Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Chochote kinacho abudiwa wenye kukiabudu wanakiita Mungu, tena wanaandika kwa kuanza na herufi kubwa.

Ili kuwatotautisha hao Miungu ni lazima uwataje kwa majina yao halisi.
Kuna Mungu wa Wahindu, Krishna.
Mungu wa wabudha, Budha
Mungu wa Waarabu, Allah.
Mungu wa Wayahudi, Yehova.

Ndio maana kila jamii lazima imtaje kwa jina Mungu wao wanapofanya ibada, ili kumlenga yeye wanayemwabudu.

Hivyo Mungu au illah wa Waarabu anaitwa Allah.
illah wa Wahindu anaitwa Krishna
illah wa Wayahudi, anaitwa Yehova
Nk.
Kila jamii inamheshimu mungu wake kama Waslamu wanavyo mheshimu Mungu wao Allah.
Ndio maana kila asubuhu kwenye adhana wanamtaja.
Allaaaah Mkubwa
Na sio
illaaaah mkubwa

Kwenye adhana ukiimba Munguuu mkubwa utakuwa hujamtaja Allah, bali umetaja cheo cha Mungu hivyo kuijumuisha Miungu yote.

Hata Wahindu wataifurahia Azana maana watadhani ni Mungu wao anatajwa hapo.
Ndio maana inaimbwa
Allaaah Akbar
Na sio
illaaaah Akbar
Mkuu, maelezo mazuri sana hayo yenye kufafanua maana ya hayo maneno. Vyema sana mkuu
 
Tuwekee shahada ya Uislamu
Ushindwe wewe tu kilaza

1718447113812.png
 
Mkuu, maelezo mazuri sana hayo yenye kufafanua maana ya hayo maneno. Vyema sana mkuu

Sawa Mkuu,, wengi wao ni wagumu sana kuelewa hiyo imani yao kwakuwa hawajui lugha ya kiarabu.

Hivyo ili kujaribu kuwaelewesha kiundani ni lazima uwaandikie hivyo.

Wengie wao hawajui hata kinachosemwa kwenye Shahada yao.
Ni kwamba wanatamka tu kwa kukariri.

Ndio maana inabidi kuwafafanulia taratibu ili waweze kuelewa.
 
Sawa Mkuu,, wengi wao ni wagumu sana kuelewa hiyo imani yao kwakuwa hawajui lugha ya kiarabu.

Hivyo ili kujaribu kuwaelewesha kiundani ni lazima uwaandikie hivyo.

Wengie wao hawajui hata kinachosemwa kwenye Shahada yao.
Ni kwamba wanatamka tu kwa kukariri.

Ndio maana inabidi kuwafafanulia taratibu ili waweze kuelewa.
Lakini Allah sio Mungu wa waarabu tu, bali ni Mungu wa wote.
 
Vyema ila Leo ngoja nikuongezee maarifa YAHWEH si jina la moja kwa moja linalosimama kumaanisha Mungu tafsiri ya neno Yahweh ni "Mimi Niko" au "Mimi ninayekuwepo", kwahiyo hii maana yake Yahweh inawakilisha ukuu na uwepo wa Mungu ni kama kujitambulisha kuwa yeye ni hali ambayo kwa tafsiri ya uelewa wa kisasa tutasema ni kama Mungu amejipambunua kuwa yeye ni ASILI au NATURE

hivyo Yahweh siyo jina la moja kwa moja la Mungu na haizuliwi kumtambua Mungu kwa muktadha mwingine au lugha zingine yaani ni kama tu wahehe wanapoita Mungu Nguruvi au wanyakyusa Kyala
🤣🤣🤣🤣
Pardon my French sir!
Jitahidi Sana Usome Mkuu..

Mimi Niko Haikusimama Badala ya Yahweh Ngoja Nikueleweshe Kitu..

Mimi Niko Ilitokea Wapi?
Mimi niko Ilitokea Kipindi Musa Anamuuliza Mungu Jina lake..

Sasa Sikiliza Mungu alichomjibu..
Fungu hilo linatoka Shemot 3:14(Kutoka 3:14)
Screenshot_20240615_132534_Adobe Acrobat.jpg


Nitakuandikia Chini..

וַיֹּאמֶר אֱלֹהִים אֶל־מֹשֶׁה אֶהְיֶה אֲשֶׁר אֶהְיֶה וַיֹּאמֶר כֹּה תֹאמַר לִבְנֵי יִשְׂרָאֵל אֶהְיֶה שְׁלָחַנִי אֲלֵיכֶם׃

Inavyotamkwa-

Va'yomer Elohim el-Mosheh ehyeh asher ehyeh, va'yomer, ko tomar livnei Yisra'el ehyeh shelachani aleichem.
Neno lenye Maandishi Mekundu Ndiyo hasa "NIKO AMBAYE NIKO"

Au kwa Tafsiri ya Kiswahili Fungu hilo..

Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu
Sasa mkuu Tafsiri Ya YHWH uliyotoa Umeitoa wapi??

ok Tuachane na Hayo Je kabla ya Hapo (Mungu kutaja Niko and All staffs) jina hilo lilikuwepo?..

Kama Unajua Kiebrania Tafuta Tanakh soma..

Kipindi Mungu anaumba Jina lake lilikuwa Elohim!

Kuanzia Ber'eshit Bara Elohim... Na kuendelea

Ila ilipofika mwanzo 2 Akielezea Kukamilika kwa Uumbaji hapo ndo likaanza Kuonekana Jina La YHWH tena Likiambatana na Elohim..
Screenshot_20240615_133640_Adobe Acrobat.jpg


Kama unavyoona hapo Juu יְהוָה אֱלֹהִים....

jitahidi Uyajue Majina Ya Mungu na Lini Hasa yalionekana na kwanini Itakusaidia Sana...

