Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Wee utaki kuelewa tuu hizi habari ahahahahaha
 
Siwezi mthibitishia mtu asiye mwamin Mungu, we achana naye unafikiri unampunguzia nini

We achana na Mungu sio lazima umwamini na hutakua wa kwanza kutokumuamini
Kwamba anathibitika kwa kumuamimni 🀣🀣

This is hilarious
 
Ilimradi tu akuchome πŸ˜‚πŸ˜‚ pia mungu fundi sana ..Kuna watu wanajikuta wauni ila mungu n muuni kupitiliza πŸ˜‚ sio kwa ule utam
Kwe una shida kwa ubongo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nipo pamoja na Mungu. Nimependa jinsi alivyotupa option(uwezo na uhuru wa kuamua na kuchagua). Raha sana mtu kupata ulichokichagua iwe ni Moto wa milele au Mbingu. Muhimu usitafute wa kumlaumu kwa maamuzi uliyoyaamua na kuyachagua mwenyewe kwa utashi wako. Kila mtu ashinde mechi zake
 
Yani Mungu aumbe ubaya kwa sababu ya upendo?

Huwezi kuita ubaya na dhambi kwamba ni upendo, Huo ni ukatili na unyama.

Basi huyo Mungu ni mkatili sana.
 
Kwamba anathibitika kwa kumuamimni 🀣🀣

This is hilarious
Ndo maana nikakuambia we achana naye ni ajabu unangangania na kitu ambacho umesha-conclude hakina maana kwako

Nikusaidie kwenye maisha hatuwezi fanana na usione watu hamnazo kama hawaamin mambo ambayo wewe huamini
 
Ndio ni katili achana naye kwani ni lazima umfuate
Hili ni jukwaa huru la kutoa maoni.

Mnapokuja na imani zenu za kusadikika na kuzi andika hapa JF lazima tuje na maswali ya kuhoji hizo imani zenu.

Kama hauwezi kutoa majibu na uthibitisho ya imani yako, Hupaswi kuja kuongelea hiyo imani yako hapa JF, Utegemee tukae kimya kusikiliza imaginations zako.

Kama mnataka tuachane naye msi andike nyuzi zake hapa JF, Halafu mkihojiwa hamna majibu yake.

Kama Huwezi kujenga hoja za kuthibitisha Mungu yupo kaa kimya na baki na imani yako.
 
Siwezi kukuthibitia
Na kwanini unangangania uthibitishiwe kwa kitu ambacho unaamini hakipo

Swali sio jukwaa huru bali ni swala la mtu kutumia tu mantiki
 
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu?

Mwanadamu aliumbwa akiwa mwema ila mabaya aliyatafuta mwenyewe
 
Akili yako haina uwezo wa kumchunguza MUNGU bro achana na habari za kumchunguza MUNGU.
Well said sisi katika dini yetu ya uislam tumefundishwa mtu anae mchunguza mungu basi hata akili zake haziko sawa (majnun) kwa maana huwezi kuchunguzu na kikujua kitu kilichokutengeneza wewe na kukupa akili kwasababu angeweza kukuumba ukawa hata mmbu lakini kakuumba binaadam na kwa ujeuri wa binaadam et unamchunguza na kumjadili mungu. BIRA USEME MUNGU YUPO KULIKO KUSEMA HAYUPO UKAKUTANA NAE NDIO UTAJUA HAUJUI.
 
Ni kwa namna gani ulitambua maarifa ya Mungu hayachunguziki?

Ulifanya uchunguzi gani uka gundua kwamba Maarifa ya Mungu haya chunguziki?

Kwani wewe kila unachokiamini umekichunguza? ingekuwa hivyo basi dunia nzima tungekuwa watafiti na wachunguzi, hakuna ambaye angeamini utafiti/uchunguzi wa mwenzake.ni imani tu inatumika
 
Unachofanya hapa ni kuingilia uhuru wa watu kuamin wanachoamin
Achana naye kwanin unateseka
Si ingilii uhuru wa mtu kuamini na wala silazimishi mtu kufuata ninacho sema.

Nachangia mada kwa kuhoji maswali ya anaye leta imani yake hapa JF.

Ni sawa kuwa na imani yako, ila unapo dai imani yako ni ya kweli lazima uthibitishe.

Na ndio maana tunahoji maswali ya uwepo wa huyo Mungu kwa vile mnaleta imani zenu hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…