Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mungu ametupuuza sana watu weusi

Huyo mungu wako amekosa Akili, na ni mjinga, na mpumbavu kama wewe tu.

Nifikishie Ujumbe huu kwa huyo Mungu wako: KmMAqe

Ati Mungu anapuuza? Mfyuuuuuuuuuuu


Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.
Unataka kujificha kwenye chaka la hoja potofu.

Kama unabisha , nitajie Nchi kadhaa au yeyote ile ambayo ina watu weusi wasiotoka bara la Afrika! Na utaje hayo mafanikio yao ambayo Nchi hizi za Afroka ulizozitaja zimeshindwa kuyapata!

Wacha matusi na Ugaidi wa Mtandaoni.

Itoshe, hoja zako ni za kishenzi na Ulaaniwe popote pale Ulipo. Ushindwe na Ulegee.

Hakuna sehemu yeyote ile, aidha kisayansi au kwenye mafundisho na vitabu vya dini zezote inayosema mungu kawapa akili watu weupe zaidi na kuwapuuza watu weusi, Hakuna. Huna Ushahidi.


It is shameful and disgusting to see that tunashindwa Maxence Melo kuona maudhui haya mbufu mbofu JamiiForums.

STOP RACISM IN ITS TRACKS
 
mkuu,kwanza nikukumbushe,nia yao watu weupe ya kukufanya wewe uwaone wao ni bora kukuliko imefanikiwa kwa asilimia 100%.

wacha nikuweke sawa.

elimu na mifumo yote ya kuongeza ufahamu,wao ndio waanzilishi,hakuna namna inapoletwa kwenu itaachwa iwe katika mlengo unaowafaa wao,maana wanajua ngozi nyeusi ni bora katika upande gani(wanaogopa),hivyo mbinu ambayo hutumiwa ni kuvuruga mifumo ya elimu kupitia viongozi(matumbotumbo),na kuiondolea ubora unaotakiwa kabisa.

angalia china na japan,wao mfumo wao ni mtoto chini ya miaka 5 anafundishwa elimu ya mahusiano tu sio kusoma wala kuandika,ndipo uzalendo na siha njema mtoto anakua nao kuanzia hapa.huu ni mfumo waliuchagua wao wakauandaa uwafae wao.sisi tunabeba mitaala ya kujifunza lugha ya kiingereza badala ya kujifunza ujuzi na taaluma za kwao.sijui kiingereza kina faina gani na maendeleo yetu!!!

tabia hii ya kutothamini vya kwetu imeingia damuni,mpaka aliyefanikiwa kusoma kwao uzunguni anaona ni heri abaki huko,kuliko kuja kufanya kitu nyumbani.

nikukumbushe uwezo wa mtu mweusi.
angalia sekta za kichezo na burudani,waty weusi wametamalaki huko,hii ni kutaka kukumbusha tunaweza kufanya mambo makubwa sana nje ya elimu tulizoletewa,muhimu kujiamini tu.

hawa viongozi mawakala ndio wanasababisha africa miaka nenda rudi imesimama tu,ndio maana walipojitokeza watu kama akina jpm ikabidi lifanyike jambo kwa haraka ili mambo yasiharibike.
Huyo jpm alikua na nn cha maana sasa? Ktk watu wajinga na wapumbavu yeye ndio aliongoza
 
[emoji16] jichubue mkuu Kisha nenda mloganzila ufanyiwe upasuaji wa macho yawe madogo ukijiangalia kwenye kioo mchina huyu hapa,Kisha tuporomoshee maghorofa,wise ass.ps usisahau kuchonga pua.
Kama Michael Jackson [emoji1739]
 
Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.
Acha dharau mkuu
 
Hivi inawezekana kweli huyo Mungu akaumba watu wake(all ethnicities) kwa kubagua?