HATA HIVYO HAIRUHUSIWI KUTAJA JINA LA MUNGU BURE
 
Ngoja waje waarabu weusi kukushambulia
Wakinishambulia, wasiponishambulia, hilo halitabadilisha ukweli.

In fact wakinishambulia watakuwa wanathibitisha kwamba hata dini yao wao wenyewe hawaijui.
 
Lakini Allah sio Mungu wa waarabu tu, bali ni Mungu wa wote.
Hilo sina ufafanuzi nalo.
Ila Muhammadi alivyopewa utume Wayahudi na Wakristo walienda Maka kumpima kama anafaa kuwa Nabii kutokana na vigezo vya Mungu wao.

Walivyo mpima waliona anakosa vigezo vya kuwa Nabii wa Mangu wao.
Kwa kifupi waliona kuwa kama kweli ni nabii basi hajatumwa na Mungu wao wa kwenye Biblia.
Ndio maana wakamkataa Allah na Mtume wake Muhammadi.

Natokea hapo Allah akaanza kushusha Aya zenye kuwashambulia Wayahudi na Wakristo.
Ndio maana hukuti Qurani ikiwataja Wabudha au Wahindu, pamoja na kuwa dini hizo ni za zamani kupita Ukristo.

Sasa kama viongozi wa Wayahudi na Wakristo walimkataa na kuendelea kumkata Allah na Mtume wake Muhamadi hadi hii leo.
Mimi nitamkubali kwa vigezo gani ?
Hivyo basi binafsi nami pia nawajibika kumkataa Allah na Muhamadi kuwatambua kama Mungu na Mtume wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote viujazavyo.
 
Sasa kama viongozi wa Wayahudi na Wakristo walimkataa na kuendelea kumkata Allah na Mtume wake Muhamadi hadi hii leo.
Mimi nitamkubali kwa vigezo gani ?
Hivyo basi binafsi nami pia nawajibika kumkataa Allah na Muhamadi kuwatambua kama Mungu na Mtume wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi na vyote viujazavyo.
Ni haki yako kuchagua njia au namna ya kuamini.

Kuhusu muhamad kukataliwa na wayahudi au wakristo, hiyo ni kawaida kwa mitume kukataliwa na baadhi ya watu.

Kumbuka pia hata Issa (Yesu) alikataliwa na wayahudi na walijaribu hata kumuua.
 
Kwa nini unadhani ulimwengu Lazima uwe umeumbwa?

Kwa nini hudhani kwamba ulimwengu upo wenyewe tu pasipo kuumbwa?

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua wala hujawahi kumuona hana muumbaji, Unashindwaje kuamini pia kwamba ulimwengu haujaumbwa?

Kama haiwezekani ulimwengu kujiumba wenyewe, Pia hata huyo Mungu haiwezekani ajiumbe mwenyewe.

Na kama huyo Mungu haitaji muumbaji, Basi hata ulimwengu hauhitaji muumbaji.

You cannot exclude that God from this logic.
Wewe ni kichwa Bumunda
 
Tuwekee hapa ww uliye nayo
Ukichukua biblia ya Kiarabu, utayaona maandishi ya Yohana 3:16 kama ambavyo inaonekana hapo. Kama unakijua Kiarabu, hapo palipoandikwa الله ndio Allah......wakimaanisha kwa jinsi Mungu aliupenda ulikwengu.....

Maana yake nini?
Allah inatafsiriwa Mungu kwa Kiarabu. Haimaanishi Allah ni kitu kinaitwa Allah tofauti na Mungu. Tatizo wemgi wanadhani Allah ni Mungu pekee wa waislam tu.....Mwarabu au Muislam akisema Allah anamaanisha Mungu wa wote hata wasiokuwa waislam.
 

Attachments

  • IMG_20240615_143240.jpg
    IMG_20240615_143240.jpg
    36.8 KB · Views: 3
SURA 70 : 40
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza

فَلَاۤ أُقۡسِمُ بِرَبِّ ٱلۡمَشَـٰرِقِ وَٱلۡمَغَـٰرِبِ إِنَّا لَقَـٰدِرُونَ ۝٤٠

falā uq'simu birabbi l-mashāriqi wal-maghāribi innā laqādirūn

Jibu swali. Huyu Allah anaapa kwa Mungu yupi? Kama yeye ni Mungu? Jiongezeni mmepotea
Kwahiyo wewe leo ndio unaiona aya hiyo ndio unaona waislam wamepotea?😃😃😃
Tangia kupita karne na karne zote hakuna muislam aliyewahi kuona na akahoji hapo?

Basi kwa kukusaidia tu, bila kukupa jibu langu, nenda kagoogle hiyo aya ufafanuzi wake utaupata. Nikikwambia mimi utanidai sources na nikukupa hutazijua sababu ni scriptures kubwa kubwa. Basically, kimuundo wa lugha hujui kitu ndio maana unauliza swali la kitoto hilo.

Wewe mtoto wa juzi ndio ujione una akili sana?
Fala.
 
Kama unasema Mungu hayupo , kwenye maembe nani aliweka sukari ?
Kuna ulazima gani wa kwamba sukari ya kwenye maembe iliwekwa?

Kama ulazima huo upo, Je huyo aliyeweka sukari kwenye maembe na yeye aliwekwa na nani?
 
Back
Top Bottom