Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

We maskini mbwa takataka, usidhani humu kila mtu ni juha kama ulivyo wewe. Na usidhani hatuwezi kufanya attack.

Pimbi kama wewe afadhali baba yako angemwaga manii zake kuliko kuzaa mwehu kama wewe.

Sasa turudi kwenye hoja,

Huyo muumba kabla ya kuumba mbingu na ulimwengu alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Haiwezekani pia huyo muumba kutokea tu, ghafla bin vuuh! From nothing.

Eleza na thibitisha huyo muumba alitoka wapi kabla ya kuumba mbingu na dunia?
Wahubiri wana jazba hawa!!! ngoja tuone mwisho wao, bdo nafuatilia🙋🙋🙋
 
Ni seme hibi Jehova au Mungu Mkuu na alah ni vitu viwili tofauti kwa sababu zifuatazo

1. Mungu ana nafsi tatu
Baba, Mwana na Roho Mtakatifu

Alah anapinga utatu

2. Mungu ametupa amri kuu ya upendo anasema nawapani amri kuu mpendane nyingi kwa nyinyi na mpende jirani yako kama unavyojipenda

Alah anasema wachukieni makafiri, adui yenu ni wakristo na wayahudi mkiweza waueni tu

3). Mungu kupitia Yesu anasema yeye ni roho na watakao enda mbiguni wote Wana roho

Alah anasema mwanaume ukienda mbingini atapewa wanawakake bikra 72 yaani ( mahurulain)

4). Mungu anasema msihukumiane kwa ishara, siku, vyakula Wala Mavazi

Alah anasema kitimoto mwiko, ukifunga na kufungua Ramadhani uangalie kuandama kwa mwezi

Ni mambo mengi siwezi kuyamaliza yote

Ila Mungu na Allah ni tofauti kwa mafundisho na kwa nguvu za Uungu
 
Kwahiyo wewe Wazungu walivyokudanya kuwa Yesu ndio Mungu wako umeelewa

Ila Maneno ya Yesu ambayo anakataa yeye sio Mungu hauyaelewi si ndio

Kwa mujibu wa Maneno ya Yesu wewe utaenda Jahannam

Kwa sababu anasema watakao enda peponi ni wale tu wanao amini Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Yohana 17:4
Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.

By the way Mimi na Yesu Mungu wetu ni mmoja
Wazungu wanaingiaje hapa umepewa verse usome huyo Baba wa Yesu aliye Mbinguni ni nani?
Kama Baba wa Yesu yupo Mbinguni kwanini hutaki kukubali ya kwamba Aliyepo Mbinguni ni Mungu baba na Yesu ni mwanae?
Halafu mbona unachukua verse chache na nyingine nyingi za msingi unaacha?
Hiyo anayosema yeye na Baba ni wamoja mbona unairuka?
😁😁
 
Ni seme hibi Jehova au Mungu Mkuu na alah ni vitu viwili tofauti kwa sababu zifuatazo

1. Mungu ana nafsi tatu
Baba, Mwana na Roho Mtakatifu

Alah anapinga utatu

2. Mungu ametupa amri kuu ya upendo anasema nawapani amri kuu mpendane nyingi kwa nyinyi na mpende jirani yako kama unavyojipenda

Alah anasema wachukieni makafiri, adui yenu ni wakristo na wayahudi mkiweza waueni tu

3). Mungu kupitia Yesu anasema yeye ni roho na watakao enda mbiguni wote Wana roho

Alah anasema mwanaume ukienda mbingini atapewa wanawakake bikra 72 yaani ( mahurulain)

4). Mungu anasema msihukumiane kwa ishara, siku, vyakula Wala Mavazi

Alah anasema kitimoto mwiko, ukifunga na kufungua Ramadhani uangalie kuandama kwa mwezi

Ni mambo mengi siwezi kuyamaliza yote

Ila Mungu na Allah ni tofauti kwa mafundisho na kwa nguvu za Uungu
Huyu Kafir wa Macca Wazolee analazimisha Allah awe JEHOVA wakati mmoja ni mungu na mwingine ni Mungu!
Hata ki sifa hawafanani hata robo!
 
