Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

View attachment 2488686

Watu huko kwenye science world wametuma chombo kwa jina (Parker Solar Probe) kimenasa kwenye orbit ya jua kinalizinguka kulisoma. Kumbuka jua alipo stationary na lenyewe linatembea kwa hivyo wanaenda nalo chezea mzungu.

Moja ya vitu wanavyotaka kuvielewa ni solar flares zina impact kubwa sana (uharibifu) kwenye miundombinu ya umeme ambayo inaweza kuleta athari kubwa sana ya power cuts.

Sasa watu hilo jua lenyewe wanalizunguka, wanaelewa elements zinazofanya liwe moto, halafu bado tu kuna mtu anasikiliza hadithi kutoka vitabu vya dini kuhusu how the universe work that is beyond me.

Copernicus mtu wa kwanza kubaini dunia ndio inalizunguka jua, not vice versa kama church ilivyokuwa inahubiri; alikuwa priest. George Lemaitre alieleta theory ya ‘Big Bang’ was a priest.

Ifike mahala as human beings common sense has to prevail, and not sticking to religious ideologies wakati the facts are out there.
We ndio basi tena picha za Photoshop unaileta kwenye uhalisia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Quran inasema kwamba jua hutuama kwenye kisima ama dimbwi la matope kazito na asubuhi huamka.

Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Nimeuliza hivyo kwa sababu Sayansi ya Dunia inatuambia kwamba Jua liko mahapa pamoja ila Dunia ndio hulizunguka hivyo halina kuzama wala kuibuka.

Je mwenyezi Mungu SWT alikua na maana gani kusema hivyo?

Ahsante.
Mie haya mambo yamesha nichosha[emoji26][emoji30]
JamiiForums1261313026.jpg
 
Elimu ya usiku na mchana kutoka kwa mtume na allah
  • Kwanza tuanze na dunia ipoje kwa mujibu wa allah dunia ipo kama meza au kapeti
    • koran 20:53 Sahih International
      [It is He] who has made for you the earth as a bed [spread out] and inserted therein for you roadways and sent down from the sky, rain and produced thereby categories of various plants.
    • 20:53 He Who has made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced divers pairs of plants each separate from the others. yusuf ali
  • Je kwa mujibu wa allah jua linapo zama uwa lipo wapi????
    • Imesimuliwa Abu Dharr:
      Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
      Vol. 6, Book 60, Hadith 326
    • 18:86 ,Yusuf Ali: Until, when he reached the setting of the sun, he found it set in a spring of murky water: Near it he found a People: We said: "O Zul-qarnain! (thou hast authority,) either to punish them, or to treat them with kindness."
    • 18;86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
    • Imesimuliwa Abu Dharr:
      Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
      Grade Sahih

Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili." ( Ufunuo 12:1 )

Mwanamke anawezaje kuvikwa jua ambalo ni kubwa zaidi ya mara nyingi kuliko dunia?!! bila kujali tempetarure
 
duh nawe umewaamini hao, picha za studio hizo elimu isikufute akili
CEC3D202-5106-49D6-BFD8-0C3EBE3CE031.jpeg


Kutokana na elimu ya jua and solar flares today they can predict ‘northern lights’ occurrences.

Ni hivi dunia ya leo kuna vitu sio vya kubishia tena. Mababu zetu ‘Northern Lights’ walikuwa wanausisha sijui hadithi gani za mungu.

Leo tunajua hizo ni solar flares na zinatokea on earth poles tu kwa sababu earth gravitational waves zina reflect weak points on the poles ndio maana zinaonekana.

Sasa watu wapo kwenye science ya kulielewa jua, hizo hadithi za earth is flat na longo longo zingine za vitabu vya dini hata hao Taliban sidhani kama wanaweza bishia tena.
 
Hii ni uongo , ameongeza appeared to him ,
hajaongeza

And he marched westwards] till, when he came to the setting of the sun, it appeared to him that it was setting in a dark, turbid sea; and nearby he found a people [given to every kind of wrongdoing]. We said: "O thou Two-Horned One! Thou mayest either cause [them] to suffer or treat them with kindness!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2488912

Kutokana na elimu ya jua and solar flares today they can predict ‘northern lights’ occurrences.

Ni hivi dunia ya leo kuna vitu sio vya kubishia tena.
ila sio kutoka NASA huko wanaowaamini ni wale brainwashed semi educated sheep na masters zao za kuunga unga
Truth is out there to see if you got 3y3z, nasa ni kama marvel studio
 
Na hiyo sehemu aliyosema kuhusu kuzama kwa jua ni uwezo wa kuona huyo mtu kuona, akaona kwamba jua linazama kwenye kidimbwi cha tope, haina tofauti na baadhi ya watu walioko pwani kusema wameliona jua likizama au kuchomoza baharini.
Msilete tafsir zenu na Muhammad kashaelezea hiyo aya vyema kabisa

Imesimuliwa Abu Dharr:
Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
Grade Sahih
 
We ndio basi tena picha za Photoshop unaileta kwenye uhalisia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa si ukaangalie video za launch day na images zinazotumwa na ‘Parker probe’.

Hiyo picha niliyoweka it’s a no brainer hakuna chombo ya kuipiga picha ‘Parker Probe’ so it’s just a man made image to add to perception when reading.

We have five senses so the image aims to enhance the understanding when reading science articles aina maana story pia ni hadithi.
 
