Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Nami nitakuuliza swali moja tu..ukinijibu tutaendelea sawa.Sisimizi anae anza maisha leo ambae mda wake ni mwaka mmoja tu kisha hufa..anaweza kujua maisha ya kwako ya miaka 20 iliyopita na hata mengine 50 ijayo.
Ukiwa utaishi miaka 70 tu....(Nangoja jibu ndio au hapana sawa kichwa bumunda.)
Sisimizi ana ubongo na ufahamu?

Unauliza maswali yasiyo na Logic.

Wewe ndio kichwa bumunda, kichwa kumejaa vumbi tu.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Mtahangaika sana ila hakuna mtu anayeweza kupinga utume wa Mtume Muhammad labda awe kilaza kama wewe

Habakuki 3:3
Mungu alikuja kutoka Temani, Yeye aliye mtakatifu kutoka mlima Parani. Utukufu wake ukazifunika mbingu, Nayo dunia ikajaa sifa yake.
Isaya 21:13
Ufunuo juu ya Arabuni. Ndani ya msitu wa Arabuni mtalala, Enyi misafara ya Wadedani.
Isaya 21:14
Waleteeni wenye kiu maji, Enyi wenyeji wa nchi ya Tema; Nendeni kuwalaki wakimbiao na chakula chao.
Mwanzo 25:13
Na haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, kwa majina yao, na kwa vizazi vyao. Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, ni Nebayothi, na Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu,
Mwanzo 25:14
na Mishma, na Duma, na Masa,
Mwanzo 25:15
na Hadadi, na Tema, na Yeturi, na Nafishi, na Kedema.

Tema ni jina la mtoto wa nabii Ishmael baadae likawa jina mji ambayo ndio Saudi Arabia ya sasa

Nakuwekea ramani ya kale ya bibilia kukuonyesha huo mji wa Tema

Nakuwekea na ramani ya Sasa ya Saudi Arabia kuonyesha huo mji wa Tema Hadi Leo bado upo

Hayo ni mandiko ambayo yamo ndani ya bibilia yaliyokuwa yanatabiri ujio wa Mtume Muhammad katika nchi ya Saudi Arabia kupitia uzao wa Ishmael
 

Attachments

  • Screenshot_20240615-130508.jpg
    Screenshot_20240615-130508.jpg
    348 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240615-185612.jpg
    Screenshot_20240615-185612.jpg
    350.4 KB · Views: 3
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Umewafunua wapuuzi akili na kama watasoma basi wataelimika. Hapa Tanzania kuna msanii aitwaye Kibamia (Ally Kiba), yeye kajiunga na kundi la kigaidi akiaminisha wafuasi wake kuwa kila mwanadamu ni mtoto wa nje ya ndoa (kizazi cha Ismael - Waarab na waislam) na tumezaliwa kuwa Waislam, yaani kizazi kisichotakiwa kwa kuwa tu chimbuko lake ni uzao wa nje ya ndoa - kizazi cha nyumba ndogo. Kwa kweli nilimshangaa sana Kibamia kwa ujinga huu kwani unaonyesha upeo wake wa elimu.
 
Sisimizi ana ubongo na ufahamu?

Unauliza maswali yasiyo na Logic.

Wewe ndio kichwa bumunda, kichwa kumejaa vumbi tu.
Kama sisimizi hana ubongo wala ufaham,kwann ufanya kazi saa 24 na hulala dakika 16 tu..Ni nn kinacho mpa uwezo wa kufanya yote hayo kichwa bumunda.
 
We maskini mbwa takataka, usidhani humu kila mtu ni juha kama ulivyo wewe. Na usidhani hatuwezi kufanya attack.

Pimbi kama wewe afadhali baba yako angemwaga manii zake kuliko kuzaa mwehu kama wewe.

Sasa turudi kwenye hoja,

Huyo muumba kabla ya kuumba mbingu na ulimwengu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Haiwezekani pia huyo muumba kutokea tu, ghafla bin vuuh! From nothing.

Eleza na thibitisha huyo muumba alitoka wapi kabla ya kuumba mbingu na m

We maskini mbwa takataka, usidhani humu kila mtu ni juha kama ulivyo wewe. Na usidhani hatuwezi kufanya attack.

Pimbi kama wewe afadhali baba yako angemwaga manii zake kuliko kuzaa mwehu kama wewe.

Sasa turudi kwenye hoja,

Huyo muumba kabla ya kuumba mbingu na ulimwengu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Haiwezekani pia huyo muumba kutokea tu, ghafla bin vuuh! From nothing.

Eleza na thibitisha huyo muumba alitoka wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia?
Sasa matusi yann apa umeingia pabaya huu mchezo hauitaji hasira😂😂😂😂 baada ya hapa mbona utatubu tu..humchezo hauitaji hasira.
 
Kama sisimizi hana ubongo wala ufaham,kwann ufanya kazi saa 24 na hulala dakika 16 tu..Ni nn kinacho mpa uwezo wa kufanya yote hayo kichwa bumunda.
Utafiti upi unasema sisi hulala dakika 16 na hufanya kazi saa 24?

Leta huo uthibitisho hapa sio maneno yako ya vilabuni huko.
 
Unaonesha huelewi maana ya "proper noun". Ngiha nijuoendarsa dogo. Jina lako ubalooewa kwenye kitambulisho chako halijalishi la lugha ipi, linabaki kuwa ni hilo hilo, mfano unaitwa "Juma" huwezi kwa Kingereza ukaitwa "week".
. Au Mwingereza anaitwa "Rose" huwezi kunwita "waridi" kwa Kiswahili au "Warda" kwa Kiarabu, atabaki kuwa ni Rose tu kwa lugha yoyote ile.

Allah anabaki kuwa Allah tu kwa lugha yoyote ile.
Let me enlighten you Madam. Allah, God, Mungu etc are proper nouns only when they're referred to as the deity and names of all deities are proper nouns and are capitalized. 'God, Allah or Mungu can also be used as a common noun when any of them simply refers to any deity in general.

For example, 'god' is a common noun in this sentence: 'Most religions worship one or more gods.

If you haven't understood then you won't understand completely.
 
Yo
Let me enlighten you Madam. Allah, God, Mungu etc are proper nouns only when they're referred to as the deity and names of all deities are proper nouns and are capitalized. 'God, Allah or Mungu can also be used as a common noun when any of them simply refers to any deity in general.

For example, 'god' is a common noun in this sentence: 'Most religions worship one or more gods.

If you haven't understood then you won't understand completely.
You are very wrong when it comes to Allah.

Allah has no gender, no plural, no verb.

Go do your homework.
 
Mungu na Allah wote ni wahusika wa hadithi za kutungwa na watu tu, nje ya hadithi hizo hakuna Mungu wala Allah.

Yani hata huyo Allah au Mungu ukichambua habari zake utaona contradictions zinazoonesha hii ni story ya kuungaunga ya watu tu.
Thibitisha hizo contradiction hapa
 
Thibitisha hizo contradiction hapa
Kwanza kabisa unaelewa cobtradiction ni nini?

Na nikikuwekea contradiction inayoeleweka kimantiki kuwa Mungu hayupo, utakubali Mungu hayupo?

Au utabishia tu kutetea upande unaoutaka wewe kwa sababu ni upande unaoutaka wewe?
 
Back
Top Bottom