Kabla ya uislamu waarabu wengi walikuwa wakristo, na wengine wayahudi, wamajusi na waabudu masanamu, ko hawa waliokuwa wakristo kutokana na kuisoma sana injili(kitabu halisi cha yesu na sio biblia human version) ko walisubiri ujio wa mtume aliyetabiriwa kwenye injili naye ni muhammad, then Mungu yuleyule aliyetabiriwa kwenye ukristo wa before Islamic era ndiye yuleyule aliyeabudiwa within muhammad era.
Jamaa ameuliza kistaarabu, ila kutokana na ujinga wako na chuki ukaandika usiyoyajua ili waislamu waumie,,,,,!!!!
Kumbe binadamu mimi nimekuja kujufunza usiyoyajua ikiwamo adabu na heshima.