Mungu ametupuuza sana watu weusi

Mtu mweusi ,ili afanye vizuri sehemu yeyote ,asimamiwe na mtu mweupe ,au ashirikiane na mtu mweupe hapo ndipo anafanya vizuri vinginevyo ni vituko ,vioja ,vimbwanga .Mfano mzuri ona French national team ,Barack Obama in short ,mtu mweusi ni mtumwa.
 
Wakoloni mapadre walituambia sisi pia tulikua weupe, ila siku moja Mungu aliweka bwawa la maji safi ili tujitakase na dhambi na tupate baraka. Wazungu wakawahi kuingia wakaoga na kujitakasa na kubsrikiwa.
Sisi kwa ubishi tukaingia mwishoni maji yameisha chafuka na kua meusi na sie tukatoka weusi na bila baraka kwa hiyo wakasema tutubu na kuomba msamaha na mapadre weupe watatusaidia
 
Mijitu mieusi tabu sana unaweza ukamfunga mwanadamu mwenzako kwa minofu 12 ya swala miaka 22?.Ambayo hata kilo haifiki.Wanaharamu watupu mazafaka .
 
Neno kutupuuza litoe mungu anaona kilio chako atakupa jibu kwa kupitia sisi jamaaan zako

Ubinafsi, chuki binafsi, choyo, uvivu wa kufikiri ndivyo vinavyo tukwamisha sisi wa Africa

Kuna mjomba mmoja huko zanzibar ni kiongoz kwenye msikitini nilimuuliza inakuwaje uraya, Asia, America, haya mabara dini kwao ni za kuunga unga na majanga mengi ya asili yawaandama kwanini awalalmiki njaa au kujakuomba misaada Africa alicho ni jibu nikajua anao upeo mdogo wa kufikiri alinijibu kwamba watu weupe hasa wa zungu hapa dunia ni pepo Yao na sisi wa afrika pepo yetu kesho akhera

Nilicho gundua kingine hizi dini ukristo na uislamu elimu ya dini tumezipokea au tumepewa elimu tofaut na viongoz wetu kwa ubinafsi wao tumejawa na chuki muislam mweusi na mkristo mweusi atupendani tunatoana akili
Mungu wa kweli anasisitiza amani na upendo mpenda jirani yako kama unavyojipenda hayo nayo yanachangia Africa kuwa masikini
 
Kumbe Kuna wasemaji wa Mungu [emoji848][emoji848]
 
PHYSICALLY, katika kazi zinazohitaji nguvu (Mascular), ni kweli watu weusi wanaperform vizuri hata kwenye Marathon, Football, Rugby tunaona...ndio maana Walifanywa Watumwa na races zingine na mpaka sasa ni Watumwa

COGNITIVELY, Watu weupe wana uwezo mkubwa sana kuwazidi watu weusi. Ndio maana Ugunduzi na Ubunifu mkubwa duniani umefanywa na unafanywa na Watu weupe

Hakuna Chochote kikubwa duniani chenye msaada mkubwa kidunia, kilichobuniwa au kugunduliwa na Mtu mweusi

Hata katika nchi zetu za asili bado Matajiri wakubwa ni Watu weupe

Wahindi wana viwanda vyao ambapo waneajiri watu weusi kama Watumwa, wanaolipwa mpaka elfu 80 kwa mwezi

Watu weusi ni WATUMWA kwa weupe.
 
Japan ilitawaliwa na nani mkuu?
Japan ilimtawala china,haijawahi tawalila,
Hao waarabu Ndio waasisi wa kwanza kbsa wa kutumikisha watu,sidhani kama waarabu walitawaliwa na mzungu
 
Japan ilitawaliwa na nani mkuu?
Japan ilimtawala china,haijawahi tawalila,
Hao waarabu Ndio waasisi wa kwanza kbsa wa kutumikisha watu,sidhani kama waarabu walitawaliwa na mzungu
Weeeh

Almost nchi zote za kiarabu zilitawaliwa na Wazungu wa Ulaya

Algeria chini ya Wafaransa, Morocco chini ya Spain, Tunisia chini ya France na baadae Britain, Egypt chini ya Britain

Na hata kabla hata ya Yesu kuja duniani Utawala wa Rumi ulifika mpaka Libya na Tunisia
 
Japan ilitawaliwa na nani mkuu?
Japan ilimtawala china,haijawahi tawalila,
Hao waarabu Ndio waasisi wa kwanza kbsa wa kutumikisha watu,sidhani kama waarabu walitawaliwa na mzungu
Sawa china ilitawaliwa, leo hii kimaendeleo tuna wafikia?
 
