Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Mungu yupi?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Allah wa waarabu au Mungu wa wayahudi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu yupi?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Ilmu imekuharibia uwezo wa kuonaHaya maoni yako,hayana ithibati wala ukweli wa kihistoria,bali yamejengwa juu ya ushabiki,upofu wa kishabiki na ubarakala,lakini siku moja ukweli utadhihiri
Kumbe ni 'ke'mungu yupi? allah goddes wa kiarabu? hana nguvu yeyote dhidi ya Mungu wa Waisrael. na hajawahi kuwa na nguvu hizo.
Oktoba 7 mlitumwa na mungu wenu Allah mkawaue waisrael ili mtimize ratiba aliyoipanga ?Binaadamu hawezi kumpangia Mungu ratiba yake.Kuhusu kufa utakufa wewe,mimi na binadamu wote kwa ratiba ya Mungu
kwa akili yako fupi,unadhani kuwa madhila na mateso ya wapalestina yalianzia oktoba 7 huo ni upofu wa kihistoria,na ujinga wako mwingine ni kudhani kuwa kila anayewayetea wapalestina ni mwislamu,wewe hapa Allah unamuingiza wa nini? wewe unamjua Mungu kweli? unamchezea Mungu na huku unaenda kusali kwa hiyo dini yako,kweli? soma historia vizuri,ujue ni kwanini hamas ilizaliwa,wanapigania nini,acha kufata mkumboOktoba 7 mlitumwa na mungu wenu Allah mkawaue waisrael ili mtimize ratiba aliyoipanga ?
ilmu? wala hunijui,hujui mie ni dini gani,unakurupuka tu,pole,kwa taarifa yako mimi ni mkatoliki kwa kuzaliwa na nawatetea hamas kwa nguvu zangu zote,sio kwasababu ya dini yao,bali ni kwa kuonewaIlmu imekuharibia uwezo wa kuona
If it were you,huo msimamo utakuwa ni jinamizi kwenye maisha yakoIf I were Bibi, ninge-sacrifice hao hostages kadhaa waliosalia huko Gaza ili nii-flat Gaza yote zaidi ya Hiroshima na Nagasaki, ndio lingekuwa suluhisho langu. A total deletion of terrorists, jihadists na vizazi vyao vyote ingekuwa ndio solution.
Tulia tu Sheikh wangu. Jamaa tuliwachokoza tulipoteka na kuua watu wao. Mayahudi si kama Wakristo. Hawa wanaamini katika kisasi. Wamelipiza. Wamepitiliza katika kulipiza...
Umejuaje? Kwani wewe ndiye mwakilishi na msemaji wa Mungu hapa duniani?Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Labda kama huna dini lakini mimi ni muumini wa Mungu na nina imani lubwa ipo sikuUmejuaje? Kwani wewe ndiye mwakilishi na msemaji wa Mungu hapa duniani?
Na vipi ikiwa Mungu amemtuma Netanyahu na wafuasi wake kuwaangamiza Palestina na Hamas na washirika wao?
BTW usimhusishe Mungu kwenye maovu yenu au wanadamu. Hamas wameua na kuteka, Netanyahu na wafuasi wake wameua na kuharibu. Mungu anahusikaje hapo?