Mungu kanionesha ndugu Makongoro Nyerere kuwa mtu mkubwa siku za usoni

Kama mungu wako ni yule aliyezaliwa na mwanamke endelea tu kuota
 
Makongoro ni kiongozi, ni mcheshi na mtu wa watu...ana haiba ya uongozi.
Mungu ananiambia ataenda kuwa Mtu mkubwa ,kivipi sijui ,sasa wajinga wanafikiri Urais tu , binafsi sina jibu mpaka mda huu.

Sasa wajinga wanashambulia kama nzige mashambani , wapitie maandiko yangu hata kipindi cha jiwe watajifunza kitu.

Siwezi acha kile Mungu wangu ameniambia kuwa wazi na je yapi sijaongea hapa , Adabu ni busara ilio kuu ,watu mnawashwa kwa kile Hamjui
 
gentleman,
ushirikiana kwenye karne hii ya sayansi na technolojia huambatana na mawenge ya kiwango cha juu sana.

kwamba unatengeneza mazingira ya kumtapeli mtu mzima mwenye heshma zake na ambae jua linakaribia kuzama kwa heshima,

then unataka kumroga mtu achanganyikiwe na kupoteza uelekeo kama yule Mzee a.k.a jaji ambae sasa ni msemaji wa Chadema anaehangaika na kujifanya ni Gen z πŸ’
 
Nilijua lazima ufike , ilewa usishindane na mwana wa Mungu anaepata mkate wa kila siku ,bila uchawa , nakueshim sana , humjui Mungu wangu kaa mbali na mimi, nikisema ni mamlaka kamili ya Kimungu na lazima utii sio ombi
 
2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Askofu Josephat Gwajima kupitia tiketi ya CHADEMA .
Tunza hii comment!
Mkuu ndio mmeaambiwa hivyo juma pili ya leo?
 
Nilijua lazima ufike , ilewa usishindane na Mwangu anaepata mkate wa kila siku ,bila uchawa , nakueshim sana , humjui Mungu wangu kaa mbali na mimi, nikisema ni mamlaka kamili ya Kimungu na lazima utii sio ombi
ulipo nipo gentleman,

hiyo ya eti ulazima ni fike na huo ushirikiana mwingine ni useless na completely nonsense.

Mungu ni wa wote wamchao.
ni ushirikiana kuja hapa eti ng'we ng'we ndoto sijui zimefanya nini huko,
upotoshaji na uongo tu vimekujaa moyo, alaaaaa!

eti kaa mbali na mimi 🀣

Yes,
siwezi kukaa karibu na washirikina mie gentleman πŸ’
 
Mtu hawezi hata kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu halafu anadai kamwonyesha, Africa ina wimbi la ujinga sugu.
Dunia imejiumba yenyew mkuu, everything fell into place just by coincidence, chemical zilireact zikatengeneza DNA mara misuli mara mfupa mara ngozi mara jicho, jicho lenye lens ya ku-focus wakati unaangalia na pupil ya ku-control kiwango cha mwanga kinachoingia machoni, hayo yote yametokea tu just by coincidence bro, bahati iliyoje? Na bahati iliyoje jua lipo katika distance ambayo ni nzuri kabisa ku-support life on eath, halipo mbali sana tusiteseke na baridi wala halipo karibu sana tukateketea na joto, ni bahati tu lipo katika distance ambayo it can support life? Hata hivo ni bahati pia kwamba chakula chetu kinatokana na mwanga wa bahati wa jua, maana bila mwanga wa jua mmea haiwez kufanya photosynthesis na bila photosynthesis itakufa na sisi wanyama tungekufa kwasababu wote tunategemea mimea ambayo nayo yenyew imejiotea kibahati, siku tu ikaanza kujiotea na kwa bahati ikagundua kwamba inahitaji mwanga wa jua ili ijitengenezee chakula chake, yaan bahati juu ya bahati juu ya bahati, broo bahati tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…