Hata kama sio moto bali ni hali tu iweje iwe ya mateso? Yaani kwanini atutese?
Yeye achukue watu wake wanaomwamini na wasiotenda dhambi, hao wengine aachane nao , iweje iwe lazima kufata anavyotaka yeye?
Hapo hapo katumwaga humu duniani tumejikuta tunatofautiana kiimani tunapigana vita wenyewe kwa wenyewe, ili iweje sasa?
Alishindwaje kufanya tuwe na imani moja anayoitaka yeye?
Anatuchanganya haeleweki
Hao wanaotenda dhambi akiwaacha watawasumbua wanaompenda Mungu
Lejea Sodima na Gomoro
quran 26:161
- Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?
quran 26:162
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.
quran 26:163 -
Basi mcheni Mwenyezi Mungu na nit'iini mimi.
quran 26:164 -
Wala mimi sikutakini ujira juu yake; ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
quran 26:165 -
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
quran 26:166 -
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!
quran 26:167 -
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
_quran 26:168 -
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
quran 26:169 -
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
quran 26:170 -
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
quran 26:171 -
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
_quran 26:172 -
Kisha tukawaangamiza wale wengine
2) Mungu hajawachanganya watu kuhusu dini ila watu wenyewe ndio wanachanganyana na akili aliyokupa Mungu inawezo wa kujua yapi ni kweli na yapi ni ya uongo
na ndio maana ameleta manabii zaidi ya laki Moja na vitabu 4 Yani
Taurati
Zaburi
Injili
Quran
Hivyo vitabu 4 vyote vinasema MSUJUDIE bwana Mungu wako
Alafu anatokea mtu from no where anakuambia unapomuabudu Mungu USISUJUDU
Sasa hapo Mungu anakosa gani akikupeleka Jahannam Kwa kukataa KUMSUJUDIA?