Mungu kanionesha ndugu Makongoro Nyerere kuwa mtu mkubwa siku za usoni

Mungu kanionesha ndugu Makongoro Nyerere kuwa mtu mkubwa siku za usoni

Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
Umri ushamtupa mkono.
 
Mbona huyu mnampinga ila akiota mwizi wa magari mnashangilia?Wacheni ubaguzi.Mbona ujinga ni ule ule?
 
Upumbavu sio tusi mkuu tafta kamsi , by the way mie sio nabii uchwara ,sio mcungaji ,sina kanisa ,ila Mungu amenichagua tu nimtumikie tu pale inapo nihitaji
Amekutuma utumie maneno yasiyo na staha mtandaoni
Mbona mnapenda kukufuru nyie watu
 
Amani ya Mungu itawale kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.

Nimeoneshwa jambo ambalo sikutegemea kwa ndugu Makongoro Nyerere , sasa sijui ndo huyu mwanae na Baba wa taifa?

Mungu kanionesha mtu mwenye sura ya uyu ndugu na kuniambia ataenda kuwa mtu mkubwa sio mda ,mtu mkubwa hapo sijafafanuliwa .

Makongoro Nyerere kama hupo jf njoo in box upo mwongozo wako Mungu kanipa siwezi weka adharani utaki acha.

Thanks
Huyo Mungu wa Busokelo labda
 
Back
Top Bottom