Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Approach with caution... Anaonekana anaingilika kirahisi kwa maneno. Huyu kumkuta follower wa spiritual healer / motivational speaker ni chap
 
1737642656878.jpg
 
“Ukipata Mb” ?
Kwanza ukisoma concept ya vision board na daily affirmations kwa mbaaaaaali ni kama amemwambia "hujui unataka nini"ndio maana unaona ameomba samahani "kama" amemuudhi
 
Kila aliyeoa upitia hatua hiyo ila sasa subiri azikamate na wewe uzikose ndipo utajua rangi halisi ni ipi.
 
Anayajua mambo hivyo alafu useme mnyenyekevu ha ha ha huyo ni mjuaji sio mnyenyekevu
 
Back
Top Bottom