Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
Naomba nikusahihishe. Ibrahimu/Abrahamu HANA asili ya kizungu. Ana asili ya kiarabu kwa sababu alitokea Uru wa Wakaldayo, ambayo ndiyo Iraq kwa sasa. Hata kimaumbile, Wayahudi na Waarabu wanafanana sana.