Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Sio kweli, hakukuwa na Neno Allah kwenye maandishi ya kiarabu hadi muddy alipolileta naada ya kukabwa kule pangoni. Kiarabu Mungu ni "illah" na sio allah.Allah ni neno la kiarabu, kama ilivyo GOD ni neno la kizungu, tafsiri ya maneno hayo kwa kiswahili ni MUNGU.
'illah" ni neno la kiarabu lenye maana ya kitu chochote ambacho kina abudiwa, yaweza kuwa sanamu, mdoli, jua, au kitu chochote kile.Sio kweli, hakukuwa na Neno Allah kwenye maandishi ya kiarabu hadi muddy alipolileta naada ya kukabwa kule pangoni. Kiarabu Mungu ni "illah" na sio allah.
Kama unasema Mungu hayupo , kwenye maembe nani aliweka sukari ?Allah, Mungu, Yehova wote hawa ni Fictional characters( Viumbe wa kufikirika) sawa na hekaya za Abunuwasi au riwaya za Aladini.
Allah, Mungu hawajawahi kuwepo, hawapo na hata uwezekano wa kuwepo kwao haupo.
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Nifungue zaidi mkuu,kwa nini wakiteketeze kizazi cha weusi,kiliwafanya nini?Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
Za kuambiwa changanya na za kwako sweetheart...
Mungu na Allah wanafanana ila tofauti iko kwa Isaka na Ishmael ndo chanzo cha kuwa na itikadi tofauti kwa viumbe hawa kutokana na kusudi Mungu ( Allah ) aliloliweka kwa kila mmoja . Isaka alipendelewa zaidi na Mungu ( Allah ) kuliko Ishmael .Wataalamu wa dini mje hapa?
Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?
Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)
Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.
Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).
Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).
Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.
Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua
Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.
Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?
NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Unaweza ukaweka Tofauti zao mkuuHapo kwenye kumlinganisha Yesu na Muhamadi sasa..,
Mkuu sikuwai kuwaza hivi kwa namna fulani ni fumbo la akiliMungu na Allah wanafanana ila tofauti iko kwa Isaka na Ishmael ndo chanzo cha kuwa na itikadi tofauti kwa viumbe hawa kutokana na kusudi Mungu ( Allah ) aliloliweka kwa kila mmoja . Isaka alipendelewa zaidi na Mungu ( Allah ) kuliko Ishmael .
Ishmael ( waislamu) ana hasira , chuki , wivu na kinyongo dhidi ya Isaka ( wakristo ) sababu alinyimwa urithi kutoka kwa baba yake na kuambiwa kwenda kuishi jangwani . Ishmael hampendi Isaka na kupelekea kuanzisha vita mara nyingi dhidi ya Isaka na uzao wake .
Isaka alipendelewa na Mungu ( Allah ) kuwa na akili nyingi pia . Ishmael ni kichwa kisicho na akili .
unge iquite iyo ayaHuyu Allah anaonekana kuwa yupo Mungu mkubwa zaidi yake ambaye na yeye humuomba kama sisi na kuapa kwake kama sisi. Ushahidi ni Sura 70 : 40
Mbona Ulichoongea Ni simple tu Kukijibu..Hairuhusiwi na nimeshuhudia shahada kibao watu wakishahadia kwa lugha zote mwisho hutaja alaah na sio Mungu kwa lugha husika
Kwa mfano waSwahili wasiokuwa kiarabu hushuhudia hivi " Hapana Mungu anayepaswa kuabudiwa isipokuwa "Allah" na Muhammad mtume wake"
Kingereza hushuhudia hivi
I bear witness that there is no God but Allah – i.e. there is none worthy of worship but Allah), and Muhammad is the Messenger of Allah.
Unaona hapo? Lugha mbili zimetumika kushuhudia ila neno Allah limetokea ilhali lugha zote hizo Zina tafsiri ya Mungu katika lugha husika
Haya umeyatoa wapi?Mungu na Allah wanafanana ila tofauti iko kwa Isaka na Ishmael ndo chanzo cha kuwa na itikadi tofauti kwa viumbe hawa kutokana na kusudi Mungu ( Allah ) aliloliweka kwa kila mmoja . Isaka alipendelewa zaidi na Mungu ( Allah ) kuliko Ishmael .
Ishmael ( waislamu) ana hasira , chuki , wivu na kinyongo dhidi ya Isaka ( wakristo ) sababu alinyimwa urithi kutoka kwa baba yake na kuambiwa kwenda kuishi jangwani . Ishmael hampendi Isaka na kupelekea kuanzisha vita mara nyingi dhidi ya Isaka na uzao wake .
Isaka alipendelewa na Mungu ( Allah ) kuwa na akili nyingi pia . Ishmael ni kichwa kisicho na akili .
Mkuu umeshindwa kujibu maswali yangu au Ni magumu?unge iquite iyo aya
Ushahidi Kuwa ni Mungu wa Warabu huu hapa!Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Yahweh, jina la Allah wa Waisraeli, linalowakilisha matamshi ya kibiblia ya “YHWH,” jina la Kiebrania lililofunuliwa kwa Musa katika kitabu cha Kutoka. Jina YHWH, linalojumuisha mfuatano wa konsonanti Yod, Heh, Waw, na Heh, linajulikana kuwa tetragramatoni.Allah ni neno la kiarabu, kama ilivyo GOD ni neno la kizungu, tafsiri ya maneno hayo kwa kiswahili ni MUNGU.
Maelezo yaliyothibitishwa kuwa Mungu katamka hivyo kwamba hakuna awezaye kwenda kwake bila kupitia kwa Yesu yako wapi?"Hakuna awezaye kwenda kwa Baba bila kupitia kwangu"
Naon nao huu ni utofauti mkubwa sana
Hizi hapa ayat!unge iquite iyo aya
Maelezo Yanayothibitisha haya hapa!Maelezo yaliyothibitishwa kuwa Mungu katamka hivyo kwamba hakuna awezaye kwenda kwake bila kupitia kwa Yesu yako wapi?
Mfano huu hapa!Huyu Allah anaonekana kuwa yupo Mungu mkubwa zaidi yake ambaye na yeye humuomba kama sisi na kuapa kwake kama sisi. Ushahidi ni Sura 70 : 40
Kuwa na akili,waarabu asili yao ni watu weusi,ni baada ya hawa waarabu wa asili(weusi),kuoana na watumwa wanawake wa Kizungu,wa ulaya mashariki,ndio kukapatikana waarabu weupe.Na waarabu weusi wa asili,ambao babu zao hawakuoa wanawake watumwa wa ulaya ya mashariki,mpaka leo wapo hao weusi,hasa Yemen wapo wengi kwenye kisiwa cha Scotra.Na ndio ukaona kukitokea machafuko nchi za waarabu,bila wao kujijua,wanakbilia kwa wazungu,asili ya mababu zao.Na ndio pia wazungu,wanawahesabu waarabu ni Black people,sio white.Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.