Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Kuna vitu vingi hujui kuhusu sadaka......kasome law of karma.... everything in this world require a sacrifice.
Ndo maana tokea zamani manabii kam mussa, Ibrahim na wengine walitoa sadaka, yale hayakuwa maigizo, it's the universe law since then.....na hata sisi kutoka katika adhabu za dhambi ilibidi sadaka itolewe.....hata unavyoona sas tunaishi hivi ni matokeo ambayo yalishafanyika ya kulipia dhambi zetu....
My friend you have to understand how the universe work then connect na mungu....ndo maana masomo ya history yanafundishwa mashuleni.
Umeongea Mengi swali Langu Kuu ni Hili kama Ilikuwa Sacrifice ya Dhambi.

Je Dhambi hizo Huna Sasa Hivi!? Wanadamu hawana Dhambi Leo Hii au Ni Dhambi gani Yeye aliitolea Sadaka?
 
Nimeshakujibu inabid upate somo kuhusu sadaka.....and how it works....hiyo mambo haijaanza jana au juzi baada ya kuja Jesus....ni kitu ipo tokea kuumbwa kwa dunia hii....
Liweke hilo Somo ili Watu wakuelewe ndugu

Na Sasa Ndugu yangu atakutoleaje Wewe Sadaka Badala ya Wewe ndio Utoe Sadaka. Wewe si ndio Mkosefu kulingana na Maandiko
 
Yesu Ni Mungu
Kwa akili yako ndogo umeshindwa hata kuona utofauti wa majina na kutambua ni vitu viwili tofauti.

Kwahiyo hata wachina,wakorea,n.k wanamuabudu mungu yesu.

Sasa barikiwa kufika N korea na biblia yako ndiyo utajua yesu siyo Mungu bali propaganda za wakoloni/nchi za magharibi kueneza ukoloni duniani.

Waafrika ni wanafiki sana,wachungaji wenu wa awali/wasomi walifundishwa dini na wakoloni kwa bakora baadae wakawafukuza wakoloni warudi kwao kuwa hawafai wako kinyume na Mapenzi ya Mungu na niwakatili na wanyonyaji,leo dini zao mnazikumbatia bila aibu.

Wachungaji wakitaka mali i.e magari wanawashawishi muwachangie waumini wakitaka mali wanawashawishi wawaombee UJINGA uliopitiliza.

Waumini wengi wa dini/madhehebu ya kuja ni uoga wa kutengwa na kutozikwa ila mna roho mbaya hadi mnasahau kuwa MBWA hasali na hana dini ila akifa mnamzika.

Mungu tisamehe sisi Waafrika hatujui tulitendalo!!!
 
Unaongea mashudu kwa kutumia uongo wa Sunday schools. Nyinyi ni mnaabudu Miungu mitatu.
Mwenyezi Mungu ni mmoja hana mshirika. Uabudu picha ya mzungu au huyo Yesu hiyo ni jeuri yako.
Ni huyo peke yake. Mwenyezi Mungu ndiyo huyo aliumba waislamu, shetani, malaika, makafiri n.k.
Naona jina Allah pia linakuchanganya. Lipo hata kwenye biblia ya kiarabu.
Mbn unakuwa mwendawazimu hivi ndugu yangu
 
Umeongea Mengi swali Langu Kuu ni Hili kama Ilikuwa Sacrifice ya Dhambi.

Je Dhambi hizo Huna Sasa Hivi!? Wanadamu hawana Dhambi Leo Hii au Ni Dhambi gani Yeye aliitolea Sadaka?
Sema wew hutaki kuelewa......halafu inaonekana ni mbishi.....nimekufafanulia vizuri hapo, mambo ya sadaka yalivyo na hata sasa ni matokeo ya sadaka ile ila sio kwamba hatuna dhambi.
 
