Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Hizi dini zimetufanya kuwa wajinga na mazombies..
Sawa Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu.
Vipi kuhusu Yesu/ Yehova au mungu aliyetajwa kwenye Biblia, yeye alijipambanua kwa lugha ipi...? Kiswahili..?English..? Kilatini..? Kifaransa..? Kichina au KIIBRANIA.

Point yangu ni kwamba kama Yehova alijipambanua kwa lugha ya Kiibrania, ukweli ni kwamba huyo hatuhusu sisi waswahili.

Tutafute Mungu wetu ambaye ataelewa kiswahili kama sisi.
 
I took you as an ignorant thus I gave you the respective responses to your points.....!!!!
GTFOH!
unajificha kwenye kivuli ignorant na blaa blaa nyiingi kitu kama hukijui kaa kimya acha ujuaji arif,
Halafu kubali kuelimishwa hata kama Mwalimu atatumia lugha za kuudhi Ili tu upate maarifa sasa kama unaleta ujuaji na hujui kitu unabishana na mimi kipi?

Halafu kingine jifunze kusoma watu between the line wewe huwezi niletea hadith yoyote ya kale kuhusu Accient civilization,history of Religion na dogmas zake halafu ukanidanganya
Wakati wajuba humu wanajua mimi ni guru wa conspiracy theories
Au hujui mimi ndie Dumas the terrible one and only hapa JF ??
Utamisamehe kwa kunijipigia maujiko ila nikiamua kukupa madini kuhusu hata hiyo unayoiita dini Yako mjadala utaenda miaka Mitano mbele bila solution!
Nakaa kimya!
😁😁
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Allah ni kiumbe cha Yesu Kristo kilichoanguka na kupoteza utukufu.
 
Siyo kweli allah maana yake ni mungu hata wakristo waarabu wanatumia neno allah kanisani kumaanisha mungu
Mtoa mada hakulenga kulinganisha majina tu vile vile amelinganisha utofauti wao katika utendaji mfano ahadi zao ni tofauti kwa watakao kwenda mbinguni na je Kristo atakaporudi waislam atawachukua ama wenyewe wana njia yao ya kwenda mbinguni??
 
Mtoa mada hakulenga kulinganisha majina tu vile vile amelinganisha utofauti wao katika utendaji mfano ahadi zao ni tofauti kwa watakao kwenda mbinguni na je Kristo atakaporudi waislam atawachukua ama wenyewe wana njia yao ya kwenda mbinguni??
Kwasisi waislamu yesu ni mtume wa mungu na tunaamini ujumbe aliouleta duniani
Musa pia ni mtume wa mungu na tunaamini ujumbe wake na hayo yote yapo wazi kwenye quran
 
Abraham hakuwa mwarabu wala mzungu, alikuwa Mwamori. Hajira suria wa Sarai ambaye ni mama wa Ishamel hakuwa mwarabu wala mzungu alikuwa Mmisri. Hivyo Ishmael hana uhusiano na waarabu
 
Yo

You are very wrong when it comes to Allah.

Allah has no gender, no plural, no verb.

Go do your homework.
This is a new knowledge, i didn't imagine before that Allah is neither male nor female.

The God i know and all his angels are male.

Mwanzo (Gen) 1:26
And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
 
Abraham hakuwa mwarabu wala mzungu, alikuwa Mwamori. Hajira suria wa Sarai ambaye ni mama wa Ishamel hakuwa mwarabu wala mzungu alikuwa Mmisri. Hivyo Ishmael hana uhusiano na waarabu
Pia uzao wa Ishamael sio waarabu.
Ni waishmaeli, wale ambao watoto wa Yakobo walimwuza ndugu yao Yusufu kwao.
Mwanzo (Gen) 37:27 Haya, na tumwuze kwa hawa Waishmaeli, wala mikono yetu isimdhuru, maana yeye ni ndugu yetu, na damu yetu. Ndugu zake wakakubali.
 
WAKRISTO MNACHEKESHA SANA

Binadamu mwenzako alikaa tumboni Kwa mama yake miezi Tisa

Akazaliwa akiwa kichanga akajinyea na kujikojolea mama yake akawa anambadulisha nepi

Akatahiriwa

Akacheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Nazareth na Galilaya

Akawa fundi seremara akichonga vitanda na makabati Ili kujipatia riziki yake

Yesu ana dada zake, wajomba zake na mama zake wakubwa na wadogo

Alafu wewe ndio unamfanya Mungu wako

Lazima Allah akakuchome moto maana ameshasema anaweza kusamehe makosa yote ila kosa lakukiabudu kiembe chake badala yake hilo hatalisamehe
 
GTFOH!
unajificha kwenye kivuli ignorant na blaa blaa nyiingi kitu kama hukijui kaa kimya acha ujuaji arif,
Halafu kubali kuelimishwa hata kama Mwalimu atatumia lugha za kuudhi Ili tu upate maarifa sasa kama unaleta ujuaji na hujui kitu unabishana na mimi kipi?

