Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Luka 6:44Wakulungwa vipi?
Kuna swali huwa linanitatisha.
Kama tuliambiwa Mungu anaweza kila kitu.
Na mungu ana free will.
Je, Mungu anaweza kutenda dhambi?
Tuseme ameamua A ni dhambi.DHAMBI NI KILE MUNGU AMEKATAZA KWAHIYO HAWEZI KUFANYA DHAMBI KWASABABU YEYE NDIO ANAAMUA IPI NI DHAMBI NA IPI SIO.
Okey, ongezea hapo dhambi ipo kwa ajili ya binadamu na viumbe alivyoviumba MUNGU yakiwepo hayo mashetani na mapepo.Swali la mwanafunzi kumuuliza mwalimu kama anaweza kufeli mbona linamake sense?
Naku'quote "Dhambi ni uasi wa sheria. Sheria zipo kwa ajili ya binadamu."
Shetani na mapepo sio binadamu.
Je kina shetani hawana dhambi?
Yalikuwa matokeo ya kutenda dhambi (kujitenga na Mungu - asili ya wema).Jibu ni Ndiyo
Katika amri kumi alizompa Musa, Mungu aliagiza kuwa "usiue"
Lakini wote tunakubaliana kuwa Gharika, sodoma na gomola yalikuwa ni mauaji ya kikatili mno yaliyo ratibiwa na Mungu mwenyewe.
Hawezi kukosea?Tatizo mnamjadiri Mungu kama raisi au mfalme!
Yote yanayofanywa na viumbe wake yanapimwa kwa kanuni zake.
Kwahiyo hawez kutenda dhambi kwa sabab hawajibiki popote.
Hana wa kumkosea na hakosei.
Kwanini lawama ya matokeo ya dhambi anabebeshwa Mungu badala ya mdhambi husika?Kwa mujibu wa vitabu vya dini, Mungu amewahi kuua si mara moja wala si mtu mmoja.
ameua maelfu kwa maelfu.
Na bado hajaishia hapo ameandaa moto wa Jehanamu awachome wanadamu.
Mungu ni katili sana. hatupaswi kumnyenyekea katili hata kidogo
Mungu ndio alisema hivi au ni mawazo yako?Okey, ongezea hapo dhambi ipo kwa ajili ya binadamu na viumbe alivyoviumba MUNGU yakiwepo hayo mashetani na mapepo.
Na MUNGU naye ameakuambia usitende dhambi mpaka pale atakapotoa utaratibu mwingine.Waliniambia nisifanye ngono mpaka nikioa...kwahyo wao kwasababu wameoana walifanya na sikuwaona kama wanafiki.
ila wangeniambia usile kitimoto, halafu wao wakawa wanakula, ningewaona manafiki
Kwani unayemzungumzia ni yupi ili tusipishane.Mungu ndio alisema hivi au ni mawazo yako?
Kwahyo Mungu hana utaratibu aliojiwekea?Na MUNGU naye ameakuambia usitende dhambi mpaka pale atakapotoa utaratibu mwingine.
Kuna amabo wanaamini huko mbinguni kuna wanawake wa kujipigia utakavyo, utaratibu ambao duniani hapa kidogo ni tofauti.
God the creatorKwani unayemzungumzia ni yupi ili tusipishane.
Swali lako halina mantiki katika kumzungumzia Mungu unless kama unadhani yeye ni jamaa anayebadilika kulingana na mazingiraTuseme ameamua A ni dhambi.
Nayeye ana uwezo wa kufanya kila kitu(omnipotence)
Hawezi kuifanya hiyo A?
Hawezi kufanya dhambi?
Yeah, that would be the perfect God.Hata wewe unaweza ukaji-incriminate ?!!!
Na Kwa kutumia maandiko yanayoonyesha matabaka na upendeleo tofauti basi according to maandiko hayo sheria hazi-apply sawa kwa kila mtu....
Kwahio kama aliweza kuweka mwanamke awe duni kumtumikia mwanamume au kuteua taifa fulani liwe teule au kuwa na mwanae wa pekee basi vilevile kama wewe baba nyumbani kwako unavyokataza watoto labda wasifanye hili au lile wakati wewe ndio kwaanza unafanya !!!!
Anyway if I were to write a novel kuhusu a superior being asingefanya kile ambacho hataki wengine wafanye ingawa anaweza kufanya (show by example) na kungekuwa hakuna matabaka na choices zingekuwa sawa njoo kwangu utakula bata ingawa hata usipokuja kwangu wewe nenda popote sitakuadhibu ingawa huenda bata zangu hautakula ila siku ukitaka bata wewe njoo tu (No Time Frame)
But that is just me..., and what do I know !!!!!
Mmh.. ..Dhambi kubwa ni kumtupa shetani duniani ili atese binadamu.
Utaratibu wake upo kama ulivyo kutaka kuuelewa ni sawa na doli lililotengeezwa na mwanadamu kujaribu kumuelewa mwanadamu. Kabla ya kumuelewa MUNGU kwann tusielewe kwanza nguvu iliyopo ndani yetu inayosababisha uhai? Utapasuka msamba bure.Kwahyo Mungu hana utaratibu aliojiwekea?
Mungu hana consistency?
Kwahyo kumbe kuna vitu Mungu muweza wa vyote hawezi kufanya. Kama kutenda uovu.Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Luka 6:44
Mungu ni asili na chanzo cha wema, kamwe hawezi kuwa muovu.
Huyu huyu ambaye ndo chanzo cha ww kuwa na nguvu ya kumuongelea hapa? Maana creator ni wengi, wapo hadi creator wa JF kina max.God the creator
Aaah kwahyo hawezi kubadilika?Swali lako halina mantiki katika kumzungumzia Mungu unless kama unadhani yeye ni jamaa anayebadilika kulingana na mazingira
Mungu hatendi dhambi.Kwahyo kumbe kuna vitu Mungu muweza wa vyote hawezi kufanya. Kama kutenda uovu.
Kumbe sasa sio muweza wa vyote?
Huyohuyo aliyeniumba mimi na weweHuyu huyu ambaye ndo chanzo cha ww kuwa na nguvu ya kumuongelea hapa? Maana creator ni wengi, wapo hadi creator wa JF kina max.