Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Una Umuhimu sana wa Quran kuwa kuwa Kwa lugha Moja. Tafsiri Huwa zinachanganya watu. Naomba usome hii tafsiri hapa utapata jibu.

Quran: 18. 86

"until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
 
Una Umuhimu sana wa Quran kuwa kuwa Kwa lugha Moja. Tafsiri Huwa zinachanganya watu. Naomba usome hii tafsiri hapa utapata jibu.

Quran: 18. 86

"until he reached the setting ˹point˺ of the sun, which appeared to him to be setting in a spring of murky water, where he found some people. We said, “O Ⱬul-Qarnain! Either punish them or treat them kindly.”
Appeared to him,hapo ndio aliona yeye huyo mtu(imemtokea yeye kuona hivyo).
 
DHUL QARNAIN ni nani?! hadi Mwenyezi Mungu aliyeumba mbigu na dunia na vyote vilivyomo amsimulie Muhamad uongo wake?? Au kulikuwa na maana nyingine?! maana ni kituko.
Mkuu usitafute matusi, vijana "WAAMINIFU" hawatokaa wakujibu wanajua huo ni mojawapo ya uongo ndani ya kitabu chao.
 
Jinsi ilivoandikwa naamini ndio ukweli ..hata masuala ya solar system theory ziko nyingi ..juzi tuh elon musk kasema ile safar ya mwezini ilikua uongo .hapo inatupa picha kua mambo mengi wanatudanganya ...jua kuzama kwenye tope inawezekana hasa ukiangalia lile joto lake la mchana Ni tofaut na usiku au asubui .nb sio kila wasemacho hao wazungu Ni kweli mfano story za aliens Ni hao hao nasa ndio wameleta
 
Tena kituko kweli kweli! Eti Mungu anamsimulia Mtume alichoona Dhul Qarnain! Utetezi wa ajabu hasa!
Huyo mtu Kuna baadhi ya wana history wanasema ndio Alexandra the great ...Kwan alikua anashinda kila vita na alikua na kofia yenye pembe mbili (the one with two horns) na muhamad alipewa habar za huyo dhul qarnain baada ya watu kuja na kuanza kumuuliza maswali kuhusu huyo mtu .
 
Tatizo ni kutafsiri kutoka lugha ya kiarabu kuja kiswahili.Kisa kinasimuliwa kuhusu huyo aliyeona jua kuzama.Yeye huyo anayesimuliwa kisa chake,ndio yeye aliona jua kuzama.Kila lugha ina uandishi wake,kutegemea na lugha husika.
Ukisoma,tafsiri kutoka lugha moja kwenda nyingine,inatakiwa ujuwe utamaduni wa lugha husika,katika kiswahili,mtu aliyekuzidi umri,huwezi kumwamkia kwa kumwambia habari yako,lakini kwa wazungu na lugha nyingi duniani,hazitofautishi katika kuamkiana,akiwa ni baba yako,mama yako,mkubwa wako,wote ni "How are you".
Kujuwa utamaduni wa lugha iliyotafsiriwa ni muhimu.
Vijana "WAAMINIFU" wameshikwa pabaya... haya mie naapita.....
 
Quran inasema kwamba jua hutuama kwenye kisima ama dimbwi la matope kazito na asubuhi huamka.

Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Nimeuliza hivyo kwa sababu Sayansi ya Dunia inatuambia kwamba Jua liko mahapa pamoja ila Dunia ndio hulizunguka hivyo halina kuzama wala kuibuka.

Je mwenyezi Mungu SWT alikua na maana gani kusema hivyo?

Ahsante.
Maneno mengine yameandikwa kwa mafumbo na kwa lugha ya enzi zile za karne ya 6.

Ukiwa unataka kujua hasa tafadhali wasiliana na wataalamu wa elimu ya fiqhi (tafsiri ya quran) lakini ukija kuuliza humu ina maana una ajenda yako nyingine.
 
Jinsi ilivoandikwa naamini ndio ukweli ..hata masuala ya solar system theory ziko nyingi ..juzi tuh elon musk kasema ile safar ya mwezini ilikua uongo .hapo inatupa picha kua mambo mengi wanatudanganya ...jua kuzama kwenye tope inawezekana hasa ukiangalia lile joto lake la mchana Ni tofaut na usiku au asubui .nb sio kila wasemacho hao wazungu Ni kweli mfano story za aliens Ni hao hao nasa ndio wameleta
Sure umeongea neno linalo hitaji fikra yakinifu.

Key point here is si lazima kila wanachokuja nacho jamaa ni kukipokea tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Quran inasema kwamba jua hutuama kwenye kisima ama dimbwi la matope kazito na asubuhi huamka.

Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Nimeuliza hivyo kwa sababu Sayansi ya Dunia inatuambia kwamba Jua liko mahapa pamoja ila Dunia ndio hulizunguka hivyo halina kuzama wala kuibuka.

Je mwenyezi Mungu SWT alikua na maana gani kusema hivyo?

Ahsante.
Tatizo ni Hao mods kwani nikileta Mada Kama hizi huwa haziweki. Sijui anaogopa kitu gani na hatukanwi mtu hapa
 
Jinsi ilivoandikwa naamini ndio ukweli ..hata masuala ya solar system theory ziko nyingi ..juzi tuh elon musk kasema ile safar ya mwezini ilikua uongo .hapo inatupa picha kua mambo mengi wanatudanganya ...jua kuzama kwenye tope inawezekana hasa ukiangalia lile joto lake la mchana Ni tofaut na usiku au asubui .nb sio kila wasemacho hao wazungu Ni kweli mfano story za aliens Ni hao hao nasa ndio wameleta
Bado, mbinguni kuna mito ya lager...
 
Maneno mengine yameandikwa kwa mafumbo na kwa lugha ya enzi zile za karne ya 6.

Ukiwa unataka kujua hasa tafadhali wasiliana na wataalamu wa elimu ya fiqhi (tafsiri ya quran) lakini ukija kuuliza humu ina maana una ajenda yako nyingine.
Kimeumana...
 
Back
Top Bottom