Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Kila mtu ashinde mechi zake hapa duniani, matokeo tutayapata baada ya maisha haya
Huwezi ukawa hujitambui Hapa Duniani unategemea utajitambua Ukifa. Utabaki kuwa ni Mzimu unaosumbua Watu na Kuzunguka Zunguka Kusiko Julikana. Maana Utabaki kuwa na Chuki kali Kwa Kizazi chako kilichokupotosha
 
hhhhhh kwaio unalazimishwa kwanza uamini hlf ndio usomeshwe imani si kulazimishana huko sasa

Katika Uislamu hatumlazimishi mtu sisi kwanza mtu anapewa elimu hlf machaguzi yake yy mwenyewe ima akubali au akatae dah nilikua silijui hili la kulazimishwa imani kwanza hhhhhh poleni bhna
Hata shule/chuoni hujisomei tuu kwa utaratibu unataka wewe. Kipindi cha sayansi huwezi kumwambia mwalimu nataka unifundishe hesabu kwanza. Unafuata utaratibu wa shule.

Nani kakuambia kwa Mungu unakuja na uratibu wako mwenyewe? Utaratibu wake ni mwanadamu kumwamini kwanza.
Hutaki hakulazimishi na hana cha kupoteza ila wewe
 
Huyu hapa Allah ameshasamehe dhambi zote zilizo pita na zijazo , waislamu wapo huru kufanya dhambi wanazo penda.
Koran 48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
Mbona unapenda kupotosha ww mm nakuletea andiko toka la mwanzo mpk aya ya 3 tuu hlf uyo anoambiwa ivo ni Muhammad peke ake
20220304_101130.jpg
 
hhhhhh kwaio unalazimishwa kwanza uamini hlf ndio usomeshwe imani si kulazimishana huko sasa

Katika Uislamu hatumlazimishi mtu sisi kwanza mtu anapewa elimu hlf machaguzi yake yy mwenyewe ima akubali au akatae dah nilikua silijui hili la kulazimishwa imani kwanza hhhhhh poleni bhna
Kwamba mtoto wa Muislam anapewa elimu kwanza ndio baadaye anaambiwa anakubali au anakataa? Na uarabuni una option ya kuukataa uislam na ukabaki salama kuishi mitaa hiyo?

Ukristo na uislam hupata waumini wengi bila kupewa elimu kwanza maana wengi hupata dini utotoni
 
Hata shule/chuoni hujisomei tuu kwa utaratibu unataka wewe. Kipindi cha sayansi huwezi kumwambia mwalimu nataka unifundishe hesabu kwanza. Unafuata utaratibu wa shule.

Nani kakuambia kwa Mungu unakuja na uratibu wako mwenyewe? Utaratibu wake ni mwanadamu kumwamini kwanza.
Hutaki hakulazimishi na hana cha kupoteza ila wewe
Ww si umesema unalazimishwa kuamini au vipi mbona maneno mengi kijana
 
Kwanza Alikufa na Kufufuka kwa Ajili yangu kwanini. Kwani Mimi Nilifanya Nini mpaka Yeye aje Anifie Msalabani. Nilifanya Jambo gani mpaka Yeye aje Afe Hivyo Mie nilikuwa Afrika huku Yeye Yupo Israeli



Kuamini Kunakuja Baada ya Kuambiwa Ukweli ukisema Ukweli unaoingia Akilini watu watakuamini sana Tu.

Yaani Mtu atoke zaks Huko Uingereza au Sudani aje Aswme nimekuja Kufa Kwa Ajili yako. Si hata Ww utashangaa Utauliza kwani nimefanya Nini mpaka Uje Ufe kwa Ajili yangu
Waefeso 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;
² ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi;
³ ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine.
⁴ Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda;
⁵ hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.
⁶ Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu;
⁷ ili katika zamani zinazokuja audhihirishe wingi wa neema yake upitao kiasi kwa wema wake kwetu sisi katika Kristo Yesu.
⁸ Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
⁹ wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.
¹⁰ Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.

Wanadamu wote walikuwa wamekufa kiroho (kutengwa na Mungu) hapo dhambi ilipoingia kupitia kwa Adamu na wote waliozaliwa baada yake walizaliwa katika hali hiyo hiyo ya roho zao kuwa zimetengwa na Mungu.

Hakuna namna mfu anaweza kujiokoa mwenyewe au kujihuisha mwenyewe yaani kujirejesha tena katika ushirika ule wa mwanzo mwenyewe au kwa jitihada zake mwenyewe.

Hapo ilibidi Mungu mwenyewe kufanyika mwili ili kumkomboa mwanadamu aliyekufa sababu ya dhambi (kumbuka kifo alichokufa usidhani ni cha kimwil bali cha kiroho)

Mwanadamu huyu angekuwa hai tena katika roho yake kwa kuamini tu Yesu Kristo (yaani Mungu katika mwili) alikufa na kufufuka kwa ajili yake ili awe hai milele.
Hapo roho ya Mungu wakati huohuo huizaa upya na kukaa milele ndani ya roho ya mtu huyo.

Unaamini hivyo?
 
