4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.
Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?
Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .
Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.
Thanks
Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?
Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .
Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.
Thanks