Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mtoa mada umeandika vitu bila ya kufanya marejeo yoyote na post yako imejaa ubatili mtupu.

ALLAH anasema kupitia Quran kuwa hakuwaumba majini na wanadamu isipokuwa wamwabudu. Ina maana Yeye ndiye muumbaji sasa ukija kudai alijifunua kipindi cha Myume muhammad tu utakuwa unachanganya mafaili. ALLAH ndiye wa mwanzo na wa mwisho. Kabla yake hakuna mwanzo na baada yake hakuna mwisho
 
Allah ni
Allah ni jina la Mungu wa Waislamu.
Mungu kwa kiarabu ni illah.
Kwani ukipata muda kwanda kuuliza msikitini utakosa nini?
Una haraka gani
Huyo kwani ni Dr. wa lugha ya kiarabu.

"La illah" = hakuna Mungu
"Ila Allah" = Isipokuwa Allah.
Haya ni maneno ya mwanzo ya shahada yenu ya Kiislamu.
Inaishia na
"Muhammadi rasul illah"
Na muhamadi ni mjumbe wa Mungu.
Umeziona illah mbili hapo ?
Zikimaanisha neno Mungu?
Shahada yenu inatamka neno Mungu mala mbili, na kumtaja Allah mala moja.

Wewe ulienda shule kweli ?

Umeeleza vizuri mno. Asiyekuelewa ana kiburi.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Kwa asilimia 99% uliyasema ni uongo! lakini pia unaonekana hupo tayari kuelishwa kwa namna unavyouelezea huo uongo wako kwa confidence ili kupotosha zaidi wengine. Ila ukipotosha watu hadharani basi ni jukumu kwa mwenye kuelewa angalau kidogo upotofu wako kukuweka sawa.

Unasema Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwenye uzao wa wana wa israel, je waliokuwepo kabla yake hawakutambua uwepo wa Mungu? Noah, Adam walimuabudu nani? Ni nani alimpa maagizo Adam na mkewe wasile tunda kule peponi? je hakuwa na jina? Ukijibu hapa pia utakuwa umeshajielimisha juu ya uwepo wa "Allah" kabla ya hiyo miaka 600 ulioitaja.

Unaongelea "mlolongo ulioleta waarabu" kupitia Ismail, hebu nikuulize Asili ya Ismail na Ishaak ni tofauti ikiwa wote baba yao ni mmoja? ... Mnatumia nguvu nyingi kudanganya watu kuwa Ismail ni mtoto wa nje ya ndoa, hebu nikuulize ... Yakobo alikuwa na wake wangapi? (4 wives), kwani si nyie mnasema mke ni mmoja tu kulingana na mpango wa Mungu? ulishawahi kujiuliza hii inawaweka wapi wana wa Israel kwa kuwa wametoka kwa Baba mwenye wake wengi? Ikiwa mtasema hawa ni wana waliotokana na kiuko la maagizo ya ndoa then wao wanakuwa na status gani? pia kumbuka Mama yake Yesu pia anatoka kwenye mlolongo huo huo wa kiyahudi.

Kimsingi unapaswa kuelewa kuwa Ismail hakuwa mtoto wa nje ya ndoa, bali ni mtoto halali kupitia kwa kijakazi wa Ibrahim. Hivi Unamjua Esau? huyu ni ndugu yake Yakobo ambao wote wawili baba yao ni Ishaac, unamjua mama yake Esau ni nani kulingana na bible? ni kijakazi wa Isaac. Je hapa tusema kuwa huyo mtoto wa halali wa Abraham (Isaac) pia alizini na kijakazi wake? ukisema hivo una maanisha mlolongo mzima wa kutoka Abraham, Isaac, David, Suleiman, Moses etc yani wote hawa walikuwa mbali na radhi za Mungu kwa kuwa they have one thing in common, more than one wife au kazaa na kijakazi.

