Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Tunakuwa gizani pale tu linapo zama. Kwahiyo hesabu ni muda gani. Kingine nani alikwambia mtu akienda kusali au kusujudu Ina maana ya kuwa hafanyi shughuli nyingine tena ? Hii akili ya wapi ?
Likiwa linasujudu bado linamulika au ni mpaka limalize ndio liruhusiwe kumulika kutoa mwanga, Jua ni kiumbe hai ?
 
Tunakuwa gizani pale tu linapo zama. Kwahiyo hesabu ni muda gani. Kingine nani alikwambia mtu akienda kusali au kusujudu Ina maana ya kuwa hafanyi shughuli nyingine tena ? Hii akili ya wapi ?
Usiwe na hasira , hii ni sayansi ya Allah ambayo dunia haijagundua bado , unapopata mda kama huu unaelemisha Allah anasemaje kuhusu solar system yake ?
 
Umeeleza vizuri sana....tusaidie pia na origin of life(universe) kiongozi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Be specific because origins of life on earth and the origin of the universe are two different things.

Moreover-each independently has different version to how it began, depends on who you ask.

You want the origin of universe according to cosmologists who believe it had always existed or the popular acceptance it all began with the bing bang.

You want to know the origins of life
According to science
or According to religions
or according to ‘ancient aliens’ theorists.

Besides nadhani mwelekeo wa mada ushakuwa wa kidini mno, so sioni kama sahihi kuwaingilia hawa jamaa na mabishano yao.

Sometimes in life learn to cut your loses ukishaona watu wana mitazamo yao just let it go, maana kuendelea kujibizana ni sawa na kutwanga maji kinu (kazi bure).
 
Nani kakwambia kwamba nashangaa? Issue inakuja watoto shulkeni wanafundoshwa tofauti ni ngumu kwa watoto wa kiislamu kutoboa kwenye masomo ya sayansi
Naona umeishiwa hoja.
Zimebaki porojo tu. Na sina muda wakujibu porojo zako
 
Naona umeishiwa hoja.
Zimebaki porojo tu. Na sina muda wakujibu porojo zako
Nimewakilisha Hoja na mmekosa pa kukimbilia , Jua linaenda kusujudu na kutumbukia kwenye maji chini ya kiti cha Allah , hii ni sayansi ya Allah ambayo inapingana na sayansi ya darasani ya darasa la nne
 
Toa jibu hapa wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jua linazama kwenye maji , tumefunga mada kwa uthibitisho

Koran 11:7 ...Na Kiti chake cha Enzi kilikuwa juu ya maji...
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
 
Nimewakilisha Hoja na mmekosa pa kukimbilia , Jua linaenda kusujudu na kutumbukia kwenye maji chini ya kiti cha Allah , hii ni sayansi ya Allah ambayo inapingana na sayansi ya darasani ya darasa la nne
Tulishajibu vihoja vyako. Ulichobakisha ni kung’ang’ania porojo tu kwasababu ww upo kwaajili ya UBISHI na USHINDANI na sio kwaajili ya knowledge.
Leta aya au hadithi inayosema “ jua hua linaenda kutumbukia kwenye maji” acha kuongeza kitu ambacho hakijatajwa kwenye hadithi.
 
Tulishajibu vihoja vyako. Ulichobakisha ni kung’ang’ania porojo tu kwasababu ww upo kwaajili ya UBISHI na USHINDANI na sio kwaajili ya knowledge.
Leta aya au hadithi inayosema “ jua hua linaenda kutumbukia kwenye maji” acha kuongeza kitu ambacho hakijatajwa kwenye hadithi.
Koran 11:7 ...Na Kiti chake cha Enzi kilikuwa juu ya maji...
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
 
Koran 11:7 ...Na Kiti chake cha Enzi kilikuwa juu ya maji...
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
Nishajibu, rejea post #292.
Unapenda sana kurudiarudia. Utakua na ugonjwa wa OCD. Pia memory yako inaonekana ni short term. Unasahau haraka ulichojibiwa 😜
 
Koran 11:7 ...Na Kiti chake cha Enzi kilikuwa juu ya maji...
Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
Aya kwa mujibu wa aya yako hapo hicho kiti bado kipo huko huko

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muhammad anasema likiwa linazama yani mda ambao hatuliona usiku linakuwa limeenda kusujudu na kuomba kibali cha kutokea tena , likitokea inamaana limepewa kibali , hii maana yake ni usiku wote linasujudu au ni tofauti
Tuonyeshe maneno haya toka kwa Mtume. Namaanisha haya uliyo yaandika.
 
Back
Top Bottom