha tunaweza kufanya mambo makubwa sana nje ya elimu tulizoletewa,muhimu kujiamini tu.

hawa viongozi mawakala ndio wanasababisha africa miaka nenda rudi imesimama tu,ndio maana walipojitokeza watu kama akina jpm ikabidi lifanyike jambo kwa haraka ili mambo yasiharibike.
Umeeleza vema kabisa. Weusi au weupe wa ngozi ya mtu hauna uhusiano kabisa na akili yake. Nasisitiza kuwa akili inakuwa kichwani, si kwenye ngozi!

Kuna watu weusi wamefanikiwa "against all odds" katika maisha na kuajiri hata wazungu. Wapo wazungu, wahindi, wachina nk.; nao ni watupu kabisa kichwani japo si wote.

Pia tukumbuke kuwa waafrika wamepitia madhila na mateso mengi mno pengine kuzidi watu wengine wote duniani. Hata hivyo, tusijidharau na kulemaa. Success is all about positive attitudes, creative thinking and unwavering struggle. Na Mungu hana upendeleo!
 
Kitu cha kuangalia ni je hayo mataifa yamepataje utajiri wake? Kama kuna wizi,ufisadi,uuaji,uuzaji wa watumwa,ulafi, ukandamizaji wa kila aina na kila aina ya ukiukwaji wa utu basi ujue shetani katimiza lengo ili wewe uweze kutenda dhambi kwa kumkufuru Mungu asiehusika. Shetani kakutengenezea illusion kwamba utajiri ni kuwa na mali nyingi za anasa na kakuziba akili ya kujiuiliza mambo kadhaa. Mbona Yesu aliishi kimasikini pamoja na wanafunzi wake!! Na aliwaambia nini matajiri na walafi wakubwa wa enzi zile au Mungu aliongea nini na matajiri wa enzi hizo wenye kupenda mali kuliko utu? Basi nakuomba badilisha kichwa chako cha habari na kiite kwanini shetani anawashusha waafrika? Mtu umeumbiwa mito milima mabonde maziwa misitu mizuri ardhi yenye rutuba yani umepewa nusu bustani ya Eden eti umelaaniwa duuh. Nani kakuambia utajiri ni magari ya kifahari maghorofa na majunk food? Muafrica umechagua kutamani mali ya wengine na kusahau kushukuru kwa ulichopewa ndo maana unazidi laaniwa sababu ya kukufuru Mungu.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Safi sana, maelezo murua!
 
Umeeleza vema kabisa. Weusi au weupe wa ngozi ya mtu hauna uhusiano kabisa na akili yake. Nasisitiza kuwa akili inakuwa kichwani, si kwenye ngozi!

Kuna watu weusi wamefanikiwa "against all odds" katika maisha na kuajiri hata wazungu. Wapo wazungu, wahindi, wachina nk.; nao ni watupu kabisa kichwani japo si wote.

Pia tukumbuke kuwa waafrika wamepitia madhila na mateso mengi mno pengine kuzidi watu wengine wote duniani. Hata hivyo, tusijidharau na kulemaa. Success is all about positive attitudes, creative thinking and unwavering struggle. Na Mungu hana upendeleo!
Ulivyosema kuwa watu weusi wamepitia madhila, ndio umezidi kusisitiza kuhusu akili ndogo ya mtu mweusi.

Ilikuwaje wakatawaliwa, na kwanini hadi sasa bado tunatawaliwa.?

Kwanini kila kukicha Waafrica wanakimbilia Ulaya na Marekani??
 
We Acha tu! Hata Wazungu walipotuletea dini zao, kielelezo cha Yesu ni picha nyeupe yenye kuvutia na kielelezo cha shetani ni picha nyeusi ya kutisha na macho ya ajabu tena mekundu. Nadiriki kusema "dini zao" kwani ni biashara na sio neno la Mungu.
 
mkuu,kwanza nikukumbushe,nia yao watu weupe ya kukufanya wewe uwaone wao ni bora kukuliko imefanikiwa kwa asilimia 100%.

wacha nikuweke sawa.

elimu na mifumo yote ya kuongeza ufahamu,wao ndio waanzilishi,hakuna namna inapoletwa kwenu itaachwa iwe katika mlengo unaowafaa wao,maana wanajua ngozi nyeusi ni bora katika upande gani(wanaogopa),hivyo mbinu ambayo hutumiwa ni kuvuruga mifumo ya elimu kupitia viongozi(matumbotumbo),na kuiondolea ubora unaotakiwa kabisa.

angalia china na japan,wao mfumo wao ni mtoto chini ya miaka 5 anafundishwa elimu ya mahusiano tu sio kusoma wala kuandika,ndipo uzalendo na siha njema mtoto anakua nao kuanzia hapa.huu ni mfumo waliuchagua wao wakauandaa uwafae wao.sisi tunabeba mitaala ya kujifunza lugha ya kiingereza badala ya kujifunza ujuzi na taaluma za kwao.sijui kiingereza kina faina gani na maendeleo yetu!!!

tabia hii ya kutothamini vya kwetu imeingia damuni,mpaka aliyefanikiwa kusoma kwao uzunguni anaona ni heri abaki huko,kuliko kuja kufanya kitu nyumbani.

nikukumbushe uwezo wa mtu mweusi.
angalia sekta za kichezo na burudani,waty weusi wametamalaki huko,hii ni kutaka kukumbusha tunaweza kufanya mambo makubwa sana nje ya elimu tulizoletewa,muhimu kujiamini tu.

hawa viongozi mawakala ndio wanasababisha africa miaka nenda rudi imesimama tu,ndio maana walipojitokeza watu kama akina jpm ikabidi lifanyike jambo kwa haraka ili mambo yasiharibike.
Sasa mbona hao blacks wanaosoma mitaala sawa na hao weupe huko ulaya wanabehaves the same na sisi tulio africa
 
Mtu mweusi amejipuuza mwenyewe, alitafuta MIUNGU yake akaiabudu...

Akaacha kumwabudu MUNGU aliyemuumba...

Hapa ndio shida ilipoanzia na haitaisha mpaka mseme...

Kama waafrica wataacha Miungu yao wote na kumwabudu MUNGU aliyewauumba basi watamiliki...

Maana tutarejeshewa mamlaka ya kumiliki Duniani na Mbinguni
Wazungu wamekubrainwash sana dada.
 
Back
Top Bottom