Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Kwakulazimisha uamuamin mbona unalazamisha mambo hayana mantiki
We kuwa mpagani hata kufanya chochote sababu wewe hutakua wakwanza

Kuna namna nakuonaga una upeo mdogo sana wa maisha kila siku unaanzisha uzi wa kumponda Mungu inshort huna content sababu mada zako ni zile zile kila siku

Unachofanya hata sio unique wala acts of genius kama lengo lako unalotaka lionekane watu kibao walishamkataa Mungu na wakaanzisha dini yao inaitwa atheist
Atheist sio dini
 
Mungu muumba mbingu na nchi anawezaje kuwa Pendo, Kwenye Dunia yenye Uovu, Mabaya, Magonjwa na Majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga?

Huyo Mungu mwenye upendo yupo kweli?
MUNGU NI PENDO HAIJALISHI WEWE UNAMWONAJE !!
 
Kama wewe huamin hakuna ni uhuru wako kuamini hivyo sababu hujashikia fimbo umwamini

Lakin sis wengine tunaamini mbingu ipo tutaendelea kuamini
Ungebaki kanisani/misikitini wala hata usingeona tuna argue.

Naheshimu haki za watu kuamini watakacho.
Imani haina kanuni, unaweza kuamini hata jiwe tu.

Umeleta mjadala hapa JF kunasibisha imani yako mimi nakuomba uithibitishe madai yako.

Umeleta imani yako kwenye ulingo huru, mimi nkikuuliza kuhusu imani yako hapo nakuwa sijaingilia uhuru wako.

Unaelewa hilo?

Kwanini mnatueleza masuala ambayo hamuwezi kuyatetea humu kwenye mijadala iliyo wazi kwa watu wa mitazamo yote?
 
MUNGU NI PENDO HAIJALISHI WEWE UNAMWONAJE !!
Ni sawa kwa mtazamo wako.

Ila kwenye Dunia yenye Uovu, Mabaya, Magonjwa na Majanga ya asili kama radi, mafuriko, vimbunga na matetemeko ya ardhi huyo Mungu mwenye Upendo Hayupo.

Na hawezekani kuwepo.
 
Mimi sifahamu fika chanzo cha huo ulimwengu.

Na naamini hakuna ajuaye zaidi ya nadharia tu,

Wewe unaweza kuwa unajua chanzo cha hayo uliyoyasema ili unieleze nami nisiwe mjinga tena!?
Ni kisema chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ni Mungu ndy aliye viumba wew kwanini unabisha ilihali hujui chanzo chake?
 
MUNGU Yehova, Baba yetu wa mbinguni hamchukii mtu, Bali huichukia dhambi. Dhambi ni uasi dhidi ya MUNGU. MUNGU Huwa na uwezo wa kughadhabika kutokana na dhambi. Kuna mifano dhahiri ya madhihirisho ya ghadhabu ya MUNGU kushukia wanadamu.

Yehova YWHW Aliwahi kuiangamiza dunia yote kwa gharika ya maji. walipona watu wanane tu. Nuhu na familia yake.

Mwenyezi MUNGU, Yehova YWHW Aliwahi kuiteketeza miji miwili mikubwa ya Sodoma na Gomora kwa moto. wakaokoka watu watatu tu. Lutu na mabinti zake wawili.

hivyo endeleeni KUJIDANGANYA!


JESUS IS LORD&SAVIOR
Hayo ni matokeo ya kuumba ulimwengu ambao hawezi kuu control????
 
Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto

Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.

Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine



Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu

Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni

Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu

Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano

Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri
 
Hivi wewe naomba nikuulize, iv unajua kwanini upo hai/umeletwa duniani ili iweje! ukinijibu hilo naungana nawewe kwenye imani yako
Yupo hai au tupo hai kwasababu mazingira unayoishi yanaruhusu uwe hai....

Mtoe samaki majini muweke nchi kavu kwamuda fulani alafu rudi majini waulize ulio waacha kwanini wapo hai
 
Ni kisema chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ni Mungu ndy aliye viumba wew kwanini unabisha ilihali hujui chanzo chake?
Una uthibitisho kwamba Mungu ndie chanzo cha ulimwengu na vilivyomo?