Halafu kingine jifunze kusoma watu between the line wewe huwezi niletea hadith yoyote ya kale kuhusu Accient civilization,history of Religion na dogmas zake halafu ukanidanganya
Wakati wajuba humu wanajua mimi ni guru wa conspiracy theories
Au hujui mimi ndie Dumas the terrible one and only hapa JF ??
Utamisamehe kwa kunijipigia maujiko ila nikiamua kukupa madini kuhusu hata hiyo unayoiita dini Yako mjadala utaenda miaka Mitano mbele bila solution!
Nakaa kimya!
😁😁
Kwa mara ya mwisho, nakuambiaje,,,,,,!!

#Jibu kwa mjinga ni kumpuuza!
Ahsante kwa kushiriki
 
WAKRISTO MNACHEKESHA SANA

Binadamu mwenzako alikaa tumboni Kwa mama yake miezi Tisa

Akazaliwa akiwa kichanga akajinyea na kujikojolea mama yake akawa anambadulisha nepi

Akatahiriwa

Akacheza kombolela na watoto wenziwe katika mitaa ya Nazareth na Galilaya

Akawa fundi seremara akichonga vitanda na makabati Ili kujipatia riziki yake

Yesu ana dada zake, wajomba zake na mama zake wakubwa na wadogo

Alafu wewe ndio unamfanya Mungu wako

Lazima Allah akakuchome moto maana ameshasema anaweza kusamehe makosa yote ila kosa lakukiabudu kiembe chake badala yake hilo hatalisamehe
Kwahiyo unakili Allah aliwahi kumtokea Musa kama kijiti cha moto na Musa akavua viatu akasujudu ni kwamba Allah kumbe ni Moto?

Allah pia alimtokea Abraham pale mialoni mwa Mamre akiwa kama mtu na aliongozana na Malaika wawili hapo utakataa kwa sababu hujui!

Sasa ipo hivi kama unaamini Malaika Jibril alimtokea Mohammad kwenye pango katika umbo la mtu na tunajua Malaika ni viumbe wa kiroho hawana miili inamaana huyo Mungu unayemnasibu anaweza yote umemuwekea mipaka kua kuna mambo hawezi,
Na hafai kuitwa Mungu nyie Waislamu Mungu wenu Allah ni week kuna mambo anaweza na mengine hawezi
Sasa na habari njema
Mungu wa wakristo yaani YEHOVA aliwahi kuzaliwa kama mtu hapa hapa Duniani na Anaitwa Yashua Amashiach Mnazarene (Jesus Christ of Nazareth)
Kwa mantiki hiyo Mungu wetu ni noma na nusu ashawahi mpaka kua kiumbe wa kawaida ndiye huyo Yesu sasa kama hutaki usitake mungu wenu Allah awe mungu wetu kwa sababu Moja hafanani na chochote wakati wa kwetu katuumba kwa mfano wake so hatufanani usifosi!
 
Yo

You are very wrong when it comes to Allah.

Allah has no gender, no plural, no verb.

Go do your homework.
I wish I knew "Kidengereko" I would have simplified it to you better but unfortunately I don't know the vernacular so let us call it a day.
 
Kwahiyo unakili Allah aliwahi kumtokea Musa kama kijiti cha moto na Musa akavua viatu akasujudu ni kwamba Allah kumbe ni Moto?

Allah pia alimtokea Abraham pale mialoni mwa Mamre akiwa kama mtu na aliongozana na Malaika wawili hapo utakataa kwa sababu hujui!

Sasa ipo hivi kama unaamini Malaika Jibril alimtokea Mohammad kwenye pango katika umbo la mtu na tunajua Malaika ni viumbe wa kiroho hawana miili inamaana huyo Mungu unayemnasibu anaweza yote umemuwekea mipaka kua kuna mambo hawezi,
Na hafai kuitwa Mungu nyie Waislamu Mungu wenu Allah ni week kuna mambo anaweza na mengine hawezi
Sasa na habari njema
Mungu wa wakristo yaani YEHOVA aliwahi kuzaliwa kama mtu hapa hapa Duniani na Anaitwa Yashua Amashiach Mnazarene (Jesus Christ of Nazareth)
Kwa mantiki hiyo Mungu wetu ni noma na nusu ashawahi mpaka kua kiumbe wa kawaida ndiye huyo Yesu sasa kama hutaki usitake mungu wenu Allah awe mungu wetu kwa sababu Moja hafanani na chochote wakati wa kwetu katuumba kwa mfano wake so hatufanani usifosi!
Hadi Sasa Mungu Allah ambaye ndio Mungu muumba mbingu na aridhi hajawahi kujionyesha au kuonekana na binadamu yoyote



Alafu usisahau Mungu wenu Yesu alipanga chumba kimoja katika nyumba ya mzee Nathaeli pale Jerusalem
 
Hadi Sasa Mungu Allah ambaye ndio Mungu muumba mbingu na aridhi hajawahi kujionyesha au kuonekana na binadamu yoyote



Alafu usisahau Mungu wenu Yesu alipanga chumba kimoja katika nyumba ya mzee Nathaeli pale Jerusalem
Kwahiyo Musa pale alipotokewa na kijiti cha moto akavua viatu kama mfanyavyo msikitini ni uongo?
Nyie ni wajinga sana aisee kwamba kwamba zile hadith za Musa kumwona Mungu kisogo ni uongo?
Basi deen yenu ni hekaya tupu na siwezi kiiamini dini inayokataa kwamba Mungu hajawahi onekana yaani hata nguvu zake tu unakataa unataka aonekanaje wewe Kafir?
 
Back
Top Bottom