Nyinyi ndio mlio ambiwa nasa weemeenda mwezini miaka arobaini huko elon kawaumbua so piga Kimya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah sasa kwanini anafanya research ya kwenda Mars au kuchangia kwenye hizo research. Yaani watu waweze kufika mars na images za rover tuzione through selfies washindwe kwenda mwezini.

You do know Space-X kuruka inatumia Newtonian physics iliyopeleka watu mwezini.

Science sio porojo
 
Ndugu yangu tafsiri ya qoran haipo hivyo ulivyoichukulia yaani kilugha, hata waarabu ambao qoran imeandikwa kwa lugha yao hua wanaenda kusoma ili waelewe tafsiri yake.

Ukitaka tafsiri sahihi ya aya ya qoran, kasome tafsiri ya Ibn Kathir, inapatikana kwenye mitandao kwa lugha ya kiingereza na kiarabu.

Kwa tafsiri ya hizo aya ulizozisema hapo ni kwamba kuna watu walikua wakimuuliza Mtume maswali ya mambo ya zamani sana ili kupima uwezo wake kama kweli yeye ni Mtume wa Mungu.

Na hiyo sehemu aliyosema kuhusu kuzama kwa jua ni uwezo wa kuona huyo mtu kuona, akaona kwamba jua linazama kwenye kidimbwi cha tope, haina tofauti na baadhi ya watu walioko pwani kusema wameliona jua likizama au kuchomoza baharini.

Kwahiyo nakushauri soma Tafsir Ibn Kathir uielewe vizuri qoran, huyu ni mwanazuoni anaekubalika ulimwenguni kwa tafsiri ya qoran.
Kwamba Quran inahitaji tena kutafsiriwa na wataalamu wa kutafsiri sio? Aisee.
 
ila sio kutoka NASA huko wanaowaamini ni wale brainwashed semi educated sheep na masters zao za kuunga unga
Truth is out there to see if you got 3y3z, nasa ni kama marvel studio
Msingi wa science sio porojo ni observation, testing the theories and being able to predict if it’s true.

Na leo kuna so many discoveries on the universe because of science. Ata Neptune ilitafutwa kwa uelewa wa Newton Laws of motion and gravitational pull.

Watu baada ya kuangalia how Uranus moves kwa uelewa wa laws of motion wakakisia kutakuwa na sayari nyingine ina influence baada ya msako mkali boom ikapatikana Neptune na sehemu ile ile waliyokisia.

Physics ina sehemu mbili theoretical and experimental/practical. Theoretical imejikita na uelewa na practical kuthibitisha.

NASA though does both but more of practical kwenda mwezini wametumia theories, kupeleka vyombo sehemu zingine ni theories.

So NASA basically all it does thus ni kutumia tu theories kufanya wanayofanya; obvious with new mileage in the process theorists learn new theoretical physics from NASA too.
 
View attachment 2488912

Kutokana na elimu ya jua and solar flares today they can predict ‘northern lights’ occurrences.

Ni hivi dunia ya leo kuna vitu sio vya kubishia tena. Mababu zetu ‘Northern Lights’ walikuwa wanausisha sijui hadithi gani za mungu.

Leo tunajua hizo ni solar flares na zinatokea on earth poles tu kwa sababu earth gravitational waves zina reflect weak points on the poles ndio maana zinaonekana.

Sasa watu wapo kwenye science ya kulielewa jua, hizo hadithi za earth is flat na longo longo zingine za vitabu vya dini hata hao Taliban sidhani kama wanaweza bishia tena.
Qur’an inasifiwa sana, imeshuka kutoka mbinguni, aya zake zimehariri na malaika haijabadilishwa, lakini kuna stori za Abunuas za kutosha, ukiwabana waeleze ukweli wanakuwa wakali kama pili pili.. swali liko wazi jua lina zama kwenye tope jeusi jibu NDIO au HAPANA,, stori za nini?
 
Msingi wa science sio porojo ni observation, testing the theories and being able to predict if it’s true.

Na leo kuna so many discoveries on the universe because of science. Ata Neptune ilitafutwa kwa uelewa wa Newton Laws of motion and gravitational pull.

Watu baada ya kuangalia how Uranus moves kwa uelewa wa laws of motion wakakisia kutakuwa na sayari nyingine ina influence baada ya msako mkali boom ikapatikana Neptune.
well with your so called observation, but all you got is some studio photos
 
Hakuna cha kutuama , Mungu sijui nini, ni mastory ya watu tu! Muulize Einstein atakwambia ukweli wa ulimengu ukoje. Haya mengine achana nayo!
Kwanini umuamini Albert anayoyasema kuhusu ulimwengu?
 
Kwa hiyo unasema Kuna maneno ya watu kwenye
Huyo Dhur Qarnain,ndio aliona jua,soma vizuri aya.

Hiki ni kisa,kinasimuliwa,kwa msimuliaji,ndio anaelezea kuhusu huyu aliyeona jua likizama.Hiki kisa kimekuja katika lugha ya kiarabu,kila lugha huja na utamaduni wa wenye hiyo lugha,ukitafsiri kuleta lugha nyingine,inatakiwa anayetafsiriwa kwa hiyo lugha,ajuwe utamaduni wa lugha husika,kwa mfano wazungu,kuna KUOA,hakuna kuolewa ,mwanamke anaoa na mwanamme,anaoa,Mwanamme atamuuliza mwanamke "Will you marry me"(je utanioa?),kwenye kiswahili kuna kuolewa na kuoa,mwanamme haolewi,anaoa.
Quran maana tunaambiwa yote ni ya Mungu
 
Back
Top Bottom