Ukitaka kujadili usiwe unampinga Muhammad , muheshimu, kati ya unabii wake kasema wazi uislamu ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko, ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Hhhhhh sema utafsiriwe basi usiwe mzee wa copy na paste
Uislamu umeanza kma mgeni yni watu walikua wanaabudu masanamu sasa kila wakiletewa kitu wanaona ni kipya na utarudi ivo ivo yni hpa kati watakuja watu kuuharibu hlf pia watakuja watu kuusafisha kma vile mwanzo ulivokuja sasa lete hoja zenye mashiko kijana

hlf m sijaona neno kituko ila chuki zako tu izo
 
Allah kasema ameshawasamehe dhambi zilizo pita na mtakazo fanya , mbona bado mnaenda msikitini kutubu?

48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
Nishakujibu hili hlf kawadanganye watoto wa chekechea sio sisi tunoujua Uislamu wetu
 
Kwamba mtoto wa Muislam anapewa elimu kwanza ndio baadaye anaambiwa anakubali au anakataa? Na uarabuni una option ya kuukataa uislam na ukabaki salama kuishi mitaa hiyo?

Ukristo na uislam hupata waumini wengi bila kupewa elimu kwanza maana wengi hupata dini utotoni
Jua vzr tulipotoka hlf ndo uandike unotka kuandika
 
Sasa huo mkusanyiko uyo Yesu wenu hakuusoma alishushiwa injili tu na Mungu wake

hlf kaangalie kwenye iyo biblia yako Maana ya hekalu hlf utanambia uyo Yesu alikua anaswali wapi na nyinyi mnaswali wapi
Luka 4:16-20

(YESU) Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa, Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa, Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa. Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.
Lk 4:16‭-‬20 SUV
 
Ukitaka kujadili usiwe unampinga Muhammad , muheshimu, kati ya unabii wake kasema wazi uislamu ulianza kama kituko na utarudi kuwa kituko, ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Kijana kupotosha maana hakutakusaidia kitu kijana. Kwani kuandika Uislamu ulianza kuwa mgeni na utaondoka ukiwa mgeni kama ulivyo anza. Ungepungukiwa nini kuandika hivi ?

Au ulianza ukiwa mdogo na kuondoka ukiwa mdogo. Shida hapo iko wapi ?

Kwani Yesu yeye alianzaje kulingania Injili ? Alikuwa na watu wangapi ? Wanafunzi wake walikuwa wangapi ? Hii ndiyo tabia ya haki na ukweli huanza nayo wachache na hubaki nayo wachache, sababu kuishika dini ni kama umeshika kaa la moto, linataka uvumilivu na kujitoa hasa.

Kijana huna hoja.
 
Hhhhhh sema utafsiriwe basi usiwe mzee wa copy na paste
Uislamu umeanza kma mgeni yni watu walikua wanaabudu masanamu sasa kila wakiletewa kitu wanaona ni kipya na utarudi ivo ivo yni hpa kati watakuja watu kuuharibu hlf pia watakuja watu kuusafisha kma vile mwanzo ulivokuja sasa lete hoja zenye mashiko kijana

hlf m sijaona neno kituko ila chuki zako tu izo
Acha uongo na upotoshaji na hakuna aliposema unayomlisha

Maneno ya muhammad yapo wazi
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Nishakujibu hili hlf kawadanganye watoto wa chekechea sio sisi tunoujua Uislamu wetu
Hii ni leseni ya kufanya dhambi mmepewa na huwezi bisha hili, ila kwa kutumia uongo wa takiya unaweza
48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
 
Kuna Utata mkubwa Sana Katika kuzaliwa kwa Yesu kutokana Na Maandiko ya Biblia. Ila Kwa Akili Timamu Binadamu yeyote lazima Azaliwe kwa Mifumo maalumu ya Mbegu ya Kiume kuungana Na Mbegu ya Kike Tofauti na Hapo Binadamu hawezi Kutokea
Sasa aliyekuambia Yesu ni binadamu ni nani? Maandiko yenyewe yanasema alikuwa tu mfano wa binadamu
 
Kijana kupotosha maana hakutakusaidia kitu kijana. Kwani kuandika Uislamu ulianza kuwa mgeni na utaondoka ukiwa mgeni kama ulivyo anza. Ungepungukiwa nini kuandika hivi ?

Au ulianza ukiwa mdogo na kuondoka ukiwa mdogo. Shida hapo iko wapi ?

Kwani Yesu yeye alianzaje kulingania Injili ? Alikuwa na watu wangapi ? Wanafunzi wake walikuwa wangapi ? Hii ndiyo tabia ya haki na ukweli huanza nayo wachache na hubaki nayo wachache, sababu kuishika dini ni kama umeshika kaa la moto, linataka uvumilivu na kujitoa hasa.

Kijana huna hoja.
Ungefuatilia niliye mjibu ungeelewa , yeye alidai uislamu watu wanaongezeka , nikamkanya asipingane na Muhammad kasem
wazi
Uislam ulianza kama Strange (Ajabu,kituko) na Utarudi kuwa Strange
Ulianza kama dini ndogo na Utarudi kuwa dini ndogo

“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
 
Acha uongo na upotoshaji na hakuna aliposema unayomlisha

Maneno ya muhammad yapo wazi
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
He also reported Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
Mbona hujajibu nilivokutolea aya 3 zaidi untka kupotosha ummah kma huna facts kaa kimyaaa
 
Back
Top Bottom