cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
Mzee google tu vipo vitabu vingi tu mtandaoni utasoma na kuelewa vizuri dini ya Afrika inayosimamia Upendo na AmaniNipo tayari,Tafadhari naomba uniunge maana nina kiu kubwa sana ya kujifunza ukweli wa kuishi siyo kwa propaganda za dini za kisasa,
Unaweza kugoogle African Religion utapata maandiko mengi na ya msingi tu yapoFabNXTzqEtcgazfbjjfo huyu mwamba nimemfatilia sana kwenye comments zake zote nimeona na kuamini yupo sahihi kbs,sasa kinachotakiwa atupe hiyo elimu ya jinsi ya kuishi kulingana na wazee wetu ili tuondokane na mambo yanayokupotosha,
Mkuu dhambi zinafutwa kwa kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako..dhambi aifuti kwa sababu ww ni mkristo lazm umkiri Yesu KristoAmri za nini wakati Dhambi zishafutwa
Hiv siwatakuwa wameandika haohao watesi wetu maana km waliamua kuipoteza kbs,Unaweza kugoogle African Religion utapata maandiko mengi na ya msingi tu yapo
Kweli maadui wa Mwafrika ni Ujinga,maradhi na umasikini,hiyo damu ta yesu uliwahi ishuhudia au ni hayo madivai na wine mnakunywa makanisani ndiyo umeamini kabisaa ni damu ya yesu?Mkuu dhambi zinafutwa kwa kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako..dhambi aifuti kwa sababu ww ni mkristo lazm umkiri Yesu Kristo
Ivi unajua agano la kale walikuwa wanatumia damu za wanyama kuingia hekaluni kufuta dhambi? Je uo mfumo ungekuwa mpk saiv ingekuwaje tulivyo wengi ivi duniani? Ndo maan Mungu akafanya wepesi wakumtoa mwanae ili kila atakaje kuingia hekaluni mwa MUNGU popote alipo anatumia Damu ya Yesu Kristo..
Damu ndo inaunganisha mwili na roho ndo maana kuna watu wanenda kwa waganga ili wafanikiwe ni lazma watoe damu either ya kuku,mbizi etc ili wawezi kuunganisha na roho za kishetani za mafanikio
Fanya ivi..nenda kwa mganga afu ukiwa nae sema nanyunyiza damu ya Yesu Kristo apa uone kama ajakukimbiza au kukumaliza kabisa
Kina nani watesi wenu?Hiv siwatakuwa wameandika haohao watesi wetu maana km waliamua kuipoteza kbs,
Hapana wameandika Waafrika katika Afrocentric views na wameandika Wazungu katika Eurocentric views mfano wa waAfrika ni Bw Mbiti- Mkenya ambaye alikuwa askofu wa AngrikanaHiv siwatakuwa wameandika haohao watesi wetu maana km waliamua kuipoteza kbs,
Ndugu Unakuwaje Mkristo bila Kumkiri Yesu sasa. Wakristo wote si Washamkiri Ndio maana Ni wanaitwa waKristo (Wake Kristu)Mkuu dhambi zinafutwa kwa kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa maisha yako..dhambi aifuti kwa sababu ww ni mkristo lazm umkiri Yesu Kristo
Ndugu yangu huonj unajipotosha Wewe mwenyewe na Kuilazimisha Akili yako Iamini Uongo.Ivi unajua agano la kale walikuwa wanatumia damu za wanyama kuingia hekaluni kufuta dhambi? Je uo mfumo ungekuwa mpk saiv ingekuwaje tulivyo wengi ivi duniani? Ndo maan Mungu akafanya wepesi wakumtoa mwanae ili kila atakaje kuingia hekaluni mwa MUNGU popote alipo anatumia Damu ya Yesu Kristo..
Damu ndo inaunganisha mwili na roho ndo maana kuna watu wanenda kwa waganga ili wafanikiwe ni lazma watoe damu either ya kuku,mbizi etc ili wawezi kuunganisha na roho za kishetani za mafanikio
Fanya ivi..nenda kwa mganga afu ukiwa nae sema nanyunyiza damu ya Yesu Kristo apa uone kama ajakukimbiza au kukumaliza kabisa
Hadi Wewe LIKUD??Hawaogopi ila anawapenda
Nimeku PM nduguFabNXTzqEtcgazfbjjfo huyu mwamba nimemfatilia sana kwenye comments zake zote nimeona na kuamini yupo sahihi kbs,sasa kinachotakiwa atupe hiyo elimu ya jinsi ya kuishi kulingana na wazee wetu ili tuondokane na mambo yanayokupotosha,
ππππHadi Wewe LIKUD??
Sawa Ndugu ila Usitegemee Mtu Kukuambia Umekombolewa katika Dhambi kwa Yeye Kufa Halafu Bado Unaambiwa Ukatubu.. Unaenda Kanisani kuomba Msamaha tenaKichwa panzi umejibiwa hapa ila unarudia maswali kitoto
We ni mjinga sana maandiko yapi yaliyokuwepo kabla ya ukoloni hapa Afrika na yalihusu dini zipi?
Tafuta hiyo 2 edition kisha urudi 1 edition utajiona ni jinsi gani wewe ni juha.
Unapinga ukristu haujaletwa na wakoloni hapa Afrika kwa sababu tu ni mfuasi wa yesu na biblia?View attachment 2143626View attachment 2143627View attachment 2143628
Kasome usikalie kubeba kitabu i.e biblia ambacho huna manufaa nachoMada imeisha
Mbona umepanic!Kasome usikalie kubeba kitabu i.e biblia ambacho huna manufaa nacho
Umeishiwa maswali?Sawa Ndugu ila Usitegemee Mtu Kukuambia Umekombolewa katika Dhambi kwa Yeye Kufa Halafu Bado Unaambiwa Ukatubu.. Unaenda Kanisani kuomba Msamaha tena
Sijui Mungu Kajipatanisha Na Wanadamu. Huyo Mungu anakuogopa Nini wewe kiumbe Mpaka Afanye Yote Hayo. Utadhani wewe ndio kiumbe Pekee Kuliko Viumbe Wengine aliowaumba.
Hajawahi kusema yeye ni munguSo sio Mungu tena