Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha hamna wivuu apo hawatabiriki unaona leo ni dodo kesho utaona ni limao poriHahahaha wivuuuu
Hahaha kweli mkuu limao pori😂😂haha hamna wivuu apo hawatabiriki unaona leo ni dodo kesho utaona ni limao pori
Hahaha mpaka wembe anakula?Mkuu kama vipi tufanye mpando ndoa zetu zibarikiwe pamoja, kuna mtoto wa mtu kanasa huku hapindui kwa hali aliyofikia hata nikimwambia ale wembe anakula.
Hongera zetu mkuu.
Hahahaha wivuuuuWanabadilikaga hao. Usijeukasahau kutupa mrejesho yatakapokugeukia
Madegree makubwa mawili, nyie ni watu wakubwa sana mkuu.Ndio mkuu wote tuna madegree makubwa mawili
Unaongea ukweli mtupu, kwanza nimeanza kumla papa baada ya mwaka kwenye mahusiano na nilimkuta bikra kabisaMadegree makubwa mawili, nyie ni watu wakubwa sana mkuu.
Naamini anataka wote mjifunze, angekuwa anayo mawili na wewe huna hata ya kusingiziwa..ningesema anakung'ong'a...ila kwa hayo madegree mpo vizuri.
Mahusiano mema mkuu, ila asikunyime papa, wadada walioenda shule kidogo wanazifungia sana papa zao kwa wapenzi wao...sijui wanazifungia kwa nini.
Huyu naweka ndani kwanza kanikubali na hali yangu, pili tangu niwe nae mambo yananinyookea mno, siku nimekutana nae kwa mara ya kwanza michongo ilianza kutiki.Hahaha mpaka wembe anakula?
Mimi Kuna siku nilimwambia alambe kwapa akakubali, Ile anaenda kulamba nikamzuia
Mkuu tumebahatika sana aisee
Sawa lakini muda ndio msemakweli. Hatuombei yakukute lakini uzoefu wetu ni kwamba hawana gerentii haoHahahaha wivuuuu
Namimi nimewaza kama wewe na huu ndio ukweliHuyo ni mjuaji anakulia timing!
Hsta kuowana mbali mkuu mpe time tu wawe kwenye mahusiano hata kwa muda wa miez 6 tuMkuu huwa wako hivyohivyo kabla hamjaoana, Hilo ni tabasamu la mamba subiri mkiwa na mtoto 1 au 2 hivi najua utarudi hapa jukwami huku unalia
Na sisi tulianza nao hivyo hivyo,tukawekeza nguvu kibao!"USIMKATAE MTU MUNGU ALIEKULETEA MAISHANI"Mwanamke muelewa
Anajishusha
Anapenda ujifunze
Aisee Nimeokota dodo chini ya mpapai.
View attachment 3221468
Hahaha acha wivuuUtarufi hapa siku sio nyingi na uzi wa malalamiko
Mbona una bahati sana mkuu, umepata mwanamke hadi seal ukaitoa mwenyewe, na madegree mawili, na wife material kabisa...fanya uweke kwa ghetto ule kwa kujipimia.Unaongea ukweli mtupu, kwanza nimeanza kumla papa baada ya mwaka kwenye mahusiano na nilimkuta bikra kabisa
Sawa mkuu nipo kwenye mchakato mwezi wa sita haufiki naweka ndaniMbona una bahati sana mkuu, umepata mwanamke hadi seal ukaitoa mwenyewe, na madegree mawili, na wife material kabisa...fanya uweke kwa ghetto ule kwa kujipimia.