Hata wewe unaweza ukaji-incriminate ?!!!
Na Kwa kutumia maandiko yanayoonyesha matabaka na upendeleo tofauti basi according to maandiko hayo sheria hazi-apply sawa kwa kila mtu....
Kwahio kama aliweza kuweka mwanamke awe duni kumtumikia mwanamume au kuteua taifa fulani liwe teule au kuwa na mwanae wa pekee basi vilevile kama wewe baba nyumbani kwako unavyokataza watoto labda wasifanye hili au lile wakati wewe ndio kwaanza unafanya !!!!
Anyway if I were to write a novel kuhusu a superior being asingefanya kile ambacho hataki wengine wafanye ingawa anaweza kufanya (show by example) na kungekuwa hakuna matabaka na choices zingekuwa sawa njoo kwangu utakula bata ingawa hata usipokuja kwangu wewe nenda popote sitakuadhibu ingawa huenda bata zangu hautakula ila siku ukitaka bata wewe njoo tu (No Time Frame)
But that is just me..., and what do I know !!!!!