Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Hauhitaji wataalam wa dini unahitaji kuelewa lugha tu. Soma.

Mungu = "common noun" Kiswahili.
God = "common noun" Kingereza.
Allah = "proper noun" kwa lugha yoyote ile.
Allah ni kiarabu bwana na wala sio wazigua wala wamatumbi waliomfahamu huyo allah hadi pale hao waarabu walipokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa na kusilimisha watu kwa kuwalazimisha waachane na imani zao na hata wewe unaingia kwenye mkumbo huohuo.
 
Ni kweli yesu sio mungu, isipokuwa Yesu ndio Mungu
Hongera zenu Kwa kuwa na Mungu ambaye pia ana Mungu wake

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
 
Am
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Umeamua kuzua taharuki tu, ila kumbuka Allah ni Mwenyezi Mungu ambaye kila mmoja wetu anapaswa kumuabudu na kumnyenyekea yeye tu
 
La illah = hakuna Mungu
Ila Allah = isipokuwa Allah

Kama Allah maana yake Mungu hebu nitajia huyo Allah Jina lake ni nani ?
Yaani unashika dini siku zote hizo na hujui jina la Mungu wako?
Ni ajabu na kweli.
Hapa ndugu zetu ndio huwa wanajichanganya sana .

La illah=hakuna mungu
Ila Allah= isipokuwa Allah.

Hii inamaanisha Illah kiarabu ni mungu.
Allah ni jina la la huyo mungu.
 
Mengi unayoongea ni upuuzi mtupu.
Ila kutumia lugha moja ya kiarabu,kuna faida kuwa Sheikh wa Bongo anaweza kusalisha na kutoa mawaidha Xinjiang China, Georgia Urusi Chechnya Caucases,, Amritsar India etc na vice versa.
"Nabii" 😧wa Kimasai atatoaje neno Greenland?
China huenda akashindwa, Wachina mambo ya dini wameyadhibiti haswa.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Ki spiritual kila kitu ni kimoja, wewe ni mimi na mimi ni wewe. Utofauti ni maumbile ya nje

Swali lakini halina jibu kama unataka kiliuliza jinsi ulivyo liuliza, ila ki spiritual lina jibu. Ni sawa na kusema ukiwa ndani ya nyumba huwezi ona mwezi unavyong’aa ila ukiwa nje ndio waweza ona uzuri na mwezi na mg'ao wake
 
Mimi natumia knowledge ya biblia wewe sijui unaitumia kitabu gani?

Samahani ndugu naomba nione biblia yoyote uliyowahi kusoma ikiandika jina Yahweh kama lilivyo
Hiyo niliyoandika Ni Biblia Maybe tunatofautiana Mimi nasoma From The Original Context of the bible the Tanakh (The hebrew one) na sio Tafsiri...

Sasa ningependa Kujua Knowledge gani ya Biblia Ulijifunza hicho ulichoandka..

Na Niliyoandika Happ ni Biblia Ksa Lugha ya Kiebrania..

Ili uweze kuona Jina Yhwh, Adonai na mengine lazima usome Biblia kwa Lugha asili Hebrew..Na i think inaihitaji elimu Na sio Uelewa wa Kuambiwa
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Tunjadili Ng'wanamalunde mtume wa Wakushi
 
Allah ni kiarabu bwana na wala sio wazigua wala wamatumbi waliomfahamu huyo allah hadi pale hao waarabu walipokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa na kusilimisha watu kwa kuwalazimisha waachane na imani zao na hata wewe unaingia kwenye mkumbo huohuo.
Unaonesha huelewi maana ya "proper noun". Ngiha nijuoendarsa dogo. Jina lako ubalooewa kwenye kitambulisho chako halijalishi la lugha ipi, linabaki kuwa ni hilo hilo, mfano unaitwa "Juma" huwezi kwa Kingereza ukaitwa "week".
. Au Mwingereza anaitwa "Rose" huwezi kunwita "waridi" kwa Kiswahili au "Warda" kwa Kiarabu, atabaki kuwa ni Rose tu kwa lugha yoyote ile.

Allah anabaki kuwa Allah tu kwa lugha yoyote ile.
 
🤣🤣🤣🤣
Pardon my French sir!
Jitahidi Sana Usome Mkuu..

Mimi Niko Haikusimama Badala ya Yahweh Ngoja Nikueleweshe Kitu..

Mimi Niko Ilitokea Wapi?
Mimi niko Ilitokea Kipindi Musa Anamuuliza Mungu Jina lake..

Sasa Sikiliza Mungu alichomjibu..
Fungu hilo linatoka Shemot 3:14(Kutoka 3:14)View attachment 3017918

Nitakuandikia Chini..

וַיֹּאמֶר אֱלֹהִים אֶל־מֹשֶׁה אֶהְיֶה אֲשֶׁר אֶהְיֶה וַיֹּאמֶר כֹּה תֹאמַר לִבְנֵי יִשְׂרָאֵל אֶהְיֶה שְׁלָחַנִי אֲלֵיכֶם׃

Inavyotamkwa-

Va'yomer Elohim el-Mosheh ehyeh asher ehyeh, va'yomer, ko tomar livnei Yisra'el ehyeh shelachani aleichem.
Neno lenye Maandishi Mekundu Ndiyo hasa "NIKO AMBAYE NIKO"

Au kwa Tafsiri ya Kiswahili Fungu hilo..

Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu
Sasa mkuu Tafsiri Ya YHWH uliyotoa Umeitoa wapi??

ok Tuachane na Hayo Je kabla ya Hapo (Mungu kutaja Niko and All staffs) jina hilo lilikuwepo?..

Kama Unajua Kiebrania Tafuta Tanakh soma..

Kipindi Mungu anaumba Jina lake lilikuwa Elohim!

Kuanzia Ber'eshit Bara Elohim... Na kuendelea

Ila ilipofika mwanzo 2 Akielezea Kukamilika kwa Uumbaji hapo ndo likaanza Kuonekana Jina La YHWH tena Likiambatana na Elohim..
View attachment 3017943

Kama unavyoona hapo Juu יְהוָה אֱלֹהִים....

jitahidi Uyajue Majina Ya Mungu na Lini Hasa yalionekana na kwanini Itakusaidia Sana...

HATA HIVYO HAIRUHUSIWI KUTAJA JINA LA MUNGU BURE
We mzee nakuelewaga sanaa.. una madini mengi mno👏👏
 
Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
Political correctness
 
We maskini mbwa takataka, usidhani humu kila mtu ni juha kama ulivyo wewe. Na usidhani hatuwezi kufanya attack.

Pimbi kama wewe afadhali baba yako angemwaga manii zake kuliko kuzaa mwehu kama wewe.

Sasa turudi kwenye hoja,

Huyo muumba kabla ya kuumba mbingu na ulimwengu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Haiwezekani pia huyo muumba kutokea tu, ghafla bin vuuh! From nothing.

Eleza na thibitisha huyo muumba alitoka wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia?
Nami nitakuuliza swali moja tu..ukinijibu tutaendelea sawa.Sisimizi anae anza maisha leo ambae mda wake ni mwaka mmoja tu kisha hufa..anaweza kujua maisha ya kwako ya miaka 20 iliyopita na hata mengine 50 ijayo.
Ukiwa utaishi miaka 70 tu....(Nangoja jibu ndio au hapana sawa kichwa bumunda.)
 
Back
Top Bottom