professional Driver
JF-Expert Member
- Sep 23, 2022
- 2,959
- 3,510
We ndio basi tena picha za Photoshop unaileta kwenye uhalisiaView attachment 2488686
Watu huko kwenye science world wametuma chombo kwa jina (Parker Solar Probe) kimenasa kwenye orbit ya jua kinalizinguka kulisoma. Kumbuka jua alipo stationary na lenyewe linatembea kwa hivyo wanaenda nalo chezea mzungu.
Moja ya vitu wanavyotaka kuvielewa ni solar flares zina impact kubwa sana (uharibifu) kwenye miundombinu ya umeme ambayo inaweza kuleta athari kubwa sana ya power cuts.
Sasa watu hilo jua lenyewe wanalizunguka, wanaelewa elements zinazofanya liwe moto, halafu bado tu kuna mtu anasikiliza hadithi kutoka vitabu vya dini kuhusu how the universe work that is beyond me.
Copernicus mtu wa kwanza kubaini dunia ndio inalizunguka jua, not vice versa kama church ilivyokuwa inahubiri; alikuwa priest. George Lemaitre alieleta theory ya ‘Big Bang’ was a priest.
Ifike mahala as human beings common sense has to prevail, and not sticking to religious ideologies wakati the facts are out there.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app