Sema wew hutaki kuelewa......halafu inaonekana ni mbishi.....nimekufafanulia vizuri hapo, mambo ya sadaka yalivyo na hata sasa ni matokeo ya sadaka ile ila sio kwamba hatuna dhambi.
Ndugu mi naona Una Imaginery Mind kwamba Kama Yesu Asingejitoa Vile Basi Tungekuwa Tofauti na Leo hii. Hicho ndicho kilichopo Akilini Mwako. Kumbuka Dini hii imekuja Afrika juzi tu 1880 hapa Na Wewe umekuja Kujua Hivyo juzi. Hao Mababu zako Hata Hawakujua Kama Kulikuwa na Yesu wala Mitume

Kitu Ambacho ni baada Ya Kukosa Majibu sahihi ya Swali Langu Kuu
 
Kwa akili yako ndogo umeshindwa hata kuona utofauti wa majina na kutambua ni vitu viwili tofauti.

Kwahiyo hata wachina,wakorea,n.k wanamuabudu mungu yesu.

Sasa barikiwa kufika N korea na biblia yako ndiyo utajua yesu siyo Mungu bali propaganda za wakoloni/nchi za magharibi kueneza ukoloni duniani.

Waafrika ni wanafiki sana,wachungaji wenu wa awali/wasomi walifundishwa dini na wakoloni kwa bakora baadae wakawafukuza wakoloni warudi kwao kuwa hawafai wako kinyume na Mapenzi ya Mungu na niwakatili na wanyonyaji,leo dini zao mnazikumbatia bila aibu.

Wachungaji wakitaka mali i.e magari wanawashawishi muwachangie waumini wakitaka mali wanawashawishi wawaombee UJINGA uliopitiliza.

Waumini wengi wa dini/madhehebu ya kuja ni uoga wa kutengwa na kutozikwa ila mna roho mbaya hadi mnasahau kuwa MBWA hasali na hana dini ila akifa mnamzika.

Mungu tisamehe sisi Waafrika hatujui tulitendalo!!!
Ndugu yangu Wewe ni Muumini mzuri wa Akili Zilizotimia
 
Sema wew hutaki kuelewa......halafu inaonekana ni mbishi.....nimekufafanulia vizuri hapo, mambo ya sadaka yalivyo na hata sasa ni matokeo ya sadaka ile ila sio kwamba hatuna dhambi.
Sasa kama bado unadhambi huyo yesu alikuwa na umuhimu gani kama siyo uongo mnalishwa?

Sadaka ya kweli na ya dini na madhehebu ya ASILI yako tu ambayo ilitolewa na jamii nzima ikafaidika lakini sasa mnatoa sadaka za kikoloni zilizotawaliwa na mali na anasa i.e pesa,magari,majumba,makanisa,nk.

Ni wapi Mungu wa kweli alisema watu watoe sadaka za anasa?waumini wamekuwa mtaji wa wachungaji hata wakitoa mazao ya kazi ya mikono yao mtauza na kuyabadili yawe fedha.

Tamaa zimewajaa hakuna Mungu wa hivyo duniani mtasubiri sana hiyo siku ya mwisho kutokea kupitia biblia hadi zichakae hakuna kitu kama hicho labda watu wangekuwa hawafi ili waione hiyo kesho yenu.
 
Qur'an imekanusha propaganda za biblia na kusema injil ilichakachuliwa ndio maan unaona contradictions nyingi ,Qur'an imekataa yesu hajafa wala hajasulibiwa ,imekataa si mungu na bla bla kibao
Quran ipi mkuu ndo hii hii tunaisoma yenye hadithi za kijinga ety mtu Anaenda Kwa watu alafu anatamani mke wa mtu Kisha anapewa Ufunuo wa kumuoa[emoji23][emoji23] Yeye anajipa ruhusa ya kuoa kuanzia watoto wa wajomba zake shangazi zake dada zake bila ya idadi maalum alafu wewe unaoa wanne tu[emoji23][emoji23][emoji23] Jua linatua matopeni [emoji23][emoji23] shahawa zinatengenezwa baina ya mifupa ya mgongoni na mbavu[emoji23][emoji23][emoji23]

Acha wehu Dini zenu hizi ni za kijinga sana
 
Ivi unamjua vzr mazinge lkn? kma kabatizwa saivi anaingia msikitini au kanisani ? kumbuka kua alikua mkristo huyo alipoiona haki akaifuata
Na wewe mbn unakuwa mwongo lini MAZINGE alikuwa mkristo
 
