Mungu kanionesha ndugu Makongoro Nyerere kuwa mtu mkubwa siku za usoni

Mungu kanionesha ndugu Makongoro Nyerere kuwa mtu mkubwa siku za usoni

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
 
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
Mkuu uliona kwenye ndoto nyevu au wapi.
 
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
Kiswahili kinakupa shida, anyway
Ila huyu jamaa keshazeeka, labda kuwa kama babu wa kikombe kule loliondo.
 
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
Mungu wa Mwamposa huyu
 
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks

Wahi haraka nenda Milembe Hospital pale Dodoma, hali yako itakuwa mbaya zaidi siku zijazo
 
Umechelewa kuota, sasa hivi anakaribia kustaafu ukuu wa mkoa kwa sababu ya umri, technically he is near expire date, ready to be dumped in the dustbin ya public service
 
Back
Top Bottom