Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Aliyekwambia kwamba yusufu na Mariam walikuwa wanaishi pamoja kabla ya ile mimba ni nani
 
Na imeandikwa wp yeye ni Mungu[emoji3][emoji22]...
Mungu alimlilia Mungu wakati anakufa!!!?? Hatari sana
Wapendwa katika Bwana mliomo humu jf, ebu mpeni vifungu/maandiko yanayosema Yesu ni Mungu huyu Tomaso.
 
Na imeandikwa wp yeye ni Mungu[emoji3][emoji22]...
Mungu alimlilia Mungu wakati anakufa!!!?? Hatari sana

Umesoma Biblia au unauliza ili uelewe.
Kasome mistari hii ifuatayo.

Yohana 1:18
Yohana 10:30
Wafilipi 2:5-6
 
Kitabu gani kinachosema kuna watu walikuwepo kabla ya Adam?
 
Dini zinasambazwa kwa lazima, kuna mataifa ukiwa mkristo unakatwa kichwa mfano Afghanistan. Hivyo siyo ukristo tuu ulioenezwa kwa lazima.
 
Kuna kundi la watu ambao hawajui lakini wanajifanya wanajua. Wewe upo kwenye Hilo kundi. Unaishambulia Biblia na kusema Ni uongo. Jiulize ni kwanini Yesu au Issa anatajwa Sana kwenye Quran?.
Sasa Kutajwa tajwa sana ndio kunathibitisha kwamba Nj ukweli. Kwani mbona Waovu wanatajwa tajwa sana Ndugu yangu. Mbona Shetani anatajwa tajwa sana

Kutwajwa kwa Mtu si Kwamba Ndio kuna Ukweli ndani
 
Acha kutumia muda mwingi kuandika visivyoeleweka.maana hadi hapa nimegundua wewe ndiye ambaye hutaki kuelewa kilichomaanishwa kwenye biblia.badala yake inaunga unga nadharia zako ambazo hazina mantiki.
 
Yesu mwenyewe alisema...Yehova ndio mungu pekee mweza yote. soma Yohana 14:28
Yehova siyi Mungu. Yehova alikuwa mtoto wa Hudi. Hudi alizaa na na Sharka ambaye alikuwa mke wake wa pili baada ya Jemi kupata shida kidogo kwenye uzao wake
 
Ni kama ile wewe mwanaume unavmiaka karibia 50 unambaka mtoto wa miaka sita halafu kwa aibu eti unapotezea kwa kumuoa akiwa na miaka 9 na bado unaona sawa tu na mabilion ya waja wanakutuza hadi wanachinjana na kujitoa mhanga. Halafuu unajiona mjanjaaaa eti Mungu kakutuma. Kweli huyo ni Mungu gani wa ajabu anaweza kukutuma.
 
Yehova si Mungu. Huyo alikuwa mtoto wa Hudi sasa Unaposema Ni Mungu huyo ni Binadamu mwenzako aliyeheshimika sana kipindi hicho

Kwa hivyo unataka kusema Biblia Ni uongo kumuita Mungu Yehovah. Kama Biblia Ni uongo endelea kufanya Uzinzi na dhambi zingine.
 
Naamin haujalazimishwa uamin, ukienda china utakuta watu wengi tu hawana dini na wanaishi vizuri hata wewe unaweza fuata mkondo huo, kila binadamu ana uhuru wa kuishi atakavyo ili mradi asivunje sheria na asiwe kero kwa mwenzake

Sasa Mbona Kwenye Mahubiri mnawambiwa watu watachomwa Moto kama Hawatamwamini Mwana wa Mungu na Yeye tu ndio Njia ya ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…