Yaani mtu mzima kabisa na akili zako timamu unamuabudu mungu wa waQuraysh mpaja unawaita watanzania na waafrica wenzio makafir
 
Screenshot_20240620-220334_Google.jpg

Screenshot_20240620-222351_Chrome.jpg
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Allah, siyo Mungu. at best ALLAH ni yule Shetani anayeitwa Rusifa
Andiko hili la Quran 6:51 linamtambulisha Allah kama Intercessor wa waislam. Intercessor ni mtu anayemsihi a higher being (Mungu) akufanyie wepesi wa mambo Yako; anaiweza pia kukuombea msamaha au kukupatanisha na Mungu.
VileVile Quran inaonyesha kuwa Allah & Mohammed wako level Moja ya kufanyaaamuzi-Quran 33:36
Ktk screenshot ya pili Quran 17:42 Allah anamrefer Mungu muingine (Him) ikionyesha kuwa Kuna Mungu mwingine
Mwisho waulize Hawa Waislam Mungu ana majina mangapi? Watasema 99, mojawapo ni ALLAH. Iwapo kitabu chao Quran, kinatambua Mussa alishushiwa Torati, waulize je iwapo Mungu alijitambulisha kwa Moses kwa jina kuwa yeye anaitwa YAHWEH je jina hilo nalo lipo kati ya majina 99 ya Mungu wao?? Jibu halipo

Screenshot_20240621-011654.png

Screenshot_20240621-002711.png

Screenshot_20240621-002711.png
 
Allah, siyo Mungu. at best ALLAH ni yule Shetani anayeitwa Rusifa
Andiko hili la Quran 6:51 linamtambulisha Allah kama Intercessor wa waislam. Intercessor ni mtu anayemsihi a higher being (Mungu) akufanyie wepesi wa mambo Yako; anaiweza pia kukuombea msamaha au kukupatanisha na Mungu.
VileVile Quran inaonyesha kuwa Allah & Mohammed wako level Moja ya kufanyaaamuzi-Quran 33:36
Ktk screenshot ya pili Quran 17:42 Allah anamrefer Mungu muingine (Him) ikionyesha kuwa Kuna Mungu mwingine
Mwisho waulize Hawa Waislam Mungu ana majina mangapi? Watasema 99, mojawapo ni ALLAH. Iwapo kitabu chao Quran, kinatambua Mussa alishushiwa Torati, waulize je iwapo Mungu alijitambulisha kwa Moses kwa jina kuwa yeye anaitwa YAHWEH je jina hilo nalo lipo kati ya majina 99 ya Mungu wao?? Jibu halipo

View attachment 3021862
View attachment 3021846
View attachment 3021846
Hii ngumu kumeza
 
Allah, siyo Mungu. at best ALLAH ni yule Shetani anayeitwa Rusifa
Andiko hili la Quran 6:51 linamtambulisha Allah kama Intercessor wa waislam. Intercessor ni mtu anayemsihi a higher being (Mungu) akufanyie wepesi wa mambo Yako; anaiweza pia kukuombea msamaha au kukupatanisha na Mungu.
VileVile Quran inaonyesha kuwa Allah & Mohammed wako level Moja ya kufanyaaamuzi-Quran 33:36
Ktk screenshot ya pili Quran 17:42 Allah anamrefer Mungu muingine (Him) ikionyesha kuwa Kuna Mungu mwingine
Mwisho waulize Hawa Waislam Mungu ana majina mangapi? Watasema 99, mojawapo ni ALLAH. Iwapo kitabu chao Quran, kinatambua Mussa alishushiwa Torati, waulize je iwapo Mungu alijitambulisha kwa Moses kwa jina kuwa yeye anaitwa YAHWEH je jina hilo nalo lipo kati ya majina 99 ya Mungu wao?? Jibu halipo

View attachment 3021862
View attachment 3021846
View attachment 3021846
Nyinyi wagalatia mmechanganyikiwa na lazima mchanganyikiwe Kwa sababu hamumjui Mungu wa kweli mtu ambaye hamjui Mungu wake alimuumba hana tofauti na mnyama

Hilo andiko la 6:51 nilawalenga makafiri kama wewe Kwa sababu Quran imeletwa Kwa ajili ya binadamu wote kwahiyo hata ukiikata ndio kitabu chako ambacho unatakiwa ukifuate

Utawala wa Taurati, Zaburi na Injiri umeshapita Sasa hivi mtawala ni Quran


Quran 6:51
- Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi wala mwombezi isipo kuwa Yeye, ili wapate kuchamngu.

Hapa Mtume Muhammad anaambiwa awaonye watu Kwa kutumia Quran na awambie hao watu ukiwepo wewe kuwa Kuna siku itafika binadamu wote watakusanywa mbele ya Allah na hiyo siku hakutakuwa na kiumbe yoyote wakuwasaidia na ghadhabu ya Allah Kwa wale wakosefu isipokuwa ni Allah mwenyewe

Na hiyo Aya Quran 33:36
Inaelezea Mila ambazo waarabu walikuwa nazo Quran ikaja kuzivunja hizo Mila ikiwepo Mila ya kuwapa majina Yao ya ukoo watoto waliawaasili

Mtume alikuwa na mtoto wa kuasili akaoa mke alipo muacha huyo mke Allah akamwambia amuoe huyo mke Kwa sababu mtoto wa kuasili sio mwanawe hivyo asimuone huyo mwanamke kama alikuwa mke wa mtoto wake ukiendelea hapo 37 na 38 utaona hayo maelezo

Hiyo Aya ya Quran 17:42 pia inakukanyageni nyinyi makafiri mnaosema Mungu wapo zaidi ya mmoja Allah anasema yeye yupo peke yake

Quran 17:42
- Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia ya kumfikia Mwenye Kiti cha Enzi.
Quran 17:43
- Subhanahu Wa Taa'la, Ametakasika na Ametukuka juu kabisa na hayo wanayo yasema.
Quran 17:44
- Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Na hapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake. Lakini nyinyi hamfahamu kutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye maghfira.


Wewe ni kafiri na Jahannam inakusubiri hauna mlango wa kutoka
Kwa sababu
Ukristo sio dini
Yesu sio Mungu
Jumapili sio siku ya ibada
Paulo sio mtume

Hayo yote mmedanganywa na Wazungu
 
Kwahiyo unakili Allah aliwahi kumtokea Musa kama kijiti cha moto na Musa akavua viatu akasujudu ni kwamba Allah kumbe ni Moto?

Allah pia alimtokea Abraham pale mialoni mwa Mamre akiwa kama mtu na aliongozana na Malaika wawili hapo utakataa kwa sababu hujui!

Sasa ipo hivi kama unaamini Malaika Jibril alimtokea Mohammad kwenye pango katika umbo la mtu na tunajua Malaika ni viumbe wa kiroho hawana miili inamaana huyo Mungu unayemnasibu anaweza yote umemuwekea mipaka kua kuna mambo hawezi,
Na hafai kuitwa Mungu nyie Waislamu Mungu wenu Allah ni week kuna mambo anaweza na mengine hawezi
Sasa na habari njema
Mungu wa wakristo yaani YEHOVA aliwahi kuzaliwa kama mtu hapa hapa Duniani na Anaitwa Yashua Amashiach Mnazarene (Jesus Christ of Nazareth)
Kwa mantiki hiyo Mungu wetu ni noma na nusu ashawahi mpaka kua kiumbe wa kawaida ndiye huyo Yesu sasa kama hutaki usitake mungu wenu Allah awe mungu wetu kwa sababu Moja hafanani na chochote wakati wa kwetu katuumba kwa mfano wake so hatufanani usifosi!
YEHOVA ndiyo Mungu wa kweli Juu mbinguni na chini duniani hakuna kama yeye..Yesu ni mwana wake mpendwa ...Unakumbuka wanafunzi wake walivyo omba kufundishwa kusali...Mathayo 6:9....na kingine YEHOVA ni Mungu wa wote wale wanao fanya mapenzi yake na ndiye alie umba kila kitu kinacho onekana..
 
