Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mtoa mada umeandika vitu bila ya kufanya marejeo yoyote na post yako imejaa ubatili mtupu.

ALLAH anasema kupitia Quran kuwa hakuwaumba majini na wanadamu isipokuwa wamwabudu. Ina maana Yeye ndiye muumbaji sasa ukija kudai alijifunua kipindi cha Myume muhammad tu utakuwa unachanganya mafaili. ALLAH ndiye wa mwanzo na wa mwisho. Kabla yake hakuna mwanzo na baada yake hakuna mwisho
Hata Krishna, Ruwa wote wanadai hivyo hivyo.

Kwa kifupi hakuna mungu asiyejidai kuwa yeye ni konki na ni muumbaji wa kila kitu
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Mungu na Allah hawajawahi kuwepo, ni stori tu za wadau.
 
🤣🤣🤣🤣
Pardon my French sir!
Jitahidi Sana Usome Mkuu..

Mimi Niko Haikusimama Badala ya Yahweh Ngoja Nikueleweshe Kitu..

Mimi Niko Ilitokea Wapi?
Mimi niko Ilitokea Kipindi Musa Anamuuliza Mungu Jina lake..

Sasa Sikiliza Mungu alichomjibu..
Fungu hilo linatoka Shemot 3:14(Kutoka 3:14)View attachment 3017918

Nitakuandikia Chini..

וַיֹּאמֶר אֱלֹהִים אֶל־מֹשֶׁה אֶהְיֶה אֲשֶׁר אֶהְיֶה וַיֹּאמֶר כֹּה תֹאמַר לִבְנֵי יִשְׂרָאֵל אֶהְיֶה שְׁלָחַנִי אֲלֵיכֶם׃

Inavyotamkwa-

Va'yomer Elohim el-Mosheh ehyeh asher ehyeh, va'yomer, ko tomar livnei Yisra'el ehyeh shelachani aleichem.
Neno lenye Maandishi Mekundu Ndiyo hasa "NIKO AMBAYE NIKO"

Au kwa Tafsiri ya Kiswahili Fungu hilo..

Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu
Sasa mkuu Tafsiri Ya YHWH uliyotoa Umeitoa wapi??

ok Tuachane na Hayo Je kabla ya Hapo (Mungu kutaja Niko and All staffs) jina hilo lilikuwepo?..

Kama Unajua Kiebrania Tafuta Tanakh soma..

Kipindi Mungu anaumba Jina lake lilikuwa Elohim!

Kuanzia Ber'eshit Bara Elohim... Na kuendelea

Ila ilipofika mwanzo 2 Akielezea Kukamilika kwa Uumbaji hapo ndo likaanza Kuonekana Jina La YHWH tena Likiambatana na Elohim..
View attachment 3017943

Kama unavyoona hapo Juu יְהוָה אֱלֹהִים....

jitahidi Uyajue Majina Ya Mungu na Lini Hasa yalionekana na kwanini Itakusaidia Sana...

HATA HIVYO HAIRUHUSIWI KUTAJA JINA LA MUNGU BURE
Mimi natumia knowledge ya biblia wewe sijui unaitumia kitabu gani?

Samahani ndugu naomba nione biblia yoyote uliyowahi kusoma ikiandika jina Yahweh kama lilivyo
 
Zipo nyingi sana..

Yesu hakuwa binadamu wa kawaida kwa kuwa hakuwa na baba.. Muhamadi alikuwa binadamu wa kawaida mwenye baba na mama..

Yesu alikufa na kufufuka.. Muhamadi alikufa Moja kwa moja..

Yesu alitenda miujiza mingi sana na mpaka Leo jina lake ni kuu kuliko majina yote hata majini na mapepo yanaogopa jina la Yesu wakati Muhamadi hakutenda muujiza wowote na jina lake hakuna anayeliogopa..

Yesu alifundisha upendo wajati Muhamadi alifundisha chuki..

Yesu hakuoa wakati Muhamadi alikuwa na wanawake kibao mpaka vitoto vidogo..

Badi unataka kuniambia kuwa hao watu ni sawa..??
Hivi kweli uwezo wenu wa kufikiria ndio umeishia hapo

1) Yesu alikaa katika tumbo la mama yake miezi 9
2)alipozaliwa alinyo maziwa ya mama yake na kubadilishwa nepi Kila alipojisaodia
3) alipopata makamu kidogo alicheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Nazareth
4) alipokuwa mtu mzima akawa fundi seremara akichonga vitanda na makabati Ili kujipatia riziki yake

Wakati wewe Yesu Mungu wako Kuna wengine Yesu ni Mjomba wao maana Yesu ana dada zake wa kuzaliwa tumbo Moja

Nyinyi Wazungu wamekupotezeni sana na mibichwa yenu imejaa matope
 
Kwa hiyo hizo ulizoelezea ndio tofauti za Yesu na Muhamadi..?? Mimi nimeulizwa tofauti za Yesu na Muhamadi.. We sijui umetoka wapi na hekaya zako za madrassa..??
Hivi kweli uwezo wenu wa kufikiria ndio umeishia hapo