Toa uthibitisho wa kwamba ndiye chanzo cha ulimwengu sio kuishia kusema tu.

Kwa nini unalazimisha ulimwengu uwe na chanzo na Mungu asiwe na chanzo?

Chanzo cha Mungu ni kipi?
 
Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto

Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.

Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine



Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu

Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni

Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu

Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano

Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na Uovu?
 
Hujielewi kijana.

Ukisikia Mungu ndiye hakimu wa haki unaelewa nini?

Kuna watu dunia hii wanaringia vyeo vyao pesa zao kuwanyanyasa wengine ,kuwadhulumu nafsi zao nk ,hao watu wanaringia kwa sababu hakuna lolote wanaweza kufanya, sasa haki ya huyu mnyonge aliyedhulumiwa iwe kuishi au kunyanyaswa vyovyote vile Mungu ndiye husimama kama hakimu kujikimu kesi hii.

Bila Mungu kutoa adhabu unafikiri hao watu waliodhulumiwa haki zao watazipata wapi?

Tuanzie hapa kwanza.

Hao wanyonge wanaodhulumiwa nao wanadhulumu waliochini Yao.

Labda useme, vipi wenye Haki wanaodhulumiwa hapo utakuwa na hoja. Lakini dhulma Kwa mnyonge anayedhulumu wa Chini yake naona ni Ulimwengu wao.
 
Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto

Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.

Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine



Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu

Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni

Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu

Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano

Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri

Walioweka Amri NI miungu.
Mungu Muumba WA mbingu na nchi yeye alichotaka ndicho kinachofanyika.

Huwezi mfundisha Mbwa Kubweka.
Wala huwezi mfundisha mbuzi Kula majani.

Kwanza Mungu Muumba WA mbingu na nchi hajawahi kuonekana wala Sauti yake haijawahi kusikika popote pale. Huyo anayesema amri Fulani ni za Mungu Mkuu ni muongo. Sema amri za miungu kulingana na asili na tamaduni za Watu.
 
Muombe Mungu akusamehe kwa Uzi Huu, Kisha waombe Mods waufute Uzi Huu!!.


Ni Mungu huyuhuyu muumbaji na Upendo, aliwachoma moto sodoma na gomora sijataja zama za Nuhu, huyu Mungu alompa Samson nguvu awauwe wafilisti na maadui wa Israel, ni Mungu huyohuyo alokua anawaagiza Wana isarel wawaue maadaui zao kuanzia Watu mpaka Kuku !!.


Ni Mungu yule yule alombariki Eliya, Ayubu, Daudi,

Ni Mungu yuleyule alomponya Jenerali Naamani na wengine.

Ni Mungu alomfufua Lazaro ,na wengineo !!.


Ni Mungu yuleyule anayeturuhusu tupumue Hata Sasa tunapoandika hapaa !!!.


Kwa sisi tuonafanya kazi Ma Hosp, tunaelewa Kifo ni nini !! Na kwamba, Huchukua Sekunde Moja tu kubadili Historia ya mtu kutoka mtu kuongea, mpaka mtu kushindwa hata kufungua jicho !!.


Ni Mungu huyuhuyu aloruhusu uwe hapo ulipo.

Ni huyohuyo Mungu, aloiweka ahadi ya kutoigharikisha Dunia Kwa maji badala yake akasema, NITAICHOMA DUNIA NA WADHAMBI WOTE KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO.


Njia pekee ya kuukumbia Huu moto ni Kutokufanya dhambi, na tutaliweza Hilo Kwa kumuomba Mungu ili atupe Uwezo na neema zake, huku wenyewe tukichukua Jitahada binafsi.




HAKIKA, KICHWA CHA MWANADAMU KINAWAZA UPUMBAVU,,,, ILA MWANADAM ANAPOFIKIA HATUA YA KUFANYA KUFURU KWA MUNGU, NI ZAIDI YA UPUMBAVU !!.


UWEZO NA UKUU WA MWANADAMU, KAMWE HAUCHUNGUZIKI !!! NI MUNGU ATABAKI KUA MUNGU !!.
Na asipokuelewa hapa ndo basi tena
 
Back
Top Bottom