Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa umeshiba na huna tatizo kwa sasa, ngoja yakufikeMungu na Allah wote ni wahusika wa hadithi za kutungwa na watu tu, nje ya hadithi hizo hakuna Mungu wala Allah.
Yani hata huyo Allah au Mungu ukichambua habari zake utaona contradictions zinazoonedha hii ni story ya kuungaunga ya watu tu.
Umeandika ujingaKwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
Hakuna ulicho fanya zaidi ya kubadilisha small letters za mungu kuwa capital letters Mungu.Ni kweli yesu sio mungu, isipokuwa Yesu ndio Mungu
Mkuu usipotoshe watu, Allah ni Mungu kwa lugha ya Kiarabu kama anavyotafsirika kwetu waswahili kwa Jina la Mungu au kwa lugha ya kiingereza kuwa ni God. Majina hayo yote yamlenga na kumaanisha mhusika mmoja!!!Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Mkuu mbinguni ni wapi, tuelimishe!!Ndio kuna anaekaa kwenye nyota na mwezi na kuna anaekaa mbinguni。
🙋♂️✍️📝👍👌👊👏🤝🙏💐🎁🛡️Mungu na Allah wote ni wahusika wa hadithi za kutungwa na watu tu, nje ya hadithi hizo hakuna Mungu wala Allah.
Yani hata huyo Allah au Mungu ukichambua habari zake utaona contradictions zinazoonedha hii ni story ya kuungaunga ya watu tu.
You Nailed It Asante..Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Mkuu tupe tafsiri ya neno Allah na tafsiri ya neno Mungu kwanza!!! Tuanzie hapo!!!Biblia hamna sehemu imeandika Allah
ila Quran imeandika kuhusu Yesu na wagalatia au watu wa vitabu
Mkuu kwanini abadili msimamo ili contradictions alizosema zipo vile vile???Hujawahi kubadili msimamo?
Allah na Mungu ni tofauti kabisa.Mkuu usipotoshe watu, Allah ni Mungu kwa lugha ya Kiarabu kama anavyotafsirika kwetu waswahili kwa Jina la Mungu au kwa lugha ya kiingereza kuwa ni God. Majina hayo yote yamlenga na kumaanisha mhusika mmoja!!!
🙋♂️✍️📝👍👌👊👏🙏🎁🛡️Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
🙋♂️🤝🤝💐🙏Allah ni neno la kiarabu, kama ilivyo GOD ni neno la kizungu, tafsiri ya maneno hayo kwa kiswahili ni MUNGU.
Sasa mkuuu, Hebu tusaidie Nani Aliumba hao aliens??? Au unifafanulie walitokana na nini?Kwanza kabisa ishamael sio baba wa waarabu, maana kiuhalisia kama ibrahimu alikuwa mzungu wa aina yeyote yule na alizaa na kijakazi wa kimisri(watu weusi) na itambulike wazi hapa misri ya kipindi cha ibrahimu ilikaliwa na watu weusii tii hakukuwepo muarabu wala mtu mweupe, tena hao waarabu hata hawakuwepo.
Kama ibrahimu alizaa na huyo binti wa kiafrika basi hata mtoto alizaliwa chotara yaan wa kizungu na kiafrika na sio mwarabu kama Quran inavyodanganya.
Ukiendelea mbele utagundua kuwa ishmael hausiki hata kidogo na uarabu wala uislamu maana hakuwa mtu wa asili hiyo, hapa unagundua kufeli wa Quran kumiliki historia ya asili yake na maandiko yake kudanganya.
Pili huyo Allah na huyo Mungu wa biblia ni vitu viwili tofauti ambavyo vinaing'ang'ania historia fulani iwe yao kupitia maandiko yao ya kucopy.
Tatu, dunia ina maelfu ya Miungu na mamia ya dini, je kuna uhakika gani na ushahidi gani kuwa Mungu wa dini fulani ndiye sahihi?.
Nne, kila dini inamafundisho yanayopingana na dini nyingine, je Mungu gani huyo awe mmoja huku aseme hivi na kule aseme tofauti?, hapa unazidi kujionea kuwa kila dini ina kiumbe chake ambacho watu wafuasi wa dini wanakiita Mungu na wamekipa sifa za Ukuu na uumbaji uku wakikitofautisha na Kiumbe(Mungu) wa dini zingine kuwa ndiye pekee anayestahili kuabudiwa, huu ni uongo na uzushi mkubwa.
Mungu wa hizi dini angekuwepo kweli asingehitaji nguvu kubwa ya waumini wake kutumia kuaminisha watu uwepo wake wala asingetumia mikanganyiko na utata wa maandiko yake, yaani kila dini inamtafsiri hivi na wengine wanamtafsiri vile.