Ndugu mi naona Una Imaginery Mind kwamba Kama Yesu Asingejitoa Vile Basi Tungekuwa Tofauti na Leo hii. Hicho ndicho kilichopo Akilini Mwako. Kumbuka Dini hii imekuja Afrika juzi tu 1880 hapa Na Wewe umekuja Kujua Hivyo juzi. Hao Mababu zako Hata Hawakujua Kama Kulikuwa na Yesu wala Mitume

Kitu Ambacho ni baada Ya Kukosa Majibu sahihi ya Swali Langu Kuu
Unajua sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana huwa hatupendi kudadisi vitu kwa undani hasa vilivyopandikizwa na wazungu/wakoloni kwa faida yao.

Mimi nimezaliwa katika familia yenye dini na madhehebu mbalimbali:-
1.Babu na Bibi =waislam
2.Baba na Mama=Anglikana
3.Shangazi na Baba Mdogo=RC
4.Shangazi =msabato,n.k

Kasoro Babu na Bibi walioingia uislam uzeeni kwa hofu ya kutozikwa na kuombewa wengine wote ni sababu ya shule walizosoma.

Haya wewe Mwafrika hapo unadini ?
 
Mie sitak kuteteresha imani yangu niache! Mie ni roma ninaye amini katika mungu baba, mungu mwana na mungu roho mtakatifu!
Kwa mfano Yesu angekuwa na mtoto, kwahiyo mngekuwa mnaamini mungu babu, baba na mjukuu au?! [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
 
Unajua sisi Waafrika ni watu wa ajabu sana huwa hatupendi kudadisi vitu kwa undani hasa vilivyopandikizwa na wazungu/wakoloni kwa faida yao.

Mimi nimezaliwa katika familia yenye dini na madhehebu mbalimbali:-
1.Babu na Bibi =waislam
2.Baba na Mama=Anglikana
3.Shangazi na Baba Mdogo=RC
4.Shangazi =msabato,n.k

Kasoro Babu na Bibi walioingia uislam uzeeni kwa hofu ya kutozikwa na kuombewa wengine wote ni sababu ya shule walizosoma.

Haya wewe Mwafrika hapo unadini ?
Waafrika hawana DINI wala Mtume wala Nabii ila Wanatetea mitume wasiyoijua na Mababu wasioijua kutoka Israeli
 
Fata mafundisho, isome Qur'an kama itakiwavyo si kusomewa.

Wewe ndiye uliyesema halafu unataka nithibitishe mimi? Kama si ujuha ni nini huo? Kama huelewi ulichokiandika au umeuliza swali kwa kufikiria tu kichwani mwako na kuweka majina yasiyo kuwepo inabidi ujifikirie mara mbili. Qur'an haitafsiriwi kwa maneno ya Binaadam inajitafsiri yenyewe.
Hao shuleni walikwenda kusomea ujinga!
 
Kuna vitu vingi hujui kuhusu sadaka......kasome law of karma.... everything in this world require a sacrifice.
Ndo maana tokea zamani manabii kam mussa, Ibrahim na wengine walitoa sadaka, yale hayakuwa maigizo, it's the universe law since then.....na hata sisi kutoka katika adhabu za dhambi ilibidi sadaka itolewe.....hata unavyoona sas tunaishi hivi ni matokeo ambayo yalishafanyika ya kulipia dhambi zetu....
My friend you have to understand how the universe work then connect na mungu....ndo maana masomo ya history yanafundishwa mashuleni.
Acha uongo sacrifice siyo sadaka na kingine hao manabii unaowasema ni wa uongo kwa sababu waliletwa na upepo wa kikoloni,ni kweli sadaka zilikuwepo tangu dunia ianze na kila jamii ilikuwa na utaratibu wake wa sadaka kulingana na tukio ila leo jamii za Kiafrika zimeachana na utamaduni wao wa asili wa sadaka na kuingia kwenye HELA wako kiuchumi zaidi
 
