Allah, siyo Mungu. at best ALLAH ni yule Shetani anayeitwa Rusifa
Andiko hili la Quran 6:51 linamtambulisha Allah kama Intercessor wa waislam. Intercessor ni mtu anayemsihi a higher being (Mungu) akufanyie wepesi wa mambo Yako; anaiweza pia kukuombea msamaha au kukupatanisha na Mungu.
VileVile Quran inaonyesha kuwa Allah & Mohammed wako level Moja ya kufanyaaamuzi-Quran 33:36
Ktk screenshot ya pili Quran 17:42 Allah anamrefer Mungu muingine (Him) ikionyesha kuwa Kuna Mungu mwingine
Mwisho waulize Hawa Waislam Mungu ana majina mangapi? Watasema 99, mojawapo ni ALLAH. Iwapo kitabu chao Quran, kinatambua Mussa alishushiwa Torati, waulize je iwapo Mungu alijitambulisha kwa Moses kwa jina kuwa yeye anaitwa YAHWEH je jina hilo nalo lipo kati ya majina 99 ya Mungu wao?? Jibu halipo
View attachment 3021862
View attachment 3021846
View attachment 3021846
Nyinyi wagalatia mmechanganyikiwa na lazima mchanganyikiwe Kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli mtu ambaye hamjui Mungu wake alimuumba hana tofauti na mnyama
Hilo andiko la 6:51 nilawalenga makafiri kama wewe Kwa sababu Quran imeletwa Kwa ajili ya binadamu wote kwahiyo hata ukiikata ndio kitabu chako ambacho unatakiwa ukifuate
Utawala wa Taurati, Zaburi na Injiri umeshapita Sasa hivi mtawala ni Quran
Quran 6:51
- Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye, ili wapate kuchamngu.
Hapa Mtume Muhammad anaambiwa awaonye watu Kwa kutumia Quran na awambie hao watu ukiwepo wewe kuwa Kuna siku itafika binadamu wote watakusanywa mbele ya Allah na hiyo siku hakutakuwa na kiumbe yoyote wakuwasaidia na ghadhabu ya Allah Kwa wale wakosefu isipokuwa ni Allah mwenyewe
Na hiyo Aya Quran 33:36
Inaelezea Mila ambazo waarabu walikuwa nazo Quran ikaja kuzivunja hizo Mila ikiwepo Mila ya kuwapa majina Yao ya ukoo watoto waliawaasili
Mtume alikuwa na mtoto wa kuasili akaoa mke alipo muacha huyo mke Allah akamwambia amuoe huyo mke Kwa sababu mtoto wa kuasili sio mwanawe hivyo asimuone huyo mwanamke kama alikuwa mke wa mtoto wake ukiendelea hapo 37 na 38 utaona hayo maelezo
Hiyo Aya ya Quran 17:42 pia inakukanyageni nyinyi makafiri mnaosema Mungu wapo zaidi ya mmoja Allah anasema yeye yupo peke yake
Quran 17:42
- Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia ya kumfikia Mwenye Kiti cha Enzi.
Quran 17:43
- Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
Quran 17:44
- Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake. Lakini nyinyi hamfahamu kutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye maghfira.
Wewe ni kafiri na Jahannam inakusubiri hauna mlango wa kutoka
Kwa sababu
Ukristo sio dini
Yesu sio Mungu
Jumapili sio siku ya ibada
Paulo sio mtume
Hayo yote mmedanganywa na Wazungu