Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Sasa yesu aliongoza kizazi kipi cha Waafrika na katika wanafunzi wake ulielezwa kuwa alikuwepo kizazi cha Mwafrika?

Katika biblia yako je umewahi kutana na jina la Kiafrika,Kichina,Kihindi,n.k?

Ujuha ni mzigo,umejikomboa kisiasa bado kiakili,kiuchumi na kijamii na sababu kuwa ni kuendekeza dini za mapokeo na kibaguzi na kuacha dini ya Asili yako ya Afrikana.
Niache nimezaliwa na kubatizwa pia! Roma!!
 
Jibu swali liko wazi hilo au mngemuabudu bibi yenu mariamu na bikira yake?

Hata mbwa hawezi kuzaa bila kurolewa bikira au kuna binadamu anazaliwa bila mbegu za x na y na haohao wazungu wamewafundisha hivyo ila bado mnakomaa tu na bikra maria
Dini ni iman siyo sayansi
 
Sawa Ndugu ila Usitegemee Mtu Kukuambia Umekombolewa katika Dhambi kwa Yeye Kufa Halafu Bado Unaambiwa Ukatubu.. Unaenda Kanisani kuomba Msamaha tena

Sijui Mungu Kajipatanisha Na Wanadamu. Huyo Mungu anakuogopa Nini wewe kiumbe Mpaka Afanye Yote Hayo. Utadhani wewe ndio kiumbe Pekee Kuliko Viumbe Wengine aliowaumba.

Naona unalazimisha sana kuipinga bible
Naomba nikuulize ww unaamini nn?
 
Unaongea upumbavu tu.

Kwani hakuna waarabu waislamu wanaookoka ?
Nani kakwambia kua Waarabu wote ni Waislamu? hlf kwani Waislamu ni Waarabu peke yao? mbona hujasema waislamu wa Nigeria,Russia au brazil

Ingia google apo uliza dini inayokua kwa kasi ni ipi? hlf lete mrejesho hapa
 
"Vitabu" gani?

Qur'an (Criterion) haisemi yote hayo uliyoyaweka. Soma Qur'an kwa kuielewa utaelewa kuwa Yesu ana baba yake kama binadam mwengine yeyote yule.

Vitabu vingine vimeleta porojo na vimetiwa mikono ya watu, Qur'an ndio kitabu pekee kilicho na miaka zaidi ya 1400 na hakijatiwa mkono wa mtu. Kitabu pekee kinahifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.
Kitabu peke ambacho kuna aya zililiwa na mbuzi
 
Nani kakwambia kua Waarabu wote ni Waislamu? hlf kwani Waislamu ni Waarabu peke yao? mbona hujasema waislamu wa Nigeria,Russia au brazil

Ingia google apo uliza dini inayokua kwa kasi ni ipi? hlf lete mrejesho hapa
Ndio maana nikakwambia hakuna waarabu waislamu wanaookoka! Hii nimelenga specifically waarabu waislamu.

Halafu unashangaa nini dini isikuwe kama mnazaliana kwa wingi kama simbilisi na kuoa zaidi ya mke mmoja ?

Use your common sense


Kwa kutumia hii argument yako unasema unabii wa mtume wako ni uongo kwa kuwa alitabiri uislamu utarudi kuwa kundi dogo , hivyo kati yenu kuna mmoja ni muongo
 
Kusoma Biblia hakuwezi kukuokoa anayekuokoa ni Binadamu mwenzako tu. Ukizama majiini utaokolewa, ukipata ajali utaokolewa, Biblia imejaa utunzi wa Binadamu

Ni bora ukakombolewa maana anayekukomboa ni Yule anayekuambia Ukweli. Kumbuka Adam na Hawa si Binadamu wa kwanza Kama Biblia inavyosema mana Adam na Hawa waliwakuta Binadamu Duniani kitu ambacho Biblia haijakisema
Adam na eva waliwakuta binadamu wapi duniani? Walikuw wengi kama sisi? Je walikuwa na maumbo kama tuliyonayo kwa sasa?
 
Huna hoja za msingi zaidi ya kukariri tu novel ya biblia ambayo yesu ni mhusika mkuu na hao mitume wenu ni wahusika wasaidizi na maudhui yake kama ujinga,uwizi,uongo,mapenzi,ubakaji,hujuma,unyonyaji,nk

Iko siku dini ya Afrikana yenye upendo wa kweli itasimama ndani ya Afrika na kuupoteza ujinga mliolishwa ni swala la muda tu.

Yaani mtu unasema yesu ni baba,mungu,mwalimu,nk tena ni njia yenu ya kwenda mbinguni sasa iweje mmuabudu kwa makundi tofauti rc,sda,fpct,lutheran,n.k hauoni kama ni waongo na wanafiki?
Dini ya afrika itapatikana vp ina maana waafrika wataacha tamaduni zao mbalimbali kutoka kwenye makabila yao na kuamua kuunda dini moja kwa afrika nzima?
 
Kabla Hujapata Kitabu Kuna Mafundisho yanaendelea Kuhusu Asili ya Binadamu na Utu na Elimu ya Jinsi ya Kuishi kama Upo tayari unaweza Kuungwwa Telegram
Kuna mitindo mingi ya jinsi ya kuishi, huo mtindo wa kuishi mnaofundishsna ndio ukoje na una ubora gani kuliko mingine?
 
Kuna mitindo mingi ya jinsi ya kuishi, huo mtindo wa kuishi mnaofundishsna ndio ukoje na una ubora gani kuliko mingine?
Kujifunza Hakuna Limit kikubwa Tu Jifunze ukiwa na Akili zako timamu za Kuchambua Ukweli na Uongo. Mwenzako keshaungwa Aliyeomba
 
Nipo tayari,Tafadhari naomba uniunge maana nina kiu kubwa sana ya kujifunza ukweli wa kuishi siyo kwa propaganda za dini za kisasa,
Kama unafikiri vitu vya zamani ndio bora basi nadhani ungeanza kufikiri hata hayo mavazi ya kisasa kuachana nayo na kuamua kuvaa mavazi yetu asili waliyovaa mababu zetu na kuacha na haya mavazi ya watu weupe ya kuletewa.
 
Imeandikwa
Marko : 16 : 15 - Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Injili ingefika tu hata bila wakoloni
Ukitumia akili utajiuliza Hili Swali. Mwandishi Hapo Si Marko wala Si Yesu ila kuna Mtu tu Alikuwa Pembeni ya Mitume na Yesu anajiandikia Anachojisikia.

Neno Akawaambia linakupa Upeo kwamba Aliyesema Hayo si Mtume wa Yesu na Wala Si Yesu. Kama Angekuwa Mtume angeandika "AKATUAMBIA TWENDE TUKAENEZE ULIMWENGUNI" na Kama Angekuwa Nj Yesu mwenyewe angesema NIKAWAAMBIA WAENDE KUENEZA ULIMWENGUNI "
 
Kujifunza Hakuna Limit kikubwa Tu Jifunze ukiwa na Akili zako timamu za Kuchambua Ukweli na Uongo. Mwenzako keshaungwa Aliyeomba
Hujajibu nilichokuuliza.

Nimeuliza huo mtindo wa jinsi ya kuishi una ubora gani kuliko hii mitindo mengine ya kuishi iliyopo? Ukoje huo mtindo wa jinsi ya kuishi mnaofundishana?
 
Back
Top Bottom