Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Nakujibu na wewe usiyejua maana ya ilaah na illah!
Ni spelling tu.
Nakubaliana na wewe kuwa ilaah maana yake ni Mungu na Allah ni jina la Mungu wa waislamu kama ulivyosema.
Mwelimishe na huyo mwislamu mwenzako.
Una swali lingine?
 
Nakujibu na wewe usiyejua maana ya ilaah na illah!
Allah ni Mungu wa waislamu na illah au ilaah ni mungu kwa kiarabu.
Una nyongeza ?
Saidia kumwelimisha huyo mwislamu mwenzako maana hajui jina la mungu wake kabisa.
Hajui maana ya Allah wala ilaah wala illah
Cc incharge,
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
kwanza tuwekane sawa hapa unasema Ishmael ni mtoto wa nje wa ndoa kwa kigezo kipi?
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Chai
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.

Mtoa mada ni mporipori wa kilugaluga
asamehewe kwa kuzaliwa maporini ....
 
Hayo sio majina ni sifa 99.
Rahman- mwenye Rehema
Al-Hakim- ni hakimu
Nk.
Hizo ni sifa 99 na sio Jina la Mungu wa Waislamu.

Kijana kadri unavyo ongea unaonesha hujui chochote kwenye dini yako.
nani kakwambia sifa haziwezi kuwa jina?

ukimuita mtoa riziki ni jina lake, ukimuita mwenye nguvu ni jina lake, mbona kuna wakina Matatizo jina, mtu huru jina, masumbuko jina , n.k usikariri hakuna jina linamtosha Mungu wetu zaidi ya sifa zake
 
Elimu yako ya dini yako ni ndogo sana.
Nimekuuliza Mungu wako anaitwa nani umeshindwa kujibu.
Mungu wa Wayahudi anaitwa Yehova, pia alijitambulisha kwa jina la MIMI NIKO AMBAYE NIKO na maandiko yapo.

Badala ya kunipa jina la Mungu wako unanipa sifa 99 za Allah.

Kesho uwahi kwenda msikitini kamwulize imamu wako kuwa Mungu wa Waislamu anaitwa nani ?

Kama huelewi hata Shahada ya dini yako ya Kiislamu inavyosema, ambayo ndio nguzo yako ya kwanza katika doni.
Nina uhakika huelewi chochote kwenye dini yako.
Kwa lugha ya kiarabu
Mungu anaitwa, illah
Shahada yako inaimbwa hivi.

{"La illah ila Allah, Muhamadi rasul illah"
" Hakuna Mungu ila Allah, Na Muhamadi ni mjumbe wa Mungu"}

Na kama hujui hata maana ya shahada ya kiislamu, wewe ni Muislamu maamuma.

Usibishane na mimi, nenda kaulize huko msikitini watakuambia kama ninavyo kuambia mimi.

Tuliwaambia Waislamu, hamuijiu qurani yenu sababu hamuijiu lugha ya kiarabu mnabisha bisha tu.
Wewe hujui kitu zaidi ya kukaririshwa na huna exposure ndio maana hujui kama kiarabu ni lugha tu sio kila muarabu ni muislamu
Kiarabu mungu= allah awe
Kibrania mungu= yahweh
KIngereza mungu= god
Punguza ujinga mkristo mwenzako mwenye elimu kaelezea vizuri kabisa na ametembea duniani wewe tatizo ukisafiri sana umeenda arusha na sumbawanga utajua wapi mambo ya dunia
 
Niliandika Mungu wa Waislamu anaitwa Allah.
Na neno ilaah maana yake ni Mungu kwa kiarabu.
Wewe unasemaje?
Pata shule ya lugha mbali mbali wewe unajua kinyakyusa tu utajua wapi vitu kama hivi umekarisrishwa halafu unaleta ujuaji
 

Attachments

  • Screenshot_20240614-134612_Chrome.jpg
    Screenshot_20240614-134612_Chrome.jpg
    357.4 KB · Views: 3
Yahweh ni jina katika utambulisho yenye maana "Mimi ndiye" au "Mimi ninayekuwepo" inayowakilisha ukuu wa Mungu lakini hakuna muislamu atakayekubali kumuita Mungu Yahweh au Yehova
Yahweh maana yake ni mungu kwa kiibrania acha kudanganya watu
 