YEHOVA ndiyo Mungu wa kweli Juu mbinguni na chini duniani hakuna kama yeye..Yesu ni mwana wake mpendwa ...Unakumbuka wanafunzi wake walivyo omba kufundishwa kusali...Mathayo 6:9....na kingine YEHOVA ni Mungu wa wote wale wanao fanya mapenzi yake na ndiye alie umba kila kitu kinacho onekana..
Nyinyi wakristo tukikuambieni kuwa hamumjui Mungu aliyekuumbeni mnaona tunawakashifu

Katika Uzi hu hu Kuna wakristo wenzako wengi tu Wanasema Yesu ndio YEHOVA alafu wewe unasema YEHOVA ndio baba na Yesu ni mwana

Usilolikia hata huyo YEHOVA ni Mungu wa uongo

Kama unao ushahidi kuwa Mungu alijitambulisha Kwa Musa kuwa yeye ni YEHOVA weka hapa maana neno YEHOVA ni kigiriki sio kiebrania
 
Nyinyi wakristo tukikuambieni kuwa hamumjui Mungu aliyekuumbeni mnaona tunawakashifu

Katika Uzi hu hu Kuna wakristo wenzako wengi tu Wanasema Yesu ndio YEHOVA alafu wewe unasema YEHOVA ndio baba na Yesu ni mwana

Usilolikia hata huyo YEHOVA ni Mungu wa uongo

Kama unao ushahidi kuwa Mungu alijitambulisha Kwa Musa kuwa yeye ni YEHOVA weka hapa maana neno YEHOVA

Nyinyi wakristo tukikuambieni kuwa hamumjui Mungu aliyekuumbeni mnaona tunawakashifu

Katika Uzi hu hu Kuna wakristo wenzako wengi tu Wanasema Yesu ndio YEHOVA alafu wewe unasema YEHOVA ndio baba na Yesu ni mwana

Usilolikia hata huyo YEHOVA ni Mungu wa uongo

Kama unao ushahidi kuwa Mungu alijitambulisha Kwa Musa kuwa yeye ni YEHOVA weka hapa maana neno YEHOVA ni kigiriki sio kiebrania
Nami nitakuuliza swali ukinijibu sawa..kwanza ongera kwa kuliandika jina la YEHOVA vizuri..Je unajua maana Yake..nenda kasome kwanzia Mwanzo 3 :13 alafu urudi...nipo pale nimekaa nakusubiri.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Wanaonekana ni different entities
 
Ila ni bora zaidi ya Phd ya theology ya divinity and bible knowledge kutoka st joseph and Augustine universities,,,,,!!!
Si kweli hata siku moja, unajidanganya tu. Madrasa wangekuwa wanafundisha mambo ya divinity vitoto vya Kiislam vingekuwa mbali mno kiakili, matokeo yake nadhani hata wewe mwenyewe unayajuwa, vimejawa na unafiki na joho ya kufuga majini ili wawe wanawatumia kwa jailli ya chuma ulete.
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Mungu anajua kila lugha huitaji kutumia Lugha ya sehemu alipojifunua kwa mara ya kwanza ndio uwasiliane yeye hata kwa lugha yako ya asili anaijua

Allah ye anajua kiarabu Lugha nyingine hazijui,Hivo inabidi watu wajifunze kiarabu ndio wawasiliane nae hata jina lake Haliruhusiwi kuitwa kwa Lugha nyingine isipo kua kiarabu.



Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Ni different entities, Mungu wa Kiislam ni shetani na Allah ni Aunty Muddy na majini ambao ni wasaidizi wa shetani (Mungu wa Kisiłam), hawataki tu kusema ukweli.
 
Back
Top Bottom