Mwisho kabisa umeongelea kuwa eti Allah hajui lugha nyengine isipokuwa kiarabu, huu ni ujinga mwengine. Quran kusomwa kwa lugha iliyoteremshwa haimaanishi kuwa Allah anajua lugha hiyo tu bali ni moja katika preservation ya maneno ya Mungu, nina hakika mkristo mwerevu na mwenye imani ya kweli ya dini yake anatamani kufanya reference ya neno kwa neno kati ya yale yaliyosemwa na Yesu mwenyewe. Kutokuwepo kwa preservation ya mafundisho ya Yesu ni sababu leo hii kuna Injili ya Matayo, Injili ya John, Injili ya luka n.k. .. ikiwa wote wanaongelea fundisho moja kutoka kwa Yesu then kwanini wana-narrate tofauti?

Jielemishe kwanza kabla ya kusema au nyamaza ili watu wasijue kiwango cha ujinga wako.
 
Na
Kwa nini unadhani ulimwengu Lazima uwe umeumbwa?

Kwa nini hudhani kwamba ulimwengu upo wenyewe tu pasipo kuumbwa?

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua wala hujawahi kumuona hana muumbaji, Unashindwaje kuamini pia kwamba ulimwengu haujaumbwa?

Kama haiwezekani ulimwengu kujiumba wenyewe, Pia hata huyo Mungu haiwezekani ajiumbe mwenyewe.

Na kama huyo Mungu haitaji muumbaji, Basi hata ulimwengu hauhitaji muumbaji.

You cannot exclude that God from this logic.

Kwa nini unadhani ulimwengu Lazima uwe umeumbwa?

Kwa nini hudhani kwamba ulimwengu upo wenyewe tu pasipo kuumbwa?

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua wala hujawahi kumuona hana muumbaji, Unashindwaje kuamini pia kwamba ulimwengu haujaumbwa?

Kama haiwezekani ulimwengu kujiumba wenyewe, Pia hata huyo Mungu haiwezekani ajiumbe mwenyewe.

Na kama huyo Mungu haitaji muumbaji, Basi hata ulimwengu hauhitaji muumbaji.

You cannot exclude that God

Find someone of your league to parallel your mediocrity.

Damn

Find someone of your league to parallel your mediocrity.

Damn Fool.
Huna point yakujitetea
Find someone of your league to parallel your mediocrity.

Damn Fool.
Wewe nikichwa bumunda jua hilo..Unaongea pasipo kufikiri....kama nyumba haikosi mjenzi ndivyo ilivyo na ulimwengu wetu ,yupo Muumba...weka akilini hilo ,eti unaongea kuusu kumuona Mungu 😂😂😂 una utakatifu gan mpaka umwone mtenda zambi mkubwa.
 
Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.

Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.

Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Wewe ni mgalatia ambaye umeshaanza kugundua kuwa Wazungu wamekuingizeni Chaka kuwa Yesu sio Mungu na Ukristo sio dini

Sasa huko kufeli kwako Kwa kutokumjua Mungu wa kweli aliyekuleta hapa Duniani utaka kuraumu wengine

Any away hayo ni yako utajuana na Mungu wako

Ila Kwa sababu umeongea uongo kuhusu uislam na historia ya nabii Ishmael ngoja nikufundishe kupitia hiyo hiyo bibilia yako


Mwanzo 25:12
Hivi ndivyo vizazi vya Ishmaeli, mwana wa Ibrahimu, ambaye Hajiri, Mmisri, mjakazi wa Sara, alimzalia Ibrahimu.
[Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.


