Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongezea "siku hizi hakuna mahaba Ila upwiru unakaba koo" "Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwishaaa...nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa...nilikufa nikazikwa nikaozaaa mapenzi yalitesa nimefufukaa...
Alisikika akiimba kijana mmoja barobaro [emoji1787]
Usimpotoshe mashahada mawili 🤣na hisia za moyo kuna uhusiano gani? mkuu🤔Kila fani na professional inacourse chuo ama shule lakini hakuna chuo/shule inayofundisha ndoaMadegree makubwa mawili, nyie ni watu wakubwa sana mkuu.
Naamini anataka wote mjifunze, angekuwa anayo mawili na wewe huna hata ya kusingiziwa..ningesema anakung'ong'a...ila kwa hayo madegree mpo vizuri.
Mahusiano mema mkuu, ila asikunyime papa, wadada walioenda shule kidogo wanazifungia sana papa zao kwa wapenzi wao...sijui wanazifungia kwa nini.
Haya maneno ni ya Adamu kabisaa tena akasema ni nyama katika nyama zangu na mifupa katika mifupa yangu ila alichokifanya hakiwezi kusahaulika, sasa tungekuwa tunaishi na simba, chui tembo angekuwa rafiki yangu na tungekuwa hatufi, nadhani unapaswa kumuombea kila siku na wewe umpende sanaaa. Alaf nikuulize usije ukawa umeoa mwaka jana hahahha, ngoma bado mbichi wacha waseme walio na miaka 20 hahasMwanamke muelewa
Anajishusha
Anapenda ujifunze
Aisee Nimeokota dodo chini ya mpapai.
View attachment 3221468
Kwa lugha ya kigeni direction...Hivi Muongozo Ndio Formula 😜 au ni system
Huyo bwana kucha kama anafanya kazi kwenye kiwanda cha mawese kinachomilikiwa na papa mwijako
😂😅 Ni Jambo la muda tu. Atakuja kulia Lia humu🏃 🏃Huyo ni mjuaji anakulia timing!
Kila la kheri ingawa nakuomba usimalize maneno uache muda utakujibia yote...safari bado ndefu kaka.....tulizana endelea kyishi usimalize maneno......huyo ni binadamu PiaMwanamke muelewa
Anajishusha
Anapenda ujifunze
Aisee Nimeokota dodo chini ya mpapai.
View attachment 3221468
Hahaha kaka kama unachambua sokaDogo bado mchanga sana. Chukua hii shule;
Alipaswa aseme hivi:
"Nisamehe mume wangu, sikukusudia kukukosea."
Ukiangalia in 6 dimensions hayo maneno yake ya mwanzo ni kama kejeli, sio msamaha.. anasema "kama", so haamini kama kakukosea.
"Ukiwa na Mb nakuomba jifunze" ... Kwa hiyo dogo kuna muda unakuwa huna Mb, si ndio? Sawa.
Maneno "nakuomba jifunze" ni maneno ya mtu mjivuni sana, kimsingi hajakuomba, that's a command brother. Alipaswa aseme "Nitafurahi tukijifunza zaidi kuhusu...." Kwenye kujifunza yeye keshagraduate ndo mana kajitoa, na wewe hamna unachojua, badala ya kuongeza ujuzi anakwambia ujifunze, sivyo? Freshi.
Then neno nakupenda halina hisia kama hajakuita jina zuri. Nakupenda whichi ipo plain ivoo? Haina mayai wala kachumbari 😆.. She had to say "nakupenda mume wangu/mpenzi wangu/kipenzi changu"
Naungana na wadau wanaosema hako katoto ni kajuaji; unyenyekevu zero(0%).
That's your headache, endelea kumeza panado taratiibu, hakunaga aliyekamilika.
SawaKwa lugha ya kigeni direction...