Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

siwezi kumshauri Mungu.

ushawishi na usumbufu ni wa shetani,ila dhambi ni za kwako.

faida utakayopata ni kuchomwa pamoja nayeye kama ulivyokuwa naye hapa mnapeana michongo.
Kwahyo dhambi haijaanzishwa na shetani.....hio idea ya dhambi aliweka mungu mwenyewe....au ndo utakuja kwenye story za tunda la mtini ...ya nini yote hayo Hadi kuweka Hilo tunda kama kweli alitaka tuishi tu bila huo ufaham ...hakuona kwenye CCTv camera zake kwamba huyu Eva ata muingiza mkenge Adam.... Ujue mungu asitutanie ..Yan ajue kinachofata na bado ahukum
 
Mungu anaeleweka Kwa kiasi, Ila kuna Watu wanaumba miungu Yao na kulazimisha Watu kuwa waifuate.

Hakuna atakayeishi na Mungu au atakayechukuliwa na Mungu. Kila mtu ataishi vile apendavyo na watu wenye tabia kama zake. Hiyo ndio HAKI.

Lakini kuwakataza Watu waache Pombe au Kula Nguruwe au kuzini Wakati huenda ndio wanapenda hiyo haitakuwa upendo tena. Watu wapewe wanachotaka na wawekwe kimakundi yao
Hiyo akili ya kuumba miungu yao wameipata wapi kama sio kwa huyo Mungu mkubwa muumba mbingu na nchi?
Ameshindwa kuumba watu wenye akili anazotaka yeye?
Ina maana hakuwa akijua kwamba binadamu anayemuumba atakuja kumsaliti baadae, haiingii akilini bana.

Unakataza mtu asinywe pombe hiyo pombe binadamu kaijuaje kama sio Mungu mwenyewe ametaka tuijue?
Na huyo kitimoto kama ni haram aliletwa duniani kwaajili gani.

Mitego kila kona.
 
Hiyo akili ya kuumba miungu yao wameipata wapi kama sio kwa huyo Mungu mkubwa muumba mbingu na nchi?
Ameshindwa kuumba watu wenye akili anazotaka yeye?
Ina maana hakuwa akijua kwamba binadamu anayemuumba arakuja kumsaliti baadae, hqiingii akilini bana.

Unakataza mtu anywe pombe hiyo pombe binadamu kaijuaje kama sio Mungu mwenyewe ametaka tuijue?
Na huyo kitimoto kama ni haram aliletwa duniani kwaajili gani.

Mitego kila kona.
Ilimradi tu akuchome 😂😂 pia mungu fundi sana ..Kuna watu wanajikuta wauni ila mungu n muuni kupitiliza 😂 sio kwa ule utam
 
Tuwe na utulivu katika kuyasoma maandiko na kuyaelewa nje ya imani ili ukweli au uongo ukapate kujidhihirisha...!

Hivi kati ya Mungu na Mwanadamu ni nani umewahi kumkosea kiasi cha Kumuomba msamaha na alipokusamehe ukabaki na amani ya kweli katika maisha yako?

hivi ule mstari wa Tumeumbwa kwa Mfano wa Mungu mnauelewaje wapendwa!?

Nani anakusaidia wakati wa shida kayi ya Mungu na Mwanadamu.

Simpingi Mungu na uwepo wake ila mengi alishayamaliza, Mema na Mabaya yanamuhusu mwanadamu na mwanadamu ndio mwenye uwezo wakujihukumu maana kila tutendacho au kutendeana kina hukumu ya kweli hata kama ni matendo ya sirini bado umepewa uwezo wakujihukumu wewe mwenyewe au kuhukumiwa na wenzako maana wanadamu wote tunam wakilisha Mungu katika utendaji kazi wake kupitia haya maisha yetu yakutegemeana.

Tenda mema unayoelekezwa na wewe wa ndani na watu wema wakuzungukao, huyo ndio Mungu wa Kweli.. na shetani nae ni kinyume chake.. ukitenda mabaya unayoagizwa na wewe wa ndani au watu wabaya wakuzingukao huyo ni Shetan.
 
We unaamini katika ule moto wa milele au hauamini ????? Maelezo Yako umeyaweka namna flani ya kutoamini uwepo wa ule moto wa jehannam..... Tuko pamoja kabisa
Tuwe na utulivu katika kuyasoma maandiko na kuyaelewa nje ya imani ili ukweli au uongo ukapate kujidhihirisha...!

Hivi kati ya Mungu na Mwanadamu ni nani umewahi kumkosea kiasi cha Kumuomba msamaha na alipokusamehe ukabaki na amani ya kweli katika maisha yako?

hivi ule mstari wa Tumeumbwa kwa Mfano wa Mungu mnauelewaje wapendwa!?

Nani anakusaidia wakati wa shida kayi ya Mungu na Mwanadamu.