Attachments

  • Screenshot_20240614-154127_Chrome.jpg
    Screenshot_20240614-154127_Chrome.jpg
    219.8 KB · Views: 2
Wewe hujui kitu zaidi ya kukaririshwa na huna exposure ndio maana hujui kama kiarabu ni lugha tu sio kila muarabu ni muislamu
Kiarabu mungu= allah awe
Kibrania mungu= yahweh
KIngereza mungu= god
Punguza ujinga mkristo mwenzako mwenye elimu kaelezea vizuri kabisa na ametembea duniani wewe tatizo ukisafiri sana umeenda arusha na sumbawanga utajua wapi mambo ya dunia
Hizi mbuzi za maporini ni za kusamehe, basi tu tunajumuika humu kwenye hivi vijiji vya mitandao ya kijamii
 
Huo sio elimu ya madrasa ni elimu ya historia ya bara arab!

Tatizo wengi wenu hamna elimu, mnapenda kukariri sana!

Na mmemezeshwa itikadi za kijinga, ko ukitaka waarabu wasiwe na uhusiano na ukristo we kama nani!

Fuatilia kuhusu Misri na Lebanon kuna wakristo kibao na sio ukristo wa kupelekwa na wazungu ni wa asili!
Hiyo historia umeisomea wapi unayoijua ambayo hatujui we jamaa yaani umechanyanya unga na pumba halafu unajinasibu unaijua historia ya Ukristo!

Unawajua walioanzisha huo Ukristo huko Misri na Lebanon na unajua nani aliufikisha kule Kushi?
Unawajua 12 disciples wa Bwana Yesu Kristo pamoja na Wengine wengi waliwezaje kueneza Ukristo kwa kasi kabla ya Jerusalem Siege under Roman commander Titus Mwaka
70 AD?

Unaijua misingi ya Ukristo wewe jamaa?
Unajua Uislam ulikuja miaka 600 mbele baada ya Ukristo na utatuambia nini kuhusu historia ya dini Yako ambayo muanzilishi wake Mohammad Bin Abdula Aliye mverfy ni padre Warraqa aliyepewa mission na roman emperor awaingize Jamii ya Waquraish under Roman diplomatic relationship kwa manufaa ya kisiasa Sio kidini uliwahi ambiwa hiki kitu huko Madrasa?
Huna ulijualo kuhusu Religion dogmas history kaa kimya nikifunguka hapa nitakuacha pombou wazi The Stress Challengerr
 
Huo sio elimu ya madrasa ni elimu ya historia ya bara arab!

Tatizo wengi wenu hamna elimu, mnapenda kukariri sana!

Na mmemezeshwa itikadi za kijinga, ko ukitaka waarabu wasiwe na uhusiano na ukristo we kama nani!

Fuatilia kuhusu Misri na Lebanon kuna wakristo kibao na sio ukristo wa kupelekwa na wazungu ni wa asili!
Halafu aliyekudanya kwamba Accient Lebanon na Misri walikaa waarabu ni nani?
Unajua wakazi wa Asili wa maeneo hayo hawakua na uhusiano wowote na Arabs na mpaka karne ya 6 hawakuwahi kua na uhusiano wowote wa vinasaba Kati yao?
Unajinasibu unaijua historia hivi nikuletee madesa hapa uone ulivyo mtupu?
 
Halafu aliyekudanya kwamba Accient Lebanon na Misri walikaa waarabu ni nani?
Unajua wakazi wa Asili wa maeneo hayo hawakua na uhusiano wowote na Arabs na mpaka karne ya 6 hawakuwahi kua na uhusiano wowote wa vinasaba Kati yao?
Unajinasibu unaijua historia hivi nikuletee madesa hapa uone ulivyo mtupu?
Hayo maeneo kiasiri mfano misri ilikua ya nubian tena black kabisa mpaka pale ilipo anza arabs invansion ndo zikajaa waarabu
 
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Hahahaaa
 
Hayo maeneo kiasiri mfano misri ilikua ya nubian tena black kabisa mpaka pale ilipo anza arabs invansion ndo zikajaa waarabu
Ni sahihi na vijana wengi wa sasa hawajui hilo kuwa wale Waarabu wamekuja pale majuzi na ndio wakaanza kujiambatanisha na akina Ishamel na Ibrahim ila ni sawa na wazigua leo waseme nao ni uzao wa Yakobo.
 
Back
Top Bottom