Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
 
Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
kww ucjambuzi huu ni haki ya kua no tofauti
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Ishmaili hakuwahi kuwa Mtoto wa Nje ya Ndoa..
Tuanze na happ kwanza tutakuja kujibu Hoja zingine..
 
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Siyo kweli allah maana yake ni mungu hata wakristo waarabu wanatumia neno allah kanisani kumaanisha mungu
 
Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
Mitume yote ni hiyo hiyo na hadi mtume mmoja makafir mkaamua kumwita mungu
 
Hawa ni tofauti kabisa.. Wala sio mmoja. Wamejitambulisha kwa majina tofauti.. Mmoja akiitwa Yahweh mwingine akiitwa Allah.. Mmoja ameahidi uzima wa milele wenye kusifu na kuabudu mwingine ameahidi mito ya pombe na ngono isiyoisha utamu.. Mmoja amefundisha msamaha, mwingine amefundisha kisasi.. Na hata mitume wao ni tofauti kabisa.. Kwa nini sisi tuseme ni mmoja wakati tofauti zao zipo wazi..
Unataarifa kwamba Wote wamehidi vitu sawa??

Je Mungu wa Biblia Hajaahidi Pombe??
Unaamini Mungu wa Biblia Hajafundisha kisasi?
Unaamini Kwamba Mitume wa Biblia (Yahudi) ni sawa na Mitume wa Ukristo na ni sawa na mitume wa Uislam?
 
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Haya pata ujumbe kutoka kwa wadhamini wetu
 

Attachments

  • Screenshot_20240530-084924_Instagram.jpg
    Screenshot_20240530-084924_Instagram.jpg
    230.2 KB · Views: 8
Wataalamu wa dini mje hapa?

Je, kuna andiko lolote linaonesha kuwa Mungu ni Allah au Allah ni Mungu?

Mungu alijifunua kwa mara ya kwanza kwene uzao wa Israel (mlolongo uliowaleta Israel yaan Abraham—Isack —-Yakobo (Israel)——Yesu)

Wakati ALLAH alijifunua kwa waarabu uzao wa mtoto wa nje ya ndoa Ishmael.

Yaan mlolongo ulioleta Waarabu
(Abraham——Ishmael (arabs)——Mtume Muhammad).

Mungu alijifunua miaka mingi kabla ya kuja kwa Yesu kuja kwamba miaka mingi kabla (2000+ nyuma).

Allah miaka 600 baadaa ya kuja Yesu au alikuja miaka zaidi ya mingi baada ya kujifunua Mungu wa kwanza.

Kwanini hawa wawili wawe ni wamoja?

NB: Ni suali la uelewa tu sina maana mbaya ndugu zangu.
Mungu ana jina lake, ndiyo maana kwenye Bible imeandikwa USILITAJE BURE JINA LA BWANA MUNGU WAKO!!
 
Sio
Allah ni neno la lugha ya kiarabu lenye maana ya mungu.
Kweli na sijui mnasema hivi kwa lengo lipi hasa.
Allah ni jina la Mungu wa Waarabu ni kama Yehova Mungu wa Wayahudi.
Kwa kiarabu neno Mungu ni illah.
La illah = hakuna Mungu
Ila Allah = isipokuwa Allah.
Ina maana hata Shahada ya Kiislamu huijui, au hujui Kiarabu ?
Au unafanya makusudi?
 
Siyo kweli allah maana yake ni mungu hata wakristo waarabu wanatumia neno allah kanisani kumaanisha mungu
Allah ni Jina
Mungu ni illah.
Kwa kiarabu.
Hebu imba shahada halafu uisikilize.
لا إله إلا الله. محمد رسوله
 
Allah ni Jina
Mungu ni illah.
Kwa kiarabu.
Hebu imba shahada halafu uisikilize.
Allah sio jina embu elimika allah maana yake ni mungu usijitoe fahamu huku kwetu mungu ni mmoja tu hakuna mungu watatu wala mungu wetu hajazaliwa na mwanamke
 
Allah sio jina embu elimika allah maana yake ni mungu usijitoe fahamu huku kwetu mungu ni mmoja tu hakuna mungu watatu wala mungu wetu hajazaliwa na mwanamke
La illah = hakuna Mungu
Ila Allah = isipokuwa Allah

Kama Allah maana yake Mungu hebu nitajia huyo Allah Jina lake ni nani ?
Yaani unashika dini siku zote hizo na hujui jina la Mungu wako?
Ni ajabu na kweli.
 
Back
Top Bottom