Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Kwa taarifa yenu wanaomuabudu Mungu wa kweli pasipo kupitia kwa hao yesu na muhamad ndiyo watakaouona Ufalme wa mbinguni.

Bila shaka kabisa.
 
Kwasabu yesu alituokoa bila kumuua shetan! Kwahiyo tunayeshatani! Ujue kuwa yesu alikuja kuwaokoa wanadam kwakua walikua hawamjui mungu kabisa yaan empty head kuhusu mungu baada ya kutufia msalaban na shetan bado yupo sasa binadam tunatenda thambi huku tukijijua kabisa hii nu dhambi! Lakini kama ukiamua kutotenda dhambi wewe siyo mdhambi
Unaongea kitu baada ya kufikiri na kutafakari au unaongea tu kwa kuwa ulizaliwa na kulishwa hivyo hadi ukubwani mwako.

Huyo yesu wako aliiokoa dunia yote au Afrika tu?

Huko Uchina,India,palestina,mongolia,UAE,nk nako yesu aliwaokoa?

Kama yesu aliwaokoa wanadamu wote kwanini kuwe na dini tofauti na ya kwake?

Jiongeze siyo kila kitu ukiamini kama ulivyokikuta kuwa mdadisi.
 
Hapa ndipo ujinga wetu waafrika unajitokeza neno na yesu au Mungu ni vitu tofauti kabisa.

Hivi uliwahi kujiuliza kwanini biblia iliwekwa kimafumbo????

Kitabu cha kuwaongoza watu ni vyema kiwekwe wazi

neno=Mungu wapi imesema yesu ni Mungu kwahiyo na waislam nao mohamad ni Mungu?


Acheni Uafrika uliopitiliza!!!

Huyo Neno ni Yesu
 
Kwahiyo wasiomwabudu yesu hawataenda mbinguni kwa akili yako?

Siyo akili yangu mzee, ni maandiko
Yesu anasema
Yohana : 14 : 6 - Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Niambie wewe ni njia gani nyingine ya kufika mbinguni isipokuwa Yesu.
 
Kwa taarifa yenu wanaomuabudu Mungu wa kweli pasipo kupitia kwa hao yesu na muhamad ndiyo watakaouona Ufalme wa mbinguni.

Bila shaka kabisa.

Miungu ni wengi mzee, Mungu wa pekee wa kweli ni aliyemtuma mwanawe Yesu Kristo . Wengine wote ni wa mchongo
 
Ndugu akili yako Timamu ndio kipimo cha Ukweli. Kwani Ulipoambiwa Wewe ulikuwa Nyani ulikubaliana nao!?

Akili yako ilipochambua Ukaoona Hakuna Ukweli humo ukaachana Na Hiyo Mambo



Sawa Ndugu Unawexa Kufanya Hivyo ila Akili Timamu za Watu ndizo zitakazochambua Dini uliyoianzisha ina Ukweli gani ili waifuate. Maana Kuna Maswali lazima Watauliza
Akili za binaadamu si kama mashine hivyo tunatofautiana kwenye uelewa wewe unaweza kuelewa hivi na mwengine vile, mfano wewe akili yako imekubaliana na hayo yote unayoyaeleza humu kuhusu mungu ila mwengine ataona unayoeleza haya make sense kabisa.
 
Miungu ni wengi mzee, Mungu wa pekee wa kweli ni aliyemtuma mwanawe Yesu Kristo . Wengine wote ni wa mchongo
Mungu aliyemtuma mwanae au ndio yeye mwenyewe alijituma? ukisema Mungu aliyemtuma mwanae ndio Mungu pekee wa kweli maana yake huyo aliiyetumwa(Yesu kristo) si Mungu wa kweli ila wa kweli ni yule tu aliyemtuma.
 
Mungu aliyemtuma mwanae au ndio yeye mwenyewe alijituma? ukisema Mungu aliyemtuma mwanae ndio Mungu pekee wa kweli maana yake huyo aliiyetumwa(Yesu kristo) si Mungu wa kweli ila wa kweli ni yule tu aliyemtuma.

Wewe wasema
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Mungu anaweza yote, ni mwenye nguvu kuliko kiumbe chochote, mungu hajibu popote yeye ndo mkuu. Kulikuwa na haja gani ya kusumbuka hivyo kutusamehe dhambi huku ye ndo mkubwa kwanini asinge samehe tu
 
Yohana 10:17-18
"Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu."

Angekufa akazikwa na kuoza ingekua joke. Siku tatu tuu alifufuka na anaishi hadi sasa duniani kote
Uhai wake ulitakiwa kutumika kulipa madeni uetu ya dhambi sasa kwanini tena alifufuka alitakiwa kufa mazima
 
Bibie Faiza umezidiwa hoja.
Ushauri
Mkiri Yesu, ubatizwe, upate uzima wa milele katika yeye.
BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
Siioni hoja, naona viroja. Swali nililomuuliza yeye ntakuuliza wewe.

Unamuamini Allah?

Ukiongelea kuhusu Yesu alayhi salaam, elewa kuwa hakuna kuwa Muislam kama humuamini na kufata mafundisho ya Yesu. Jiulize wewe, unamfata Yesu au unamfata mzungu aliyetundikwa msalabani kwa laana?
 
Akili za binaadamu si kama mashine hivyo tunatofautiana kwenye uelewa wewe unaweza kuelewa hivi na mwengine vile, mfano wewe akili yako imekubaliana na hayo yote unayoyaeleza humu kuhusu mungu ila mwengine ataona unayoeleza haya make sense kabisa.
Ndio ndugu. Ndio maana Nikatanguliza Neno Akili Timamu. Kila Mtu ana Akili Zake ila si Kila Mtu ana Akili Timamu
 
Mungu anaweza yote, ni mwenye nguvu kuliko kiumbe chochote, mungu hajibu popote yeye ndo mkuu. Kulikuwa na haja gani ya kusumbuka hivyo kutusamehe dhambi huku ye ndo mkubwa kwanini asinge samehe tu
Ndicho nilichouliza Ndugu yangu. Aliogopa Nini au Sisi Anatuogopa Nini Mpaka Atutolee Sadaka Ya Mwanae
 
Ndio ndugu. Ndio maana Nikatanguliza Neno Akili Timamu. Kila Mtu ana Akili Zake ila si Kila Mtu ana Akili Timamu
Kwahiyo wewe unayeamini hivyo unavyoamini ndio una akili timamu na wasioamini unavyoamini wewe hawana akili timamu?
 
Kwahiyo wewe unayeamini hivyo unavyoamini ndio una akili timamu na wasioamini unavyoamini wewe hawana akili timamu?
Sijasema ninayoamini Mm ndio ukiyaamini ndio unakuwa na Akili Timamu. Akili Timamu ni Uwezo wa Kuchambua ukweli na Uongo katika Jambo Lolote Linalokuja kwako.

Ndio maana Silazimishi mtu kuyaaamini Haya niyasemayo Ila Yeye Mwenyewe Achambue Kama Yana Ukweli au Laah
 
Back
Top Bottom