Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani


Nimechagua kuiamini biblia as my reference kama wewe ulivyochagua kuviamini vyanzo unavyovitumia ingawa hujanieleza ni reference zipi ulizotumia mpaka kusema biblia ni fiction stories
 
Kuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,

Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,

Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.

TAREHE : (1-20).

Mwezi: April - May.

Mwaka: 2024.

SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.

Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.

NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.

ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.

Amen
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Kwa akili ya kawaida kuna vitu havimake sense, basi tu mmeamua kujitoa ufahamu kwasababu mnamuogopa Mungu, lkn mkiulizwa maswali mnashindwa kutoa ufafanuzi
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hayo mambo yapo Demi
Ni vile kuna situation ujakutana nazo tu
 
Mimi ni Deist.

Deists hatupingi uwepo wa muumbaji (creator) lakini hatukubaliani na dini yoyote ile.

Uzi mzuri sana kwa open-minded people. Wenzetu (wazungu) huwa wanafanya debates "Theist vs Atheist" na huwa wanajadili kwa points za msingi sana.

Nitaacha hapa quote ya Atheist mmoja maarufu.
 
πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hayo mambo yapo Demi
Ni vile kuna situation ujakutana nazo tu
Inawezekana ni kweli Mungu yupo. Ila jinsi mnavyomtafsiri na kuwalisha watu matango pori ndo tatizo.
 
Inawezekana ni kweli Mungu yupo. Ila jinsi mnavyomtafsiri na kuwalisha watu matango pori ndo tatizo.
Ila wale viongozi wa mchongo ndio ulisha watu matango poli..

Pia ishu zingine zote sijui moto.
Ni vitisho na nazani unajua why kuna vitisho kama hivo
 
MPAKA SASA UPO NEUTRAL

kaka robert kadri unavyozidi kusoma naona unafunguka kuwa tu mkweli kama sisi mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na nguvu zote hayupo.
Muanzisha uzi ni Agnostic Atheist. Bado ana maswali mengi ambayo yanafanya anashindwa kuelewa asimame wapi kwasababu tokea akiwa mdogo ameshakuwa brainwashed na dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…