Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Hio sio hadith sahih qur'an inasema chemchem ya tope jeusi na sio chemchem ya maji ya moto.

Wambie warekebishe ndo uje tujadili.
Ifungue na u screen shot palipo weka grade , alafu paste humu , fanya hivyo kama una uthubutu
 
[emoji23][emoji23][emoji1787] Nikukanyaga ukiniona kuwa makini husidanganye

Kazi bado ipo
Ifungue na u screen shot palipo weka grade , alafu paste humu , fanya hivyo kama una uthubutu
Hiyo hadithi sio sahihi mwenyewe anaweka wazi kuku wewe
Ona tofauti ya hadithi mbili hapo zilizowekwa
Screenshot_20230121-174057.jpg
Screenshot_20230121-174124.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Quran inasema kwamba jua hutuama kwenye kisima ama dimbwi la matope kazito na asubuhi huamka.

Mwenyezi Mungu Subhanahu Wa Ta'ala kwenye Quran kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Nimeuliza hivyo kwasababu Sayansi ya Dunia inatuambia kwamba Jua liko mahapa pamoja ila Dunia ndio hulizunguka hivyo halina kuzama wala kuibuka.

Je, mwenyezi Mungu SWT alikua na maana gani kusema hivyo?

Ahsante.
Aliyesema hayo sio Mungu bali ni allah
 
Kusujudu Jua linasujudu limesimama ? Tumia akili
Linaenda kwenye kiti Cha Allah kusujudu na chini ya kiti Cha Allah Kuna maji , embu connect dots

Ingine hii Muhammad kapigilia msumari
Hayo ni maneno yako na si hadithi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ushaumbuka aya unaelewa hata iyo chain ndio nini

Hakuna hadithi utaokota tusiijue mbwa wewe
Wewe tukana ila umeumbuka Eti dhaifu
Husirudie tena kudanganya , Hadith zote zina chain ya masimulizi na hiyo imepita na kuwa ni sahih

Yani ni kweli Muhammad alisema Jua linazama kwenye chemchem ya maji joto
 
Hivi kwanin masister wanavaa vitambaa kichwan meanwhile wakristo wa kike hawavai.
Kaka tangu dunia ilipo umbwa mpaka leo hakuna mkiristo hata mmoja anaweza kuthubutu kujibu maswali tutakayo wauliza

Mbwa hao!!!

Mijadala mingi naona waislamu tu ndio hujibu hoja kwa hoja.

Humu nimeona mmeuliza maswali zaidi ya matano lakini kwa sababu hawana elimu hawaja jibu hata moja.

Mimi ndio maana husema ukristo ni dini ya mapunguani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kaka tangu dunia ilipo umbwa mpaka leo hakuna mkiristo hata mmoja anaweza kuthubutu kujibu maswali tutakayo wauliza

Mbwa hao!!!

Mijadala mingi naona waislamu tu ndio hujibu hoja kwa hoja.

Humu nimeona mmeuliza maswali zaidi ya matano lakini kwa sababu hawana elimu hawaja jibu hata moja.

Mimi ndio maana husema ukristo ni dini ya mapunguani.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unauliza swali nje ya mada unategemea ujibiwe

Apa tupo na science ya Allah Jua kuzama maji ya matope
 
Back
Top Bottom