Hao ni watoto wa Ishmael hayo ni majina Yao na zamani majina watu ndio yalikuwa majina ya miji

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia Ili kukuonyesha kuwa hao watoto wa Ishmael waliishi katika nchi ya Tema ambayo Kwa Sasa ndio Saudi Arabia

Tema ni mtoto wa nabii Ishmael na ukiangilia hiyo ramani hapo pia Kuna majina watoto wengine

Pia nakuwekea na ramani ya Sasa ya Saudi Arabia Ili kukuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo hi bado upo Saudi Arabia
 

Attachments

  • Screenshot_20240615-130508.jpg
    Screenshot_20240615-130508.jpg
    348 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240615-185612.jpg
    Screenshot_20240615-185612.jpg
    350.4 KB · Views: 3
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Sawa na Samia na Museveni, wote ni maraisi lakini?!!!....
 
Katika siku za mwisho "Ujuzi wa Ukweli" utakuwa mwingi, maji na mafuta vitajitenga. Daniel 12:4
 
Nakwambia hivi, hiyo Biblia, hiyo Quran, vyote ni vitabu vya hadithi za kutungwa na watu, zilizoandikwa na watu tu.

Hakuna Allah, hakuna Mungu nje ya hizo hadithi.
Wewe baba wewe... Na ukifa ukimkuta Mungu kweli yupo?!
 
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.

Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.

Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,

Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,

Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.

Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.

Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.

Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.

Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.

Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.

Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.

Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.

Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.

Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,

Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,

Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.

Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.

Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.

Amkeni.
Unasema Kila dini Ina mafundisho yake ni kweli Kwa sababu Kuna dini zingine sio za Mungu ila zimeanzishwa na watu

Lakini mafundisho ya Mungu kupitia manabii wake na vitabu vyake hayana tofauti

Nabii Musa na Taurati yake alifunuliwa Mungu ni mmoja na anatakiwa amsujudie huyo Mungu mmoja

Kutoka 20:2
Mimi ni BWANA, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
Kutoka 20:3
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kutoka 34:8
Musa akafanya haraka, akainamisha kichwa chake hata nchi, akasujudu.

Nabii Daudi na Zaburi yake alifunuliwa Mungu ni mmoja na anatakiwa amsujudie huyo Mungu mmoja

Zaburi 84:3
Ee BWANA wa majeshi, Mfalme wangu na Mungu wangu.
Zaburi 138:2
Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, Nitalishukuru jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako, Kuliko jina lako lote.

Nabii Issa/ Yesu na Injiri yake alifunuliwa Mungu ni mmoja na anatakiwa amsujudie huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Nabii Muhammad na Quran yake alifunuliwa Mungu ni mmoja na unatakiwa umsujudie huyo Mungu mmoja

Quran 3: 2
Mwenyezi Mungu, hakuna mungu ila Yeye Aliye Hai, Msimamizi wa yote milele.

Hapo tofauti ipo wapi katika hivyo vitabu vya Mungu Yani Taurati, Zaburi, Injiri na Quran ambavyo Mungu aliwapa manabii wake Ili viwe miongozo Kwa watu

NENDA ukawaulize Wazungu hayo waliyokufundisha kuwa Mungu wapo 3 na ukifanya ibada usisujudu waliyapata wapi?
 
Mbona GOD hayupo hapo?muweke na GOD tujue kama do yeye mmoja au ni mwingine
 
Na







Huna point yakujitetea

Wewe nikichwa bumunda
We maskini mbwa takataka, usidhani humu kila mtu ni juha kama ulivyo wewe. Na usidhani hatuwezi kufanya attack.

Pimbi kama wewe afadhali baba yako angemwaga manii zake kuliko kuzaa mwehu kama wewe.
jua hilo..Unaongea pasipo kufikiri....kama nyumba haikosi mjenzi ndivyo ilivyo na ulimwengu wetu ,yupo Muumba...weka akilini hilo ,eti unaongea kuusu kumuona Mungu 😂😂😂 una utakatifu gan mpaka umwone mtenda zambi mkubwa.
Sasa turudi kwenye hoja,

Huyo muumba kabla ya kuumba mbingu na ulimwengu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Haiwezekani pia huyo muumba kutokea tu, ghafla bin vuuh! From nothing.

Eleza na thibitisha huyo muumba alitoka wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia?
 
Back
Top Bottom