1) Yesu alikaa katika tumbo la mama yake miezi 9
2)alipozaliwa alinyo maziwa ya mama yake na kubadilishwa nepi Kila alipojisaodia
3) alipopata makamu kidogo alicheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Nazareth
4) alipokuwa mtu mzima akawa fundi seremara akichonga vitanda na makabati Ili kujipatia riziki yake

Wakati wewe Yesu Mungu wako Kuna wengine Yesu ni Mjomba wao maana Yesu ana dada zake wa kuzaliwa tumbo Moja

Nyinyi Wazungu wamekupotezeni sana na mibichwa yenu imejaa matope
 
Halafu aliyekudanya kwamba Accient Lebanon na Misri walikaa waarabu ni nani?
Unajua wakazi wa Asili wa maeneo hayo hawakua na uhusiano wowote na Arabs na mpaka karne ya 6 hawakuwahi kua na uhusiano wowote wa vinasaba Kati yao?
Unajinasibu unaijua historia hivi nikuletee madesa hapa uone ulivyo mtupu?
Lete!
 
Hiyo historia umeisomea wapi unayoijua ambayo hatujui we jamaa yaani umechanyanya unga na pumba halafu unajinasibu unaijua historia ya Ukristo!

Unawajua walioanzisha huo Ukristo huko Misri na Lebanon na unajua nani aliufikisha kule Kushi?
Unawajua 12 disciples wa Bwana Yesu Kristo pamoja na Wengine wengi waliwezaje kueneza Ukristo kwa kasi kabla ya Jerusalem Siege under Roman commander Titus Mwaka
70 AD?

Unaijua misingi ya Ukristo wewe jamaa?
Unajua Uislam ulikuja miaka 600 mbele baada ya Ukristo na utatuambia nini kuhusu historia ya dini Yako ambayo muanzilishi wake Mohammad Bin Abdula Aliye mverfy ni padre Warraqa aliyepewa mission na roman emperor awaingize Jamii ya Waquraish under Roman diplomatic relationship kwa manufaa ya kisiasa Sio kidini uliwahi ambiwa hiki kitu huko Madrasa?
Huna ulijualo kuhusu Religion dogmas history kaa kimya nikifunguka hapa nitakuacha pombou wazi The Stress Challengerr
Lete hizo hekaya za sungura na fisi.

Tuone upumbavu uliobebwa na bichwa lako!!!
 
Nakwambia hivi, hiyo Biblia, hiyo Quran, vyote ni vitabu vya hadithi za kutungwa na watu, zilizoandikwa na watu tu.

Hakuna Allah, hakuna Mungu nje ya hizo hadithi.
Ila Kiranga zamani ulikua mkatoliki mtiifu. Nini kilikukuta?
 
Lete hizo hekaya za sungura na fisi.

Tuone upumbavu uliobebwa na bichwa lako!!!
Upumbavu uliobebwa na bichwa langu una manufaa mara 7 zaidi ya hekaya za sungura na Fisi za kumpiga mawe sheitwan pale black stone!
Umenipata wewe poumbou?
😁😁
 
Sijawahi kuwa Mkatoliki. Nilikuwa Mkristo.

Ule ulikuwa utoto, sasa nimekua.
Nimesoma zaidi, nimeielewa dunia zaidi.

Kwani wewe bado unafanya mambo yote uliyokuwa unafanya utotoni?
Utoto? Hata miaka kumi sidhani kama imepita.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Mengi unayoongea ni upuuzi mtupu.
Ila kutumia lugha moja ya kiarabu,kuna faida kuwa Sheikh wa Bongo anaweza kusalisha na kutoa mawaidha Xinjiang China, Georgia Urusi Chechnya Caucases,, Amritsar India etc na vice versa.
"Nabii" 😧wa Kimasai atatoaje neno Greenland?
 
Hivi nyie mnaopinga uwepo wa Mungu wafa mko siriasi,? Au mnafurahisha genge
 
Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
Je Yesu,Yahweh na Yehova na wao kwakua hawafanani majina ni miungu tofauti kwa uelewa wenu?
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Hauhitaji wataalam wa dini unahitaji kuelewa lugha tu. Soma.

Mungu = "common noun" Kiswahili.
God = "common noun" Kingereza.
Allah = "proper noun" kwa lugha yoyote ile.
 
Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.

Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.

Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.

Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.

Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.

Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.

Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.

Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,

Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,

Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.

Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.

Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.

Amkeni.
Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.

Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.

Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.

Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.

Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.

Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.

Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.

Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,

Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,

Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.

Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.

Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.

Amkeni.
Naomba nikusahihishe. Ibrahimu/Abrahamu HANA asili ya kizungu. Ana asili ya kiarabu kwa sababu alitokea Uru wa Wakaldayo, ambayo ndiyo Iraq kwa sasa. Hata kimaumbile, Wayahudi na Waarabu wanafanana sana.


Naomba nikusahihishe. Ibrahimu/Abrahamu HANA asili ya kizungu. Ana asili ya kiarabu kwa sababu alitokea Uru wa Wakaldayo, ambayo ndiyo Iraq kwa sasa. Hata kimaumbile, Wayahudi na Waarabu wanafanana sana.

Ibrahimu HAKUWA, NA SI MZUNGU, WALA HAKUWA NA ASILI YA KIZUNGU.
 
Back
Top Bottom