Huyo mungu wako amekosa Akili, na ni mjinga, na mpumbavu kama wewe tu.
Nifikishie Ujumbe huu kwa huyo Mungu wako: KmMAqe
Ati Mungu anapuuza? Mfyuuuuuuuuuuu
Unataka kujificha kwenye chaka la hoja potofu.
Kama unabisha , nitajie Nchi kadhaa au yeyote ile ambayo ina watu weusi wasiotoka bara la Afrika! Na utaje hayo mafanikio yao ambayo Nchi hizi za Afroka ulizozitaja zimeshindwa kuyapata!
Wacha matusi na Ugaidi wa Mtandaoni.
Itoshe, hoja zako ni za kishenzi na Ulaaniwe popote pale Ulipo. Ushindwe na Ulegee.
Hakuna sehemu yeyote ile, aidha kisayansi au kwenye mafundisho na vitabu vya dini zezote inayosema mungu kawapa akili watu weupe zaidi na kuwapuuza watu weusi, Hakuna. Huna Ushahidi.
It is shameful and disgusting to see that tunashindwa
Maxence Melo kuona maudhui haya mbufu mbofu
JamiiForums.
STOP RACISM IN ITS TRACKS