Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Huyo Mungu anapaswa kuwa ICC kwa makosa hayo ya jinai, jinai no. 1 ni mauaji ya halaiki.
 
Kwamba anachoma moto watu halafu ni wa upendo wakati wote.

Hiyo ni contradiction.
 
Hazichunguziki kwasababu hayupo.

Unawezaje kuchunguza kisichokuwepo!?
Wewe kuona kuwa Mungu kwako hayupo Haina maana wote tukufuate...

Mpumbavu asema moyoni mwake hakuna Mungu..
 
Jifariji.
 
MUNGU Yehova, Baba yetu wa mbinguni hamchukii mtu, Bali huichukia dhambi. Dhambi ni uasi dhidi ya MUNGU. MUNGU Huwa na uwezo wa kughadhabika kutokana na dhambi. Kuna mifano dhahiri ya madhihirisho ya ghadhabu ya MUNGU kushukia wanadamu.

Yehova YWHW Aliwahi kuiangamiza dunia yote kwa gharika ya maji. walipona watu wanane tu. Nuhu na familia yake.

Mwenyezi MUNGU, Yehova YWHW Aliwahi kuiteketeza miji miwili mikubwa ya Sodoma na Gomora kwa moto. wakaokoka watu watatu tu. Lutu na mabinti zake wawili.

hivyo endeleeni KUJIDANGANYA!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Uliona wapi upendo unatafutwa Kwa nguvu au kulazimishwa na Kwa vitisho?

unalazimishwa na nani mzee wa fasihi???

umeumbwa na uhuru wa kuchagua uende wapi unasema unalazimishwa unatishwa.

ukishikwa na traffic polisi akakwambia wewe kenge vaa kofia ngumu na uendeshe piki piki kwa umakini laa sivyo utapasuka,unasema anakutisha.
 
Kwani mungu aliumba pikipiki ...ukitembea Kwa miguu hilo kofia gumu la kazi Gani ????
 
Mungu angefuta kitu kinachoitwa dhambi....mbona simple tu kwake .anaona ugum gan Sasa kufuta dhambi watu tuishi
 
Kwani mungu aliumba pikipiki ...ukitembea Kwa miguu hilo kofia gumu la kazi Gani ????

Mungu kaumba vitu vya maana kuliko piki piki.

ukitembea kwa miguu huhitaji piki piki,ila unahitaji umakini ndio maana ktk ubongo kuna sehem ya tahadhali.
 
Mungu kaumba vitu vya maana kuliko piki piki.

ukitembea kwa miguu huhitaji piki piki,ila unahitaji umakini ndio maana ktk ubongo kuna sehem ya tahadhali.

Mungu kaumba vitu vya maana kuliko piki piki.

ukitembea kwa miguu huhitaji piki piki,ila unahitaji umakini ndio maana ktk ubongo kuna sehem ya tahadhali.
Ungepewa nafas ya kumshauri mungu ..ungemshauri aendelee kumwacha shetani msumbufu anatufanya sisi tunakua wadhambi....
 
Huo ndiyo ukweli. Huwezi fanya dhambi miaka 70 halafu ukachomwa moto milele. Yaani miaka elfu, laki, milioni, bilioni, trilioni wewe unaungua tu. Hii ni hadithi iliyotungwa na shetani.
 
Ungepewa nafas ya kumshauri mungu ..ungemshauri aendelee kumwacha shetani msumbufu anatufanya sisi tunakua wadhambi....

siwezi kumshauri Mungu.

ushawishi na usumbufu ni wa shetani,ila dhambi ni za kwako.

faida utakayopata ni kuchomwa pamoja nayeye kama ulivyokuwa naye hapa mnapeana michongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…