Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mkuu umeongea ukweli.

Watu weusi hasa waafrika watanzania wana Uvivu, Ujinga na upumbavu wa milele.

Angalia nchi kama UAE, Qatar, Japan n.k zote zilitawaliwa na Wakoloni lakini leo hii zina maendeleo na karibu kuwazidi nchi za ulaya..

Waafrika tangu tupate uhuru excuse ni Ukoloni, kwamba ndio ime turudisha nyuma.

Haya leo hii, nchi nyingi za Afrika zina miaka karibu 60 ya uhuru wa kujitawala na kujiongoza zenyewe lakini kila mara kuomba mikopo na misaada. Kisha mikopo ikisha letwa ina hujumiwa...!!!

Black Americans wa USA kutwa kucha kusingizia Slavery, ndio ili wakwamisha ..

Slavery ili isha kitambo sana, ila hadi leo black Americans excuse yao ni slavery..

Waafrika na watu weusi ni kama vile wana upumbavu wa milele.
 
Binadamu ameumbwa kwa kufinyanga udongo, rangi ya udongo inafanana na mtu mweusi, hivyo Adam alikuwa mweusi. Mtu mweusi kajaliwa akili sema hakuonyeshwa namna ya kuitumia.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Double standards za Mungu?!...atupe akili then asituone sh e namana ya kuzitumia!😁😁😁
 
Utetezi wako unaonyesha dhahiri anachokimaanisha mtoa mada.Sisi ni dhaifu ndo maana unakuja na huu utetezi.Tungekua hatuna tatizo huu utetezi ulitakiwa uishie miaka ya zamani sana.Vizazi ambavyo vimeshapita tulitakiwa tuwe mbali kifikra badala yakuona wako waliotuharibu.yako mataifa yaliyokua duni kama sisi lakini wao wamejitafuta nakujipata ila ngozi nyeusi imebaki vile vile alafu bado tunasingizia wengine.Kujiongoza tu hatuwezi hadi ilo nalo ni wazubgu walituharibu?.Hiyo michezo hadi tukaifanye uko kwa wazungu ndio tuonekane kwanini isiwe uku kwetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
Najua huwa it's kinda abomination kuongelea mambo ya kimungu, tunaogopa ila huwa tunayawaza. Kuna races zimependelewa, kwani wewe huoni? Leo hii ukitua jiji kama Washington huko, utaona kama sisi tunaishi tu ili mradi.
Huo ndio ukweli.binadamu hatuko sawa.Mambo ya usawa ni mbwembwe tu ila ukweli tuna tofauti kubwa sana kuanzia fikra hadi maumbile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekua brainwashed kwasababu akiki yetu ni dhaifu.Mbona ni sisi tu ndo tuko hivyo.Tena vizazi na vizazi hatubadiliki.Malcom ni wajuzi tu ika tatizo letu nilamuda mrefu kabla ya wazungu kuja afrika.Isingekua hivyo leo tusingeona tofauti kati ya waafrika wenye asili ya kiarabu na sisi wamatumbi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda kutesa kwa zamu pengine tulishawahi kuwa bora kuliko wazungu huko nyuma
 
Mungu alituumba kwa usawa sema akatuweka darani aone yupi kamkosea......ili afanye masahisho ya uumbaji wake....

Mzungu kachagua akili

Mwaraubu kachagua mali

Mweusi kachagua uchawi ili awaroge wenzie mzungu na mwarabu.........akajikuta kamroga mpaka sir God, akabid asepe bila kufanya correction
 
😁 jichubue mkuu Kisha nenda mloganzila ufanyiwe upasuaji wa macho yawe madogo ukijiangalia kwenye kioo mchina huyu hapa,Kisha tuporomoshee maghorofa,wise ass.ps usisahau kuchonga pua.
 
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo, tujue unapomlaumu, angalau yupo kweli usilete lawama kwa Mungu wa hadithi tu.
 
Kuna mtu mweusi na roho nyeusi.

Wengi unaowaongelea hapo ni roho nyeusi.
 
Waafrika sisi tuna ujinga na Upumbavu tangu zamani za mababu zetu.

Mababu zetu walivyo kuwa wapumbavu, Walisalitiana na kuuzana utumwani wenyewe kwa wenyewe.
 
Uongo mkubwa uliowahi kutokea duniani unaujua wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…