Hhhhhhh Unajua maana ya Uislamu ww au unajisemea tuu? hebu tafuta neno Uislamu na ukristo maaa yake hlf tuletee
Kuhusu Ugaidi
Katika dunia hii ni nani walofanya machafuko ya hatari kma sio wakristo? Nani alovamia iraq,libya,syria,japan na nchi nyinginezo mma sio hao walokuleteeni dini ambao pia wakuu wao wapo kwenye nchi hizo,embu twambie Nani alofanya yote hayo?
Uislamu haujaamrisha watu kufanya Ugaidi bali hao ni watu ambao wamelishwa imani mbovu jpo watasema wao ni waislamu lkn Muislamu aloshiba imani ya kiislamu hawezi kufanya ayo mambo