Kuna vitu vingi hujui kuhusu sadaka......kasome law of karma.... everything in this world require a sacrifice.
Ndo maana tokea zamani manabii kam mussa, Ibrahim na wengine walitoa sadaka, yale hayakuwa maigizo, it's the universe law since then.....na hata sisi kutoka katika adhabu za dhambi ilibidi sadaka itolewe.....hata unavyoona sas tunaishi hivi ni matokeo ambayo yalishafanyika ya kulipia dhambi zetu....
My friend you have to understand how the universe work then connect na mungu....ndo maana masomo ya history yanafundishwa mashuleni.
Acha uongo sacrifice siyo sadaka na kingine hao manabii unaowasema ni wa uongo kwa sababu waliletwa na upepo wa kikoloni,ni kweli sadaka zilikuwepo tangu dunia ianze na kila jamii ilikuwa na utaratibu wake wa sadaka kulingana na tukio ila leo jamii za Kiafrika zimeachana na utamaduni wao wa asili wa sadaka na kuingia kwenye HELA wako kiuchumi zaidi
 
1.Amekuokoa Kwenye Nini!?
2. Mungu atajifanyaje Wewe wakatu Yeye Anauwezo Wote wa Kufanya chochote




1. Mungu mwenye uwezo wote anakosaje Lugha ya Kuzungumza na Wewe. Mbona Alizungumza na Adam kulingana na Maandiko ya Hicho kitabu

2. Alikosaje Kuwa Karibu tena Na Wewe wakati ndie alikuumba Kutoka Kwenye Udongo

Huoni ndugu yangu Huna Majibu ila Unamuumba Mungu unavyojua Wewe



Ndugu huoni unamfanya Mungu hana Uwezi wowote ule hapo? Alikuwa mbali na Vigumu tutufikia Tena. Halafu wewd unassma Mungu yupo Mahali popote na Yupo ndani yako



Mungu si Kiumbe na Afanani na Chochote. Mungu mwenye Uwezo wote wa Kuumba Hawezi angaika Angaika Hivi ili Akuokoe wewe ambaye Hata Nikikuuliza Kakuokoa Kwenye Nini huna Jibu
Mtu akigonga mlango lazima aliye ndani ndiye amkaribishe, vivyo hivyo kweli ya Mungu kuijua hadi yeye mwenyewe akujalie

Hakuna maneno ya mtu yatakayo badili mentality yako, hadi pale mwenyewe mwenye Neno lake akubali kukujalia uelewe

Yesu mwenyewe alisema, 'hakuna atakayekuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba'

Hivyo ipatikane huruma tu ya Mungu akujalie kuelewa. Otherwishe 'wafu siku zote huachwa wazike wafu wao'.
 
Mtu akigonga mlango lazima aliye ndani ndiye amkaribishe, vivyo hivyo kweli ya Mungu kuijua hadi yeye mwenyewe akujalie

Hakuna maneno ya mtu yatakayo badili mentality yako, hadi pale mwenyewe mwenye Neno lake akubali kukujalia uelewe

Yesu mwenyewe alisema, 'hakuna atakayekuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba'

Hivyo ipatikane huruma tu ya Mungu akujalie kuelewa. Otherwishe 'wafu siku zote huachwa wazike wafu wao'.
Ndugu yangu Hujajibu Maswali yangu mbona Ili Nielewe maana Siwezi Amini Bila Kuelewa.

Sasa Ukianza Kuniambia Kwamba Mungu aje kwangu nduo nielewe wakati Mungu hafanyagi Hiyo Kazi ya Kuja Kwa Watu. Wewe na Mimi ndio Tueleweshane Hapa Pako hivi na Pale Pako vile
 
Kwahiyo dhambi zikizidi sana atakuja tena ili wamngongee miaumari tena?
Ila kwa kichapo kile alichochezea sidhani kama atakuja tena!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Ile ni movie mzee watu walishatengeza fedha na wengine hawapo tena,unajua wazungu ni wajanja sana ktk maswala ya ankra walipiga hela kwenye agano la kale wakarudia tena agano jipya wakapiga hela yaani part 1 & 2 wakauza na biblia za kutosha Afrika kwa kila kabila.

Ujinga huu wa Waafrika sijui nani katuridhisha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom