fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu yupi?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
NYAU KAA HUKO KWA MTOGORE ANZA MWAKA KWA MATAPUTAPUMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Natanyahu na wafuasi wakeNani aliyewaangamiza Haniya na Nasrallah? Mungu au shetani?
sio kosa lako,ni ukosefu wa uelewa,ila ipo siku moja utaujua ukweliDua za mwewe.
They want a war they get War.
Akuanzae mmalize
Sheikh wangu....kinyonge sana. Vita tulitaka wenyewe tuliwachokoza hao jamaaMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Najua hiyo ni propaganda,lakini utafute ukweli ipo siku itaujua,pia sio kila mtinanayewayetea wapalestina ni muislamu,hiyo pia djana potofu,wapalestina wanaonewa,wamedhulumiwa ardhi yao,wamefungwa kwa marlefu huko kwenye magereza ya israeli,wanauawa hovyo kama kuku,wanalawitiwa,na kufanyiwa kila uovu.Yapo maazimio kadhaa ya umoja wa mataifa wakiitaka israeli kuwarudishia wapalestina ardhi yao lakini hawataki,lakini ipo siku haki ya wapalestina itarejea kwaoSheikh wangu....kinyonge sana. Vita tulitaka wenyewe tuliwachokoza hao jamaa
Ni sawa ufikiriavyo lakini mimi najua ipo siku
Huyu ni kichaa fulani, yupo tayari kwa lolote ili mradi atimize nia yake ya kupunguza kizazi cha wapalestina waliomo Gaza. Kwake kufa sio ishu, ndio maana ametoroka matibabu ya tezi dume wodini akiwa hajakamilishaMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
wakati nashangilia uliniona? au uliona nimeandika kitu hapa kushangilia?Tuache kukurupuka tu sio haki kuua raia wasio na hatia iwe ni waisraeli au wapalestinaWameanza watu wa gaza itafuata wewe unayetaka netanyahu aangamizwe wakati watu wake walipoangamizwa mlishangilia
Netanyahu, kamatia hapo hapo baba...Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Hoja sio kunyooshana,hoja ni kila myu apewe haki yake,wapestina wanaonewa waziwazi
Hakuna mtu anatetea kuuawa kwa binaadamu bila hatia yoyote ile,hao watoto wa kipalestina wanaouawa,wazee wanauawa,madokta,manesi na waandishi wa habari wa palestina wao wana hatia ipi?Kwa hiyo huyo Mungu yeye furaha yake ni kuuwawa kwa wa Israel tu lakini wa Israel wakijitetea yeye anachukia.......View attachment 3189762