Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Wewe Ni dhehebu gani mpaka useme Yesu sio Mungu?. Msingi wa Ukristo Ni utatu Mtakatifu. Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu. Kama huamini hilo wewe utakuwa sio mkristo Bali dini nyingine au cult.
Mungu ni Mmoja wa pekee hana mbadala wala mshirika rudi ktk sheria za Mungu Ndimi muabudu bwana Mungu wako wala usimshirikishe na mwingine wala hana mshirika ,hao washirika watatu na Mungu mnawatoa wapi ?
 

Basi, akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu. Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

Marko 16:15‭, ‬19

Sasa hapo unaona kabisa Yesu ndo alisema na Marco ndo kaandika, sasa ulitaka iandikwaje?
 
Sasa hapo unaona kabisa Yesu ndo alisema na Marco ndo kaandika, sasa ulitaka iandikwaje?
kama Marko hakuwa ni Mtume wa Yesu Je! una uhakika Gani Aliyoyaandika Ndio kayasema Yesu. Maana Yesu Aliwachukua Mitume Wake Ndio akaenda Nao.. Halafu hao Mitume hawakuandika Chochote ila Marko ambaye hajulikani ndio kaja Kuandika hilo swala Linaingia akilini kweli..

Na ukisoma Mstari wa marko 16:19 Ameandika kabisa Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

Yaani Mtu ambaye Hakuwepo alipochukuliwa ila Anakuandikia Yesu alichukuliwa na Akaa upande wa Kulia w Mungu
 

Basi, akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu. Basi, Bwana Yesu alipokwisha sema nao, akachukuliwa mbinguni, akaketi upande wa kulia wa Mungu.

Marko 16:15‭, ‬19

Alaf pia kua unajaribi na kusoma bible ya kingereza kuona tofauti unapokua na doubt na neno fulan

Kiswahili chetu hiki unakijua

Hata tunge tafsiri quran kwa kiswahili error kama hizi ungezina so unatakiwa urefer kutoka kwenye original before translated

Ila pamoja na error za tafsiri sizani kama inaondoa maana halisi
 
Alaf pia kua unajaribi na kusoma bible ya kingereza kuona tofauti unapokua na doubt na neno fulan

Kiswahili chetu hiki unakijua

Hata tunge tafsiri quran kwa kiswahili error kama hizi ungezina so unatakiwa urefer kutoka kwenye original before translated

Ila pamoja na error za tafsiri sizani kama inaondoa maana halisi
Ili Mtu aelewe Jambo Lazima Atafsiriwe kwa Lugha anayoielewa ndugu. Ndio maana Makanisani Yalitafsiri hizo Biblia mpka za Vi lugha zipo

English Version

And He said to them, “Go into all the world and preach the gospel to all creation.
Mark 16:15
 
Kuna nini cha kutafakari kuhusu hao waandishi?
Mwandishi Anaweza Andika Chochote ajisikiacho au Alichosikia kwa Wengine hata Kama Ni Uongo. Ila Kama Angekuwepo Wakati wa Yesu anasema Asingeweza Andika Uongo

Kumbuka Yesu alijua Kusoma Na Kuandika ila Hakuwahi kuacha Maandiko
 
hlf mtume hajasema itarudi kua ndogo bali itarudi ngeni kma ilivokuja
kma huelewi sema ueleweshwe ujuaji sio mzuri

hao walokuleteeni iyo.dini.saivi wanasilimu kwa kasi uko
Mweusi haitaji dini. Na
Hakuna dini ya kweli duniani.
 

Europe’s Growing Muslim Population​

Muslims are projected to increase as a share of Europe’s population – even with no future migration

Source: Muslim Population Growth in Europe
Ndugu kama Mungu Aliumba Binadamu wote inakuwaje Mnajinasibu na Dini kuliko Umoja wa Watu.? Kwanini uone Uislamu ni bora Kuliko Kujinasibu watu waje pamoja Kwa Umoja haijalishi Ni Dini gani
 
Hicho unakijuwa wewe, mimi sikifahamu. Mbona unaandika kijinga jinga unafikiri wote tunaelewa ujinga uliojazwa nao?
Mwenzako hapa anaongea kitu Cha maana na wewe unaongea ujinga tu embu acheni kuitetea ujinga watu weusi

it was narrated that Aishas Said "The verse of Stoning and of breastfeeding an adults ten times was revealed and the paper was with my under my pillow when the messenger of Allah died we were preoccupied with his death and a tame sheep came and ate it..."

-Sunan ibn majjah 1944
 
Mwenzako hapa anaongea kitu Cha maana na wewe unaongea ujinga tu embu acheni kuitetea ujinga watu weusi

it was narrated that Aishas Said "The verse of Stoning and of breastfeeding an adults ten times was revealed and the paper was with my under my pillow when the messenger of Allah died we were preoccupied with his death and a tame sheep came and ate it..."

-Sunan ibn majjah 1944
Sasa si ujuha huo, "narrated" unafahamu maana yake?

Hizo "paper" zilitoka wapi wakati huo? Ujuha mwengine hauna hata maana. Mnajazwa ujinga nanyi kwa kuwa ni mapoyoyo mnajazika tu ujinga, kiulaini kabisa.

Wapelekeeni upuuzi huo wajinga wenzenu.
 
Sasa si ujuha huo, "narrated" unafahamu maana yake?

Hizo "paper" zilitoka wapi wakati huo? Ujuha mwengine hauna hata maana. Mnajazwa ujinga nanyi kwa kuwa ni mapoyoyo mnajazika tu ujinga, kiulaini kabisa.

Wapelekeeni upuuzi huo wajinga wenzenu.
Kwa hio Ina maana waislamu wameandika uongo dhidi ya uislamu [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna vitu vingine watu weusi tutumie akili basi na hizi Dini zenu za michongo

Itqan (juzuu ya pili Uk. 32) utaona imeandikwa kuwa imepokewa kwa Nafi kwamba Ibn Umar amesema "Huenda mmoja wenu akasema kwamba ameichukua Qur’an yote (ukweli ni kwamba ) Qur’an nyingi imetoweka lakini aseme nimeichukua sehemu iliyodhihiri (niliyoipata)".

Sehemu nyingine Iko wapi?

Sisi watu weusi tu wajinga kuliko watu wote
 
Kwa hio Ina maana waislamu wameandika uongo dhidi ya uislamu [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna vitu vingine watu weusi tutumie akili basi na hizi Dini zenu za michongo

Itqan (juzuu ya pili Uk. 32) utaona imeandikwa kuwa imepokewa kwa Nafi kwamba Ibn Umar amesema "Huenda mmoja wenu akasema kwamba ameichukua Qur’an yote (ukweli ni kwamba ) Qur’an nyingi imetoweka lakini aseme nimeichukua sehemu iliyodhihiri (niliyoipata)".

Sehemu nyingine Iko wapi?

Sisi watu weusi tu wajinga kuliko watu wote
Kwanini iwe Waislam? Maandiko ulete wewe useme "Waislam"?


Wewe unauamini Uislam?
 
Back
Top Bottom