Kiufupi Dunia haijaumbwa na Mungu maana Mungu ni kiumbe chenye roho kama mwanadamu chenye sifa kama mwanadamu, kinaishi katika ulimwengu ambao viumbe walioumbwa wanaishi huko Rohoni,
Je Kama mbingu&ardhi ziliumbwa Muumbaji alikuwa wapi kabla ya hivi vitu kuwepo? Na inawezekana vipi muumbaji wa mbingu aje aishi mahala alipopaumba? Kabla ya kupaumba alikuwa wapi? Ukipata maswali ya haya majibu utajua kuwa kumbe Mungu si wa pekee bali kuna maelfu ya viumbe vinavyojiita Mungu ambavyo vinasifa kama ya viumbe wengine wa rohoni na vinaishi katika sehemu iliyoumbwa,
Hivyo basi viumbe hivi(Miungu) si waumbaji bali waliumbwa na wapo wengi kwa makundi mbalimbali kulingana na nguvu zao, na hawa Miungu ndio hawa wamejigawa dunian katika kila jamii kwa kujipa umiliki wa jamii fulani iwatumikie na kuwaabudu huku viumbe hawa wakiacha sheria zao na stori zao kupitia maandiko wanayoita matakatifu.
Kiundan kabisa na ukweli ambao ni mchungu, Mungu,Allah, Yesu, Yehova,Elshadai hawa ni aina ya mashetan/Aliens ambao walishuka dunian zamani sana kabla hata ya ujio wa vitoto vyao(white people) na kuanza kuudanganya ulimwengu wa watu weusi, na baada ya ujio wa watu weupe duniani, Ikawa rahisi utawala wa hao Fallen angeles(Miungu wa dini) kutawala ulimwengu kupitia watoto wao ambao ni watu wote wa jamii za wazungu, waarabu nakadhalika.
Ukweli ndio huo Miungu wote wa dini zote nia yao ni moja kuuteketeza uzao wa watu weusi kupitia hizo takataka ziitwazo dini na mafundisho yote ya dini zote.
Amkeni.
🙋♂️✍️📝👍👌👊🤝👏🎁🛡️Kama Kweli nia yako ni Kujifunza.
1. Wakristo wa Middle East wanamuita Mungu Allah
2. Wakristo wa Middle East hata kabla ya kuja Mtume Muhammad (s.a.w) wanamuita Mungu Allah, na Ukristo na uyahudi umeanzia Middle East.
3. Semitic language nyengine kama Aramaic ambayo Aliongea Yesu anaitwa Elaha, na Syriac inatamkwa Alaha zote hizi ni lugha kongwe zilizotumika wakati wa mitume.
So Allah maana yake ni The God ama kiswahili Mungu mmoja, ni neno linalotumika na Monotheist kumaanisha Mungu ni mmoja thats it, Halijaanzia kwenye uisilamu wa Muhammad (s.a.w) lipo enzi na enzi.
Ni kama vile mimi nilete Ubishi wa Kijinga kwamba Yesu na Jesus ni vitu viwili tofauti.
Mnachekeshaga sanaNi kweli yesu sio mungu, isipokuwa Yesu ndio Mungu
Injili halisi ya Yesu? Waliikuta wapi,na ni wapi injili imemtabiri Muhamad,Kwa hiyo Quran siyo human version ni Mungu aliandika kwa mkono wake akaichapisha na kumpa Muhamad?Kabla ya uislamu waarabu wengi walikuwa wakristo, na wengine wayahudi, wamajusi na waabudu masanamu, ko hawa waliokuwa wakristo kutokana na kuisoma sana injili(kitabu halisi cha yesu na sio biblia human version) ko walisubiri ujio wa mtume aliyetabiriwa kwenye injili naye ni muhammad, then Mungu yuleyule aliyetabiriwa kwenye ukristo wa before Islamic era ndiye yuleyule aliyeabudiwa within muhammad era.
Jamaa ameuliza kistaarabu, ila kutokana na ujinga wako na chuki ukaandika usiyoyajua ili waislamu waumie,,,,,!!!!
Kumbe binadamu mimi nimekuja kujufunza usiyoyajua ikiwamo adabu na heshima.
simple answer. Siku ukitoka roho utajua nani ninani na nani ni nani. subiri tu, au ungalikuwa unawasiliana na bibi yako aiefariki angalikwambiaWataalamu wa dini mje hapa?
Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?
Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)
Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.
Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).
Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).
Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.
Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?
NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Sipajui mkuu。Mkuu mbinguni ni wapi, tuelimishe!!