Acha uongo
Wapi inaonyesha Allah alikuwa na mabinti watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo
Wapi inaonyesha Allah alikuwa na mabinti watatu
Acha uongo
Wapi inaonyesha Allah alikuwa na mabinti watatu
Ndo huyo sasa Jiwe jeusi mecca mnabinulia mikundu mara tano kwa sikuAcha uongo
Wapi inaonyesha Allah alikuwa na mabinti watatu
Mungu wa kweli anakaa mbinguni ndo makazi yake. Huyo huyo Mungu wa kweli kiti chake cha utawala kiko katika "mbingu". Mbingu ni chini ya Mbinguni. Baada ya hapo chini yake kuna "anga" au kwa lugha yetu tunaita mfumo wa nyota, sayari na jua (solar system). Sasa hapa kwenye anga (solar system) ndiko aliko huyu "allah" ambaye ni muhasi wa Mungu wa mbinguni na anatawala kwa kutumia mfumo wa "kiungu" na majini kutawala wanadamu. Anajifanya kabisa katika kuwatawala wanadamu kama Mungu. Lakini ukimpima kwa misingi ya "neno la Mungu" wa Biblia unagundua siye! MizaniaMkuu mbinguni ni wapi, tuelimishe!!
Yehova nae maana yake ni Nini?Mkuu usipotoshe watu, Allah ni Mungu kwa lugha ya Kiarabu kama anavyotafsirika kwetu waswahili kwa Jina la Mungu au kwa lugha ya kiingereza kuwa ni God. Majina hayo yote yamlenga na kumaanisha mhusika mmoja!!!
Najua kiarabu na watu wote wakiwemo wakristo kwenye nchi za kiarabu hutumia neno allah kumaanisha mungu ,tembea duniani ujifunze wewe unashinda kawe kwa mwamposa huwezi kujua mambo kama hayaAllah ni
Allah ni jina la Mungu wa Waislamu.
Mungu kwa kiarabu ni illah.
Kwani ukipata muda kwanda kuuliza msikitini utakosa nini?
Una haraka gani
Huyo kwani ni Dr. wa lugha ya kiarabu.
"La illah" = hakuna Mungu
"Ila Allah" = Isipokuwa Allah.
Haya ni maneno ya mwanzo ya shahada yenu ya Kiislamu.
Inaishia na
"Muhammadi rasul illah"
Na muhamadi ni mjumbe wa Mungu.
Umeziona illah mbili hapo ?
Zikimaanisha neno Mungu?
Shahada yenu inatamka neno Mungu mala mbili, na kumtaja Allah mala moja.
Wewe ulienda shule kweli ?
Haya pata elimu kidogo maana hujui chochote zaidi ya kubisha bisha tu vitu ulivyokaririshwaAllah ni
Allah ni jina la Mungu wa Waislamu.
Mungu kwa kiarabu ni illah.
Kwani ukipata muda kwanda kuuliza msikitini utakosa nini?
Una haraka gani
Huyo kwani ni Dr. wa lugha ya kiarabu.
"La illah" = hakuna Mungu
"Ila Allah" = Isipokuwa Allah.
Haya ni maneno ya mwanzo ya shahada yenu ya Kiislamu.
Inaishia na
"Muhammadi rasul illah"
Na muhamadi ni mjumbe wa Mungu.
Umeziona illah mbili hapo ?
Zikimaanisha neno Mungu?
Shahada yenu inatamka neno Mungu mala mbili, na kumtaja Allah mala moja.
Wewe ulienda shule kweli ?
Hivyo hata Waislamu wa kiyahudi hutumia Yahweh kumaanisha MUNGU si ndio?Siyo kweli allah maana yake ni mungu hata wakristo waarabu wanatumia neno allah kanisani kumaanisha mungu
Nadhani msipoelewa hapa hamtaelewa tenaHivyo hata Waislamu wa kiyahudi hutumia Yahweh kumaanisha MUNGU si ndio?
Elimu elimu elimu ndio inayowasumbua haya pata elimu hapo kidogoWataalamu wa dini mje hapa?
Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?
Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)
Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.
Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).
Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).
Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.
Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?
NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
🤣 🤣 🤣Mungu wa kweli anakaa mbinguni ndo makazi yake. Huyo huyo Mungu wa kweli kiti chake cha utawala kiko katika "mbingu". Mbingu ni chini ya Mbinguni. Baada ya hapo chini yake kuna "anga" au kwa lugha yetu tunaita mfumo wa nyota, sayari na jua (solar system). Sasa hapa kwenye anga(mbingu/solar system) ndiko aliko huyu "allah" ambaye ni muhasi wa Mungu wa mbinguni na anatawa kwa kutumia mfumo wa "kiungu" na majini kutawala wanadamu. Anajifanya kabisa katika kuwatawala wanadamu kama Mungu. Lakini ukimpima kwa misingi ya "neno la Mungu" wa Biblia unagundua siye! Mizania
Hujanjb swali languNadhani msipoelewa hapa hamtaelewa tena
Pata elimuHujanjb swali langu
haya yahweh kwa jews simply means mungu sio kwamba jina lake ni yahweh acheni uzuzu hizi ni lugha tu mbali mbali za kumaanisha mungu , na jews kwao mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwaHujanjb swali langu
Sio dini ni lugha tu ndio tofauti kwa mfano waarabu wakristo na waislamu mungu kwa lugha yao ni allah ila mungu huyo huyo kwa kizungu ni god, na kwa jews ni yahweh, sisi waswahili ni mungu ila since tumeletewa hizi dini ndio tunakosea tunajua ni jina lake allah au yahweh
Asante kwa clarificationSio dini ni lugha tu ndio tofauti kwa mfano waarabu wakristo na waislamu mungu kwa lugha yao ni allah ila mungu huyo huyo kwa kizungu ni god, na kwa jews ni yahweh, sisi waswahili ni mungu ila since tumeletewa hizi dini ndio tunakosea tunajua ni jina lake allah au yahweh
Mungu wa mbinguni na mungu mkuu wa anga na jeshi la mapepo wabayaNdio kuna anaekaa kwenye nyota na mwezi na kuna anaekaa mbinguni