secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mkuu usiniombee dua mbaya😂Subili Mungu akunyooshe ,alafu njoo na hoja kuomba michango pitia andiko hili,
Hujui Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiniombee dua mbaya😂Subili Mungu akunyooshe ,alafu njoo na hoja kuomba michango pitia andiko hili,
Hujui Dunia
Msingi huo huo unaoutumia kujiuliza je dunia imejiumba yenyewe ni msingi mzuri sana kuutumia kujiuliza je Mungu amejiumba mwenyewe pia🤔Dunia imejiumba yenyew mkuu, everything fell into place just by coincidence, chemical zilireact zikatengeneza DNA mara misuli mara mfupa mara ngozi mara jicho, jicho lenye lens ya ku-focus wakati unaangalia na pupil ya k-control kiwango cha mwanga kinachoingia machoni, hayo yote yametokea tu just by coincidence bro, bahati iliyoje? Na bahati iliyoje jua lipo katika distance ambayo ni nzuri kabisa ku-support life on eath, halipo mbali sana tusiteseke na baridi wala halipo karibu sana tukateketea na joto, ni bahati tu lipo katika distance ambayo it can support life? Hata hivo ni bahati pia kwamba chakula chetu kinatokana na mwanga wa bahati wa jua, maana bila mwanga wa jua mmea haiwez kufanya photosynthesis na bila photosynthesis imekufa na sisi wanyama tungekufa kwasababu wote tunategemea mimea ambayo nayo yenyew imejiotea kibahati, siku tu ikaanza kujiotea na kwa bahati ikagundua kwamba inahitaji mwanga wa jua ili ijitengenezee chakula chake, yaan bahati juu ya bahati juu ya bahati, broo bahati tu.
Mwenyewe siasa siwezi sema nakaza tu shingo😂Hahaha humu jukwaa la utanashati halipo nikaone mambo huko 😂 😂 Mimi na siasa siwezi kabisa
Mwenyewe siasa siwezi sema nakaza tu shing
Dr bila kupepesa macho naunga hoja yako mkono💪Ikitokea ikawa basi jueni Mimi Kama rafiki yenu soon nitakuwa mteuliwa mwandamizi .
Believe yule ni rafiki ,shemeji na mwisho mlevi mwenzangu .
Hii ndoto wacha niendelee kuiombea iwe
Bwana min -me Mungu ametukumbuka Kaka kupitia ndugu yetu
Ukianza kujiuliza mungu kaumbwa na nani alaf ukapata jibu, huoni kwamba hilo jibu litazaa swali lingine kwamba je huyo aliyemuumba mungu naye kaumbwa na nani, na huyo je aliyeumba kilichoumba kilichomuumba mungu nayeye kaumbwa na nani?Msingi huo huo unaoutumia kujiuliza je dunia imejiumba yenyewe ni msingi mzuri sana kuutumia kujiuliza je Mungu amejiumba mwenyewe pia🤔
Mungu yupo kazini alafu unaleta utaniMkuu usiniombee dua mbaya😂
Iwe pia naweAmani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.
ndie yeye na tunafahamiana Yaliyojiri Mwitongo, kutangaza kuwania urais kwa Makongoro NyerereNimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?
Kwa vile mtu mkubwa sana ni mmoja tuu, then kama ulichoambiwa ni lile jambo letu la 2025,hata kama HIIMungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .
Pole sana, sio member humu。Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.
Thanks
Achaga ujinga ww makongoro mwenyewe anamika karibia 70Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.
Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?
Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .
Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.
Thanks