Unajua huyu Mungu, kama kweli alituumba, kuna mambo itabidi tumhoji sana siku tukionana nae, haiwezekani kuna superiors na inferiors wakati muumba ni mmoja. Makes no sense at all.
Warumi 9
12 aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.

13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.

14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!

15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.

16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.

17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.

18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.

19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?

20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?

21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
 
Hello!

Kuna mtu mweusi na kuna Mwafrika, hawa ni watu wawili tofauti. Unaweza ukawa mwafrika lakini usiwe mtu mweusi na unaweza kuwa mtu mweusi lakini usiwe mwafrika.

Nazungumzia mtu mweusi bila kujali ni raia wa nchi/bara gani. Mtu mweusi amepuuzwa na MUNGU, kwa lugha rahisi tuseme ameshushwa au amedharauliwa na Muumba wake.

Mungu ametupa akili ndogo kuliko watu weupe. Most of Chinese contractors wanaojenga fly over, wanaojenga high ways na mijengo mbalimbali wana elimu ya kawaida tu, ni diploma za civil engineering lakini uwezo wao unazidi uwezo wa Prof. wa civil engineering wa UDSM kwenye vitendo/site.

Kongo ina wasomi wengi wa mambo ya siasa na fani zingine lakini wameshindwa kutumia akili zao kumaliza migogoro ya wenyewe kwa wenyewe ili wavune rasilimali zao za asili. Kuna mahali Kongo kuna milima ya dhahabu na madini mengine lakini ufukara unawala sana.

Watu weusi wa Zimbabwe dhahabu zimeshindwa kuwaondoa kwenye ufukara na mfumuko wa bei. Zimbabwe viongozi na wanadiplomasia wanatumia nafasi zao kutorosha dhahabu. Wao wanakuwa mabilionea huku wenzao wakifa kwa kukosa dawa hospitalini.

Watu weusi wa Tanzania wameshindwa kutumia reserve ya gesi asilia kukomesha mgao wa umeme na kukomesha matumizi ya mkaa majumbani.

Mifano ni maelfu kwa maelfu. Kwa ufupi Mungu ametupuuza Waafrika weusi. Leo hii Mwafrika anajiita Nabii na wanaotoa vibali wanapewa pesa ya rushwa wanamsajili ili awatapeli Maskini wenzake.
Jela za Marekani zimejaa watu weusi licha ya uchache wao katika Taifa la Marekani. Nasikia tabia za ulevi usio na staha, matusi, kupigana , uuaji, mihadarati na wizi ndio vinawaja jela.

Kuna watu wanadhani mfumo wa elimu yetu ndio huzaa wasomi wasio na kitu cha kutoa katika jamii kumbe sio ni matokeo tu ya mtu mweusi.

Kuna wasomi wengi tu wa hapa nchini master's na PhD wamechukua huko ng'ambo lakini hawana cha kutoa katika jamii zaidi ya story za kule ulaya, kule Marekani, kule India. Wanaishia kuongea hivyo tu.
Warumi 9

14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!

15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.

16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.

17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.

18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.

19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?

20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?

21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?


Mungu ana mamlaka juu ya uumbaji wake wote na lolote atakalo kulitenda juu ya uumbaji wake liko ndani ya uweza wake .....hivyo ni vyema tukaji tafakari hivi kwamba SISI KAMA WAKATI MWINGINE KIBURI CHA UZIMA KISUTUFANYE KUTAMANI KUJIONA SAWA MUNGU AU KUJIONA TUNAWEZA KUMHOJI MUNGU KWA HABARI YA UUMBAJI WAKE
 
Hivi inawezekana kweli huyo Mungu akaumba watu wake(all ethnicities) kwa kubagua?