Chukulia mfano Haiti. Hii nchi ipo karibu na Marekani lakini maskini wa kutupwa. Ina maana wameshindwa kutumia exposure kutoka USA ili kuendeleza nchi yao.

Chukulia mfano, Liberia. Hii nchi waliletwa black Americans miaka ya 1880 na kuunda hiyo nchi. Hao black Americans walikuwa wengine wenye exposure na elimu, basi tulitarajia wangeitumia hiyo exposure na kuifanya Liberia ionekane tofauti na nchi nyingine za Kiafrika, lakini walipofika Liberia nao wakawa wakoloni wapya, mpaka leo Liberia hoi! Hivyo hivyo kwa Siera Leon.

Ethiopia ni nchi ambayo haijatawaliwa na wakoloni, ingawa Mwitaliano alijaribu ila alishindwa, lakini Ethiopia wapo wapi leo!
 
Mtu mweusi amejipuuza mwenyewe, alitafuta MIUNGU yake akaiabudu...

Akaacha kumwabudu MUNGU aliyemuumba...

Hapa ndio shida ilipoanzia na haitaisha mpaka mseme...

Kama waafrica wataacha Miungu yao wote na kumwabudu MUNGU aliyewauumba basi watamiliki...

Maana tutarejeshewa mamlaka ya kumiliki Duniani na Mbinguni
 
Baada ya ukumbushi huu naomba ujibu basi hoja yake
 
We piskali ndo hujui kitu kabisaaa,
Labda nikusaidie historia ya Mungu wa kweli.

Dini hizi kubwa zinazojinadi ni za Mungu wa kweli chimbuko lake ni Israel.... enhh ndio wenye kumuabudu Mungu muumbaji the rest walikua na miungu si wazungu,waarabu,wachina,wahindi na waafrika.

Swala la maendeleo na dini pengine sisi tulio letewa mungu tusiomjua ndo imetufikisha hapa... pengine tungeendelea na mizumu ambayo kwa sehemu kuubwa ilitusaidia (ukisoma historia) hata kua watu wa kwanza kustaarabika pamoja hata kuwatesa wana wa israel leo tusingezungumza hivi.

Tatizo la upumbavu wetu ni kukataa asili yetu, na hii itakula kizazi cha afrika kwa miaka mingi saana bila huruma
 
Black people cannot rule themselves
 
Mtu mweusi amejipuuza mwenyewe, alitafuta MIUNGU yake akaiabudu...
Miungu ni nini?

Una uthibitisho upi na ushahidi upi kwamba watu weusi walikuwa wana abudu miungu?

Au ndivyo jinsi ulivyo pumbazwa na dini yako kukataa asili yako ya kuabudu?
Akaacha kumwabudu MUNGU aliyemuumba...
Una uthibitisho upi wa kwamba Mungu ali kuumba?
Hapa ndio shida ilipoanzia na haitaisha mpaka mseme...
Kama waafrica wataacha Miungu yao wote na kumwabudu MUNGU aliyewauumba basi watamiliki...

Maana tutarejeshewa mamlaka ya kumiliki Duniani na Mbinguni
Yani una eleza illusions tu.
 
ulivyomtaja tu JPM nikakuona na we hamnazo. Huyo marehemu wenu ndio ameiharibu hii nchi ndani ya muda mfupi. Ni nini hasa ktk elimu amekifanya zaidi ya kuvuruga kwa kuacha hata kuajiri na kupandisha madaraja ya hao walimu. PhD yake yenyewe feki, uliyoyaandika yote ni upupu kwa kumtaja tu huyo marehemu. Waafrika hawana shida yoyote huyo mleta post ana ugonjwa wa "inferiority complex" hajiamini, hajithamini. Wako waafrika wengi wenye elimu na ujuzi mzuri sana, safari ni hatua, tutafika tena mbali sana
 
we jiamini acha hiyo inferiority complex, kuna watu weusi wenye elimu stahiki na ujuzi mzuri sana na wanafanya mambo makubwa. Ni we unajiona umepuuzwa ila ukweli we ndio umejipuuza.
 
kwenye uvivu ni kweli, watu ni wavivu, wazembe hakuna mfano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…