Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Mungu anipe, hatimaye nimepata mwanamke mwelewa na mnyenyekevu ni Zaidi ya zawadi.

Mapenzi ya mkataba mpaka kufa yamekwishaaa...nafsi yangu inasema bora nimpende tu alonizaa...nilikufa nikazikwa nikaozaaa mapenzi yalitesa nimefufukaa...
Alisikika akiimba kijana mmoja barobaro [emoji1787]
 
Hongera mkuu

80009820-1480-4278-91D4-519AE89C6091.jpeg
 
Bro hapa, umepata usimuache mwanamke anayejua ujinga na upumbavu wako ulipo Kisha anajaribu kukutoa huko kwa busara zote.....
Narudia usiuache, utanishukuru kesho
Sawa mkuu si
Bro hapa, umepata usimuache mwanamke anayejua ujinga na upumbavu wako ulipo Kisha anajaribu kukutoa huko kwa busara zote.....
Narudia usiuache, utanishukuru kesho
Simuachi mkuu, ntakuja kukushukuru baadae.
 
Back
Top Bottom