fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #41
Muda ndio itakubadilisha na utaujua ukweliTuelezee sasa, sisi tunajua ni magaidi ya Hamas.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ndio itakubadilisha na utaujua ukweliTuelezee sasa, sisi tunajua ni magaidi ya Hamas.
Wavaa kobaz simnasemaga nyie ni miamba ya vita mkachokoza na kuua kikatili watu wasio na hatia na bado mkasheherekea uhaini mlioufanya kwa binadamu wenzebu. Sasa mnaanza kulia lia nini Mungu mnaye mtaja huko majibu yake haya hapa someni polepole alafu mlinganishe na kile kinacho wakuta huko..Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Netanyahu hawezi kuangamizwa na Mungu maana kazi anayofanya ni ya Mungu. Netanyahu ameshughulikia magaidi yaliyojuwa yamejipanga kuiangamiza Israel taifa la Mungu. Maandiko yapo wazi na Biblia ni Neno la Mungu. Netanyahu anatimiza Maandiko maana Imeandikwa siku za mwisho Mungubatawarejesha tena Israel katika ardhi yao na hakuna mtu atakayeweza kuwaondoa tena. Masihi Yesu Kristo atarudi na kuangamiza mataifa yatajayojuwa yameizingira Israel ili kuiangamiza. Hayo mataifa ndiyo yataangamizwa na Mungu.Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Hakuna Mungu mbaguzi mwenye taifa la Mungu na taifa lisilo la Mungu,mataifa yote ni ya MunguNetanyahu hawezi kuangamizwa na Mungu maana kazi anayofanya ni ya Mungu. Netanyahu ameshughulikia magaidi yaliyojuwa yamejipanga kuiangamiza Israel taifa la Mungu. Maandiko yapo wazi na Biblia ni Neno la Mungu. Netanyahu anatimiza Maandiko maana Imeandikwa siku za mwisho Mungubatawarejesha tena Israel katika ardhi yao na hakuna mtu atakayeweza kuwaondoa tena. Masihi Yesu Kristo atarudi na kuangamiza mataifa yatajayojuwa yameizingira Israel ili kuiangamiza. Hayo mataifa ndiyo yataangamizwa na Mungu.
Kwa hiyo pale wayahudi siyo kwao siyo?Najua hiyo ni propaganda,lanini utafute ukweli ipo siku itaujua,pia sio kila mtinanayewayetea wapalestina ni muislamu,hiyo pia djana potofu,wapalestina wanaonewa,wamedhulumiwa ardhi yao,wamefungwa kwa marlefu huko kwenye magereza ya israeli,wanauawa hovyo kama kuku,wanalawitiwa,na kufanyiwa kila uovu.Yapo maazimio kadhaa ya umoja wa mataifa wakiitaka israeli kuwarudishia wapalestina ardhi yao lakini hawataki,lakini ipo siku haki ya wapalestina itarejea kwao
kuna sehemu ni yao na kuna sehemu sio yaoKwa hiyo pale wayahudi siyo kwao siyo?
Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Simple Mungu ndie anayeangamiza kila mtuNani aliyewaangamiza Haniya na Nasrallah? Mungu au shetani?
Nani huyo wakufanya hayo? Yule Shetani anaitwa kaallah? hana ubavu huoMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Myahudi hajui mambo ya majini wala albadiri. Kazi yake ni kutoa dozi nzito kwa magaidi ya kidini hapo Gaza mpaka yamalizikeHuku bongo Huwa mnatutisha sijui mna kurujuani, albadiri nk mbona waarabu ambao ndio wagunduzi wa teklonojia za kutengeneza majini duniani wasimsomee hayo maandishi ya albadiri? Mbona bado anadunda?
Kwa hiyo yale mabom yenye rangi ya chocolate yaliyomzika gaidi Nasra na vibaraka wenzake wa Iran yalidondoka kutoka kwa allah ama?!Simple Mungu ndie anayeangamiza kila mtu
Hata hapo kamchelewesha sana,huku akiendekea kuwateketeza wapalestinqMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Hakuna kinachokufa bila ruksa kila nafsi imewekewa uangalizi, na taarifa zote zimekabidhiwa Kwa malaika wahusika, Kama siku,saa,dk mahali na namna ya kuondokaKwa hiyo yale mabom yenye rangi ya chocolate yaliyomzika gaidi Nasra na vibaraka wenzake wa Iran yalidondoka kutoka kwa allah ama?!
Ustaazi acha kutupiga Kamba 😆😆
mungu yupi? allah goddes wa kiarabu? hana nguvu yeyote dhidi ya Mungu wa Waisrael. na hajawahi kuwa na nguvu hizo.Mungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Muda utaongeamungu yupi? allah goddes wa kiarabu? hana nguvu yeyote dhidi ya Mungu wa Waisrael. na hajawahi kuwa na nguvu hizo.
Ayatollah khamnei yeye ataangamizwa kwa sababu anafadhili magenge ya ugaidiMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu
Ushetan wa netanyau au ulinzi wa netanyau thiodd ya wanaotaka kuaaangamiza hao waa israel. Netapaka ataish miaka mingi kwakuwalinda nduguzakeMungu hawezi kuwaangamiza waisraeli kwa makosa na ushetani wa natanyahu