Unajua huyu Mungu, kama kweli alituumba, kuna mambo itabidi tumhoji sana siku tukionana nae, haiwezekani kuna superiors na inferiors wakati muumba ni mmoja. Makes no sense at all.
Kutofikiri kwako tu ndo kunakusumbua. So unataka kuandamana kuwa why Simba ni dominant Kwa wanyama wengi mwituni ? Ukubari tu ukweli ngozi nyeusi ni inferior Kwa light skin
 
Huyo mungu wako amekosa Akili, na ni mjinga, na mpumbavu kama wewe tu.

Nifikishie Ujumbe huu kwa huyo Mungu wako: KmMAqe

Ati Mungu anapuuza? Mfyuuuuuuuuuuu



Unataka kujificha kwenye chaka la hoja potofu.

Kama unabisha , nitajie Nchi kadhaa au yeyote ile ambayo ina watu weusi wasiotoka bara la Afrika! Na utaje hayo mafanikio yao ambayo Nchi hizi za Afroka ulizozitaja zimeshindwa kuyapata!

Wacha matusi na Ugaidi wa Mtandaoni.

Itoshe, hoja zako ni za kishenzi na Ulaaniwe popote pale Ulipo. Ushindwe na Ulegee.

Hakuna sehemu yeyote ile, aidha kisayansi au kwenye mafundisho na vitabu vya dini zezote inayosema mungu kawapa akili watu weupe zaidi na kuwapuuza watu weusi, Hakuna. Huna Ushahidi.


It is shameful and disgusting to see that tunashindwa Maxence Melo kuona maudhui haya mbufu mbofu JamiiForums.

STOP RACISM IN ITS TRACKS
Nakwambia tena hapa huwezi kuzuia Racism.

Racism ni Asili ya mwanadamu.

Whether you like it or not.
 
Warumi 9
12 aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.

13 Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.

14 Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? Hasha!

15 Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.

16 Basi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakaye, wala wa yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye, yaani, Mungu.

17 Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao, ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwe katika nchi yote.

18 Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.

19 Basi, utaniambia, Mbona angali akilaumu? Kwa maana ni nani ashindanaye na kusudi lake?

20 La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwani kuniumba hivi?

21 Au mfinyanzi je! Hana amri juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
Mjadara umeisha .Uzi ufungwe
 
Hivi inawezekana kweli huyo Mungu akaumba watu wake(all ethnicities) kwa kubagua?

Unajua huyu Mungu, kama kweli alituumba, kuna mambo itabidi tumhoji sana siku tukionana nae, haiwezekani kuna superiors na inferiors wakati muumba ni mmoja. Makes no sense at all.
Brother kwenye hii case mi sipo na sitokusaidia 😂😂😂😂

Nimecheka hapo pa kumuhoji.
 
Mkuu umeongea ukweli.

Watu weusi hasa waafrika watanzania wana Uvivu, Ujinga na upumbavu wa milele.

Angalia nchi kama UAE, Qatar, Japan n.k zote zilitawaliwa na Wakoloni lakini leo hii zina maendeleo na karibu kuwazidi nchi za ulaya..

Waafrika tangu tupate uhuru excuse ni Ukoloni, kwamba ndio ime turudisha nyuma.

Haya leo hii, nchi nyingi za Afrika zina miaka karibu 60 ya uhuru wa kujitawala na kujiongoza zenyewe lakini kila mara kuomba mikopo na misaada. Kisha mikopo ikisha letwa ina hujumiwa...!!!

Black Americans wa USA kutwa kucha kusingizia Slavery, ndio ili wakwamisha ..

Slavery ili isha kitambo sana, ila hadi leo black Americans excuse yao ni slavery..

Waafrika na watu weusi ni kama vile wana upumbavu wa milele.
Point of corrections; Japan haijawahi kuwa colonized
 
Itoshe kusema tu ngozi nyeusi ni laana yaani sisiem miaka 60 ya uhuru bado watoto wanasoma chini ya mwembe hata madarasa ya kusomea hatuna
Yaani maisha tunayo ishi huku leo ngoz nyeusi wenzetu wali ishi miaka mia iliyo pita.
 
Back
Top Bottom