Simpingi Mungu na uwepo wake ila mengi alishayamaliza, Mema na Mabaya yanamuhusu mwanadamu na mwanadamu ndio mwenye uwezo wakujihukumu maana kila tutendacho au kutendeana kina hukumu ya kweli hata kama ni matendo ya sirini bado umepewa uwezo wakujihukumu wewe mwenyewe au kuhukumiwa na wenzako maana wanadamu wote tunam wakilisha Mungu katika utendaji kazi wake kupitia haya maisha yetu yakutegemeana.

Tenda mema unayoelekezwa na wewe wa ndani na watu wema wakuzungukao, huyo ndio Mungu wa Kweli.. na shetani nae ni kinyume chake.. ukitenda mabaya unayoagizwa na wewe wa ndani au watu wabaya wakuzingukao huyo ni Shetan.
 
We unaamini katika ule moto wa milele au hauamini ????? Maelezo Yako umeyaweka namna flani ya kutoamini uwepo wa ule moto wa jehannam..... Tuko pamoja kabisa
Moto au Peponi tunapaishi kayika uhalisia wetu.. siamini kama kuna hizo sehemu phisically zaidi ya kuamini ni fumbo kama fumbo la maandiko
engi ya bible.

ninachoamini mimi maumivu ya moyo au raha ya peponi vyote tunaviiahi katika maiaha ya uhai wetu..

hivi mkuu kama kweli wewe ni mkweli je hauwezi kujua kama ukifa sasa hivi uelekeo wako utakua wapi kati ya hizo sehemu mbili za kufikirika? ref: ni matendo na maneno yako kwa watu wengine au weww binafai sirini.
 
Muombe Mungu akusamehe kwa Uzi Huu, Kisha waombe Mods waufute Uzi Huu!!.


Ni Mungu huyuhuyu muumbaji na Upendo, aliwachoma moto sodoma na gomora sijataja zama za Nuhu, huyu Mungu alompa Samson nguvu awauwe wafilisti na maadui wa Israel, ni Mungu huyohuyo alokua anawaagiza Wana isarel wawaue maadaui zao kuanzia Watu mpaka Kuku !!.


Ni Mungu yule yule alombariki Eliya, Ayubu, Daudi,

Ni Mungu yuleyule alomponya Jenerali Naamani na wengine.

Ni Mungu alomfufua Lazaro ,na wengineo !!.


Ni Mungu yuleyule anayeturuhusu tupumue Hata Sasa tunapoandika hapaa !!!.


Kwa sisi tuonafanya kazi Ma Hosp, tunaelewa Kifo ni nini !! Na kwamba, Huchukua Sekunde Moja tu kubadili Historia ya mtu kutoka mtu kuongea, mpaka mtu kushindwa hata kufungua jicho !!.


Ni Mungu huyuhuyu aloruhusu uwe hapo ulipo.

Ni huyohuyo Mungu, aloiweka ahadi ya kutoigharikisha Dunia Kwa maji badala yake akasema, NITAICHOMA DUNIA NA WADHAMBI WOTE KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO.


Njia pekee ya kuukumbia Huu moto ni Kutokufanya dhambi, na tutaliweza Hilo Kwa kumuomba Mungu ili atupe Uwezo na neema zake, huku wenyewe tukichukua Jitahada binafsi.




HAKIKA, KICHWA CHA MWANADAMU KINAWAZA UPUMBAVU,,,, ILA MWANADAM ANAPOFIKIA HATUA YA KUFANYA KUFURU KWA MUNGU, NI ZAIDI YA UPUMBAVU !!.


UWEZO NA UKUU WA MWANADAMU, KAMWE HAUCHUNGUZIKI !!! NI MUNGU ATABAKI KUA MUNGU !!.
Nipe experience ya kushinda kuzini na mrembo mzuri Aliye pita mbele yangu
 
[emoji3][emoji3]

Waliumbwa hivyo.
Hawatakuja Kupata uthibitisho Kwa sababu hakuna aliyewahi kumuona huyo Mungu Mkuu, Kwanza Hana mfano, alafu hafanani na chochote, yaani Kwa Lugha nyepesi ukisema hayupo haujakosea na ukisema yupo haujakosea.

Na kusema Mungu Mkuu hayupo haibadilishi chochote kuwa yupo au hayupo, haimuumi Kwa sababu hata Hilo wazo la kusema hayupo au yupo linatoka kwake.
Mungu anaweza kuwepo na kutokuwepo kwa wakati mmoja?

Unaposema kwamba [emoji116] naku nukuu hapa,

"Na kusema kwambaMungu Mkuu hayupo Haibabadilishi chochote kwamba yupo au hayupo, kwamba hata hilo wazo limetokea kwake"

Huoni hii statement yako ina contradiction?Kwamba ina lazimisha upande mmoja wa Mungu kuwepo kwa kusema kwamba "Hata hilo wazo la kusema yupo au hayupo limetokea kwake"

Sasa naku uliza hivi, Unathibitishaje kwamba WAZO la mtu kusema Mungu yupo au hayupo limewekwa na Mungu?

Kwa nini ulazimishe wazo hili la kusema Mungu yupo au hayupo liliwekwa na Mungu?
 
Moto au Peponi tunapaishi kayika uhalisia wetu.. siamini kama kuna hizo sehemu phisically zaidi ya kuamini ni fumbo kama fumbo la maandiko
engi ya bible.

ninachoamini mimi maumivu ya moyo au raha ya peponi vyote tunaviiahi katika maiaha ya uhai wetu..

hivi mkuu kama kweli wewe ni mkweli je hauwezi kujua kama ukifa sasa hivi uelekeo wako utakua wapi kati ya hizo sehemu mbili za kufikirika? ref: ni matendo na maneno yako kwa watu wengine au weww binafai sirini.
Moto au Peponi tunapaishi kayika uhalisia wetu.. siamini kama kuna hizo sehemu phisically zaidi ya kuamini ni fumbo kama fumbo la maandiko
engi ya bible.

ninachoamini mimi maumivu ya moyo au raha ya peponi vyote tunaviiahi katika maiaha ya uhai wetu..

hivi mkuu kama kweli wewe ni mkweli je hauwezi kujua kama ukifa sasa hivi uelekeo wako utakua wapi kati ya hizo sehemu mbili za kufikirika? ref: ni matendo na maneno yako kwa watu wengine au weww binafai sirini.
Yan me uaga najisemea tu ,kabla mama yangu hajanizaa nilikua sipo na nilikua silijui lolote...B's hata nikifa ndio inakua hivyo hivyo....nakua sijitambui kama tu nilivyokua sijazaliwa
 
Njoo tu discus kuhusu ulemavu na ujumla wake upofu, rangi ya ngozi na nk

Hapo una mawazo gani? Kwa hiloo mkuu

Mtu anazaliwa ana kichwa kikubwa au kidogo, mdomo wazi, mguu mmoja au mguu una hitlafu mfupi au laah watu wafupi zaidi au warefu kupitiliza

Naomba nisikie kutoka kwako kuhusu hilo ..please
 
Anaandika Robert Heriel,
Mtibeli.

Kuna Mungu Muumba wa mbingu na nchi halafu kuna miungu. Mungu Mkuu ambaye hajawahi kuonekana na kamwe hatokuja kuonekana Daima milele, hawezi kufanya wala kuwaza huo upuuzi wa kuchoma watu, hilo haliwezekaniki!

Miungu hii inayoabudiwa ndio inaweza kufanya hivyo, lakini yule Mungu wa miungu huo muda hana, na hawezi kufanya hivyo.

Mungu Mkuu ni Upendo, na kamwe upendo haulazimishwi. Yaani, ati Mungu aliyekuumba akulazimishe umpende (umuabudu) wakati alikuwa na uwezo wa kukuumba automatic ukawa unampenda!

Kwanza umpende (umuabudu) ili yeye apate nini? Halafu usipompende ati akuchome, wewe kosa lako lipo hapo? Yaani moyo wako haumpendi Mungu aliyekuumba, unapenda jambo jingine nini kosa lako, iko wapi haki hapo?

Mungu mwenye Upendo na muweza wa yote, anataka mtu apende anachokipenda! Kwanza yeye ndio aliyekufanya uwe hivyo ulivyo, upende unayoyapenda, achana na yale unayoyatamani na kuyachukia.

Huwezi lazimisha kupendwa bhana, na kamwe Mungu hawezi kukulazimisha umpende. Kukulazimisha haibadilishi ukweli kuwa haumpendi. Kumbuka Mungu ni Haki na Kweli.

Mchongo ukoje? Ipo hivi;

Jinsi uonavyo Ulimwengu wa nje (huu unaoonekana) ndivyo katika Ulimwengu wa ndani usioonekana, Ulimwengu wa Nafsi.

Itazame Dunia, Dunia ni moja lakini inamazingira tofauti tofauti, kuna sehemu zenye baridi kali mpaka barafu, kuna sehemu za jangwa, kuna sehemu za hali ya hewa ya kati, kuna sehemu zenye mvua nyingi, na zipo zenye mvua za Waarabu.

Kuna milimani na mabondeni, sehemu zenye maziwa, mito na bahati, sehemu yenye misitu mine, nyasi na vichaka, sehemu yenye wanyama wa aina hii sehemu nyingine hakuna.

Sasa ni uchaguzi wa mtu kutumia kile akipendacho, ukitaka kuishi kwenye baridi ni wewe, Mungu hawezi kukulazimisha uishi sehemu isiyo ya baridi wakati wewe unapenda. Haipo hiyo. Ukitaka kula chakula au wanyama fulani ni wewe mwenyewe.

Ila elewa kuwa vipo vitu ni sumu na cool vitu sio sumu. Ni wewe mwenyewe unachagua ule sumu au usile. Nasema ni wewe mwenyewe, ni kutokana na upendo wako.

Kama unavyoishi hapa Duniani kulingana na umri wako, jinsia yako, kipato na hadhi yako, mtazamo wako ndivyo nafsi yako itakavyoishi baada ya mwili wako kuondoka.

Mfano huwezi ishi Masaki, Mikocheni, Upanga wakati kipato chako na daraja lako ni kuishi kwa walalahoi huko.

Kunguru na njiwa hawawezi kaa pamoja, wanasema ndege wafananao huruka pamoja. Nenda hata wodini huko mahospitalini utaona kabisa kuwa mgonjwa wa akili hawezi lazwa wodi ya wazazi au mgonjwa aliyemahututi hawezi lazwa wodi ya wagonjwa wa meno.

Maisha ni uchaguzi wa mtu mwenyewe. Mungu kamwe hana huo muda wa kukuamulia nini chakupenda. Kuku hawezi zaa bata, kila mmoja atakaa sehemu yake. Vivyohivyo hata ukifa roho yako itaenda mahali inapopapenda, na wala hautachomwa moto.

Kama unapenda uzinzi na kuchukua wake za watu na kuua watu basi nafsi yako itaishi katika Ulimwengu wa watu wa aina yako ili mchukuliane wake na waume zenu kwa jinsi mpendavyo, ili muone utamu wa kile mnachokipenda.

Sheria siku zote sio upendo, Sheria hizi za nchi zipo kwaajili ya kudhibiti matendo ha mwili na sio nafsi. Upendo upo kwenye nafsi ya mtu wakati sheria ipo katika mwili wa mtu. Mtu anapoua akahukumiwa jela kinachoadhibiwa ni mwili wake lakini nafsi yake haiadhibiwi.

Utalipwa sawasawa na matendo ya nafsi yako, Dhamiri na utapelekwa kwenye Ulimwengu unaofanana na nafsi yako. Hiyo ndio tafsiri ya moto wa Jehanum na sio kuchomwa kama wengi walivyotafsiri au wanavyojua.

Mungu Mkuu hukupa na anatoa kitu kulingana na mtu au kiumbe husika, Ulimwengu wa wapenda haki, wapenda dhulma, wenye upendo, wenye chuki, wasema uongo na wauaji, ulimwengu wa wasema kweli na watoa uzima.

Ni wewe tuu unachagua wapi unapenda na hayo ndio yatakuwa maisha yako mpaka Mungu Mkuu atakapoona imetosha. Ukitaka kubadili vitu upendavyo ni wewe, lakini mpaka Mungu atakapoona inatosha, uende katika Ulimwengu mwingine.

Ni kama hapa Duniani, vile unavyoishi ndivyo ulivyoamua kuishi au wazazi wako walivyotaka uishi (kumbuka ulikuwa katika mwili wa wazazi wako). Hakuna kulaumiana wala hakuna wakumlaumu. Hayo ndio maisha!

Acha nipumzike sasa,
Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Unaandika haya rejea ikiwa nini!?
 
Hiyo akili ya kuumba miungu yao wameipata wapi kama sio kwa huyo Mungu mkubwa muumba mbingu na nchi?
Ameshindwa kuumba watu wenye akili anazotaka yeye?
Ina maana hakuwa akijua kwamba binadamu anayemuumba atakuja kumsaliti baadae, haiingii akilini bana.

Unakataza mtu asinywe pombe hiyo pombe binadamu kaijuaje kama sio Mungu mwenyewe ametaka tuijue?
Na huyo kitimoto kama ni haram aliletwa duniani kwaajili gani.

Mitego kila kona.
Kakupa hiyari/utashi,anajua baadhi watafuata atakavyo wengine watapotoka,ndiyo maana akaumba pepo na moto
 
Mungu anaeleweka Kwa kiasi, Ila kuna Watu wanaumba miungu Yao na kulazimisha Watu kuwa waifuate.

Hakuna atakayeishi na Mungu au atakayechukuliwa na Mungu. Kila mtu ataishi vile apendavyo na watu wenye tabia kama zake. Hiyo ndio HAKI.

Lakini kuwakataza Watu waache Pombe au Kula Nguruwe au kuzini Wakati huenda ndio wanapenda hiyo haitakuwa upendo tena. Watu wapewe wanachotaka na wawekwe kimakundi yao

MPAKA SASA UPO NEUTRAL

kaka robert kadri unavyozidi kusoma naona unafunguka kuwa tu mkweli kama sisi mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na nguvu zote hayupo.